EACOP YAFIKIA ASILIMIA 86, YAKAMILIKA AGOSTI 2026
Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Uganda–Tanzania (EACOP) umefikia asilimia 86 ya utekelezaji na unatarajiwa kukamilika Agosti 2026, ukichochea mapato, ajira, uwekezaji na usafirishaji wa mafuta Afrika Mashariki.
Takwimu za miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Walipakodi
👥 Mwaka 1995/96: 75,000
💶 Mwaka 2025/26: Milioni 8.4
Mapato
👥 Mwaka 1995/96: Bilioni 297
💶 Mwaka 2025/26: Trilioni 37.9
LENGO LA TANZANIA: UCHUMI KUKUA ZAIDI YA ASILIMIA 7 IFIKAPO 2030
Serikali ya Awamu ya Sita inalenga kukuza uchumi kwa zaidi ya asilimia 7 ifikapo 2030 kupitia uwekezaji katika miundombinu, viwanda, nishati, kilimo na utalii ili kuongeza uzalishaji, ajira na kipato cha wananchi.
MIRADI 28 YA UMWAGILIAJ YAKAMILIKA,HEKTA ZAIDI YA 31,000 ZANUFAIKA
Serikali ya Awamu 6 imekamilsha mirad 28 ya umwagiliaj ikiwemo skimu mpya 10 zenye uwezo wa kumwaglia hekta 10,300,ukarabat wa skimu 9 zenye hekta 10,760 na ujenz wa mabwawa 7 yenye uwezo wa kumwaglia hekta 10,141
MCHOME: CHADEMA HATUTAKI UFISADI
Lembrus Mchome amesema CHADEMA haitaki ufisadi ndani ya chama na amepinga madai ya John Mnyika kuwa wanaokosoa uongozi wanalipwa na CCM, akiyaita uzushi. Amesema fedha za wafanyabiashara zinapaswa kusimamiwa kwa uwazi.
MCHOME : MNYIKA ASIONGEE UONGO, CHADEMA HATUTAKI UFISADI
Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Mwanga na Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa, Lembrus Mchome, amesema wanachama wa chama hicho hawataki kuona ufisadi ukitokea ndani ya chama chao.
Akizungumza na waandishi wa habari leo,....