Kuboja
23.6K posts

Kuboja
@Pyroxenite81
The Manhimself,
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Temmuz 2013
1.5K Takip Edilen590 Takipçiler

Hizi lawama za makipa hazikuanza leo. Ni mwendelezo tu wa utamaduni wetu kama Yanga. Makipa wengi sana walilaumiwa, Ahmada, Manula, Pinpin. Okello amekuta tuna huo utaratibu tokea awali. Anachokifanya ni kugusa kwenye mshono. Okello ndio kwanza kaja nusu msimu. Tunasubiri kobisi ajichanganye nae aje @CRDBBankPlc
Indonesia

@Sisimizi3 Wewe husafiri nchi hii ujionee barabara kuu za lami na za mitaani zilivyogeuka mashimo?
Indonesia

@DannyThePlanner @FaradayMtz01 Haya wameongezeka, mbona viwanda vya Gov vilikufa?
Indonesia

@Pyroxenite81 @FaradayMtz01 Lakini kipindi hicho wasomi walikuwa wachache Sana, hivyo aliyekuwa na elimu ya Form 4 kipindi hicho ni sawa na mwenye PhD wakati huu, hivyo ajira zilikuwa zinapatikana Sana tu.
Filipino

Kwasababu kiuhalisia Madueke ni winga wakati Foden na Palmer best position yao ni nyuma ya mshambuliaji na hata wakitokea pembeni wanataka kuingia ndani maana yake utahitaji attacking RB hapo kudumisha mapana pembeni. Licha ya kwamba swali lako lina hoja kwa muktadha wa ubora wa mchezaji mmoja mmoja
Hao wawili wana magoli mengi mguuni mwao , wana uwezo wa kuamua mechi licha ya form zao msimu huu kuyumba
Indonesia

@Innocen89950594 Mbona hajamalizia kuwa Gen Z wanaongoza kutoa mitandao yote
Indonesia

Hivi tunakwama wapi? Nini kinazuia uwanja wa Mkwakwani Tanga kufanyiwa renovation na kuwa na muonekano wa kisasa kama huu?
Je, ni ukosefu wa fedha au ni usimamizi mbovu wa viongozi wa soka na kukosa maono ya mbeleni? 🤔
Funguka hapo chini 👇🏾

EZBORN@EzbornSpeaks
Hivi kwanini huu Uwanja wa Mkwakwani, Tanga upo tofauti sana na viwanja vingine vya ccm? 🤔
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Dunia nzima inasubiria kutangazwa Kwa kikosi cha ENGLAND…
🏴 Binafsi naiona England ikichukua Kombe la Dunia Msimu huu…
Hasa ukizingatia Wana Wachezaji wenye Champions mentality wasio pungua wanne kutoka Kwa Premier League and UEFA Champions to be- ARSENAL…
Indonesia

@Sincerelyrahma7 Huyo mrembo CV yake haitoshi tuambie mileage ya K ikoje, ameshazaa watoto wangapi, anafanya shughuli gani, anaishi mkoa au wilaya gani
Indonesia

@kalage_jr We Gen Ze mapenzi ya Arsenal yamewatesa mashabiki miaka 22 ambao ni umri wa kijana wa kike U wa kiume kuwa na watoto wako shule ya msingi
Indonesia

@WideEdson Chama alishindwa kucheza Morocco akiwa na nguvu za kutosha ndiyo aende Spain atese dogo heshimu mpira
Filipino




















