Sabitlenmiş Tweet
One Sister
156.3K posts

One Sister retweetledi
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi

NDIYO MAANA WATANZANIA WANASHANGILIA MKINYOFOLEWA ROHO..📌
Kuna mambo yanatia kichefuchefu sana ukiona yanatokea halafu wanaoyafanya wanaita makamera na kwenda kujifanya wanashangaa kwa nini yanatokea.
Kuna mambo yanafanyika ndiyo chanzo na yanaakisi jinsi wananchi wa Tanzania wanavyochukia viongozi na serikali na wanafurahi sana wakiona wanang'olewa roho sababu ni kama hizi za kinachoendelea Coco Beach..
Hakuna jinsi ambavyo Coco Beach inaweza kubinafsishwa halafu serikali isijui au iwe haina taarifa. Hakuna jinsi mtu yoyote anaweza taka kuwekeza Coco Beach halafu serikali isiwe na taarifa. Kinachofanyika sana ni mazingaombwe na kujifanya serikali haijui lolote lakini ukweli ni kuwa wanajua na watakuja wengi tu kujifanya kushangaa!..
Wanachofanyiwa wananchi wa Coco Beach na wafanyabiashara wale ni mazingaombwe ambayo yamekuwa sehemu ya utamaduni wetu na siasa zetu kwa muda mrefu sana na inatia kinyaa sana.
Kuna watu kwa makusudi kabisa wamekuwa wanafanya jitihada za dhati kweli kweli kuhakikisha wanamtia Rais na serikali kwenye mikingamo na wananchi ili mradi kuwe na sintofahamu tu kika siku. Yaani unabinafsisha Coco Beach kivipi? Kwa sababu zipi yaani?
Suala la kubinafsisha Coco Beach lilishazikwa na kumalizwa na serikali ya Kambale na kupiga marufuku jambo hilo na kutangaza kuwa Coco Beach ni sehemu ya ufukwe kwa matumizi ya wananchi wa kawaida wa Dar Es Salaam na kama kuna mwekezaji anataka kuwekeza atafute beach nyingine!.
Baada ya kauli ile wafanyabiashara wadogo wengi wakajimwaga kufanya biashara zao za mihogi 😁 hapo na kwa kweli watanzania wa hali ya chini wamefaidika sana na uwepo wa biashara hizo na ruhusa ya kutumia hizo fukwe!
Leo zinapokuja porojo za kuwa eti kuna mwekezaji maana yake ni kuwa serikali inajua inachokifanya na tayari kuna watu wameshakula milungula kwa ajili ya kufukuza watu hapa na kuweka wanaojiita wawekezaji!
Nimeona fulani katembelea Coco Beach jana sijui juzi! Zote hizi ni porojo na mazingaombwe ,hawa watu wanajua kinachoendelea na kinachofanyika sasa ni kujikosha tu lakini kwa kweli tuna shida sana kama serikali inashindwa kuacha hata maeneo madogo hivi kwa ajili ya wananchi wa kawaida!. Mambo haya ndiyo chanzo cha chuki kati ya wananchi na serikali japo mnajifanya hamuoni na kusikia.
Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mkatili sana lakini kuna baadhi ya mambo kama haya ndiyo yanafanya watanzania wanamkumbuka Magufuli mpaka leo pamoja na ukatili wake!
Yaani haiwezekani serikali iliyopita ilikataa mambo ya kuwekeza Coco Beach na kusema hili eneo ni la wananchi wa kawaida halafu inakuja serikali nyingine inafukuza wananchi na kusema kuna muwekezaji!
Halafu mnakaa kabisa kwenye vikao vyenu mnajiuliza kwa nini wananchi wanawachukia! Mnakaa kabisa mnajiuliza kwa nini wananchi hawawapendi na wanashangilia mkinyofolewa roho ! Kama hamjui sasa hizi ndiyo sababu zake halisi kabisa!.
HUU SIYO UJI kwamba kila mtu aonje! Uongozi ni kipaji na maarifa na busara siyo kuvaa vaa maskafu na kuimba umaskini fake.. BADILIKENI..
HALAFU huu mwaka CAG huna ripoti ya kutoa mbona siku kama zimepitiliza au ripoti bado haijakamilika? Au bado mnatekeleza mapendekezo ya mwaka jana 😁😁
#KigogoMediaUpdates

Indonesia
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi

Tanzania Advances Industrial Ambitions with First Ferroniobium Plant in Africa
_By Africa J&L Correspondent, Washington, D.C._
Tanzania has entered a $300 million agreement with Panda Hill Tanzania Limited to develop the Panda Hill niobium project. The agreement includes a 16% free-carried government interest and construction of Africa’s first ferroniobium plant, only the fourth such facility built globally in the past 40 years.
Key highlights include:
- Strategic government participation: The deal gives the government a 16% free-carried interest, ensuring direct national benefit.
- Industrial development milestone: The project includes Africa’s first ferroniobium plant, marking a significant step in the continent’s mineral value addition.
- Global market positioning: Once operational, it is expected to produce approximately 100,000 tonnes of niobium annually, positioning Tanzania as the world’s fourth-largest producer and accounting for around 4% of global supply.
Under President Samia Suluhu Hassan, Tanzania has prioritized an industrialization drive alongside major infrastructure investments. These include expanding electric standard gauge railway (SGR) lines to connect Rwanda, Burundi, and the Democratic Republic of Congo via Tanzania’s Central Corridor. The existing SGR line connecting Dar es Salaam and Dodoma has proven a transformative strategy.

English
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi

Tanzania Advances Industrial Ambitions with First Ferroniobium Plant in Africa
By Africa J&L Correspondent, Washington, D.C.
Tanzania has entered a $300 million agreement with Panda Hill Tanzania Limited to develop the Panda Hill niobium project. The agreement includes a 16% free-carried government interest and construction of Africa’s first ferroniobium plant, only the fourth such facility built globally in the past 40 years.
Key highlights include:
- Strategic government participation: The deal gives the government a 16% free-carried interest, ensuring direct national benefit.
- Industrial development milestone: The project includes Africa’s first ferroniobium plant, marking a significant step in the continent’s mineral value addition.
- Global market positioning: Once operational, it is expected to produce approximately 100,000 tonnes of niobium annually, positioning Tanzania as the world’s fourth-largest producer and accounting for around 4% of global supply.
Under President Samia Suluhu Hassan, Tanzania has prioritized an industrialization drive alongside major infrastructure investments. These include expanding electric standard gauge railway (SGR) lines to connect Rwanda, Burundi, and the Democratic Republic of Congo via Tanzania’s Central Corridor. The existing SGR line connecting Dar es Salaam and Dodoma has proven a transformative strategy.

English
One Sister retweetledi

Dkt. Samia Suluhu Hassan aendelea kusimamia maendeleo ya kitaifa! 🇹🇿
✍️ Ujenzi wa SGR unaendelea kwa kasi, fedha zimetengwa na mradi unazidi kusonga mbele.
✍️ Wananchi wa Tanzania wajiandae kwa fursa za biashara na ajira zitakazozalishwa na miradi hii mikubwa.
✍️ Tanzania inapata sifa kwa mikataba bora ya mikopo nafuu, chini ya uongozi imara wa Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Tanzania ni ya sasa, Tanzania ni ya kesho

Indonesia
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi

Tanzania Advances Industrial Ambitions with First Ferroniobium Plant in Africa
By Africa J&L Correspondent, Washington, D.C.
Tanzania has entered a $300 million agreement with Panda Hill Tanzania Limited to develop the Panda Hill niobium project. The agreement includes a 16% free-carried government interest and construction of Africa’s first ferroniobium plant, only the fourth such facility built globally in the past 40 years.
Key highlights include:
- Strategic government participation: The deal gives the government a 16% free-carried interest, ensuring direct national benefit.
- Industrial development milestone: The project includes Africa’s first ferroniobium plant, marking a significant step in the continent’s mineral value addition.
- Global market positioning: Once operational, it is expected to produce approximately 100,000 tonnes of niobium annually, positioning Tanzania as the world’s fourth-largest producer and accounting for around 4% of global supply.
Under President Samia Suluhu Hassan, Tanzania has prioritized an industrialization drive alongside major infrastructure investments. These include expanding electric standard gauge railway (SGR) lines to connect Rwanda, Burundi, and the Democratic Republic of Congo via Tanzania’s Central Corridor. The existing SGR line connecting Dar es Salaam and Dodoma has proven a transformative strategy.

English
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi
One Sister retweetledi



















