One Sister

156.3K posts

One Sister banner
One Sister

One Sister

@Rahma_Simba

Katılım Şubat 2015
5.1K Takip Edilen12.2K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
Jumaa kareem 🕌🕋📿
One Sister tweet media
हिन्दी
0
3
3
130
One Sister retweetledi
HER
HER@heroinelincoln·
AKIBA YA UHAKIKA YA MAFUTA KWA MIEZI MITATU! Serikali imeendelea kuimarisha sekta ya nishati kwa kuhakikisha kuwepo kwa akiba ya mafuta ya kutosha kwa zaidi ya miezi mitatu, hatua inayolenga kulinda uchumi dhidi ya mishtuko ya ghafla ya soko la dunia.
HER tweet media
Indonesia
2
14
10
81
One Sister retweetledi
MWENYEKITI
MWENYEKITI@Dictatorbin2·
UTU KWANZA 🙏
MWENYEKITI tweet media
Indonesia
0
9
9
43
One Sister retweetledi
Kigogo Media
Kigogo Media@kigogo2014·
NDIYO MAANA WATANZANIA WANASHANGILIA MKINYOFOLEWA ROHO..📌 Kuna mambo yanatia kichefuchefu sana ukiona yanatokea halafu wanaoyafanya wanaita makamera na kwenda kujifanya wanashangaa kwa nini yanatokea. Kuna mambo yanafanyika ndiyo chanzo na yanaakisi jinsi wananchi wa Tanzania wanavyochukia viongozi na serikali na wanafurahi sana wakiona wanang'olewa roho sababu ni kama hizi za kinachoendelea Coco Beach.. Hakuna jinsi ambavyo Coco Beach inaweza kubinafsishwa halafu serikali isijui au iwe haina taarifa. Hakuna jinsi mtu yoyote anaweza taka kuwekeza Coco Beach halafu serikali isiwe na taarifa. Kinachofanyika sana ni mazingaombwe na kujifanya serikali haijui lolote lakini ukweli ni kuwa wanajua na watakuja wengi tu kujifanya kushangaa!.. Wanachofanyiwa wananchi wa Coco Beach na wafanyabiashara wale ni mazingaombwe ambayo yamekuwa sehemu ya utamaduni wetu na siasa zetu kwa muda mrefu sana na inatia kinyaa sana. Kuna watu kwa makusudi kabisa wamekuwa wanafanya jitihada za dhati kweli kweli kuhakikisha wanamtia Rais na serikali kwenye mikingamo na wananchi ili mradi kuwe na sintofahamu tu kika siku. Yaani unabinafsisha Coco Beach kivipi? Kwa sababu zipi yaani? Suala la kubinafsisha Coco Beach lilishazikwa na kumalizwa na serikali ya Kambale na kupiga marufuku jambo hilo na kutangaza kuwa Coco Beach ni sehemu ya ufukwe kwa matumizi ya wananchi wa kawaida wa Dar Es Salaam na kama kuna mwekezaji anataka kuwekeza atafute beach nyingine!. Baada ya kauli ile wafanyabiashara wadogo wengi wakajimwaga kufanya biashara zao za mihogi 😁 hapo na kwa kweli watanzania wa hali ya chini wamefaidika sana na uwepo wa biashara hizo na ruhusa ya kutumia hizo fukwe! Leo zinapokuja porojo za kuwa eti kuna mwekezaji maana yake ni kuwa serikali inajua inachokifanya na tayari kuna watu wameshakula milungula kwa ajili ya kufukuza watu hapa na kuweka wanaojiita wawekezaji! Nimeona fulani katembelea Coco Beach jana sijui juzi! Zote hizi ni porojo na mazingaombwe ,hawa watu wanajua kinachoendelea na kinachofanyika sasa ni kujikosha tu lakini kwa kweli tuna shida sana kama serikali inashindwa kuacha hata maeneo madogo hivi kwa ajili ya wananchi wa kawaida!. Mambo haya ndiyo chanzo cha chuki kati ya wananchi na serikali japo mnajifanya hamuoni na kusikia. Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mkatili sana lakini kuna baadhi ya mambo kama haya ndiyo yanafanya watanzania wanamkumbuka Magufuli mpaka leo pamoja na ukatili wake! Yaani haiwezekani serikali iliyopita ilikataa mambo ya kuwekeza Coco Beach na kusema hili eneo ni la wananchi wa kawaida halafu inakuja serikali nyingine inafukuza wananchi na kusema kuna muwekezaji! Halafu mnakaa kabisa kwenye vikao vyenu mnajiuliza kwa nini wananchi wanawachukia! Mnakaa kabisa mnajiuliza kwa nini wananchi hawawapendi na wanashangilia mkinyofolewa roho ! Kama hamjui sasa hizi ndiyo sababu zake halisi kabisa!. HUU SIYO UJI kwamba kila mtu aonje! Uongozi ni kipaji na maarifa na busara siyo kuvaa vaa maskafu na kuimba umaskini fake.. BADILIKENI.. HALAFU huu mwaka CAG huna ripoti ya kutoa mbona siku kama zimepitiliza au ripoti bado haijakamilika? Au bado mnatekeleza mapendekezo ya mwaka jana 😁😁 #KigogoMediaUpdates
Kigogo Media tweet media
Indonesia
1
4
35
5.2K
One Sister retweetledi
SUN TZU🇹🇿
SUN TZU🇹🇿@Sun_tz_u20sj·
DKT SAMIA AHADI ATIMIZA KIMYA KIMYA ✍️Ujenzi SGR waendelea kusonga mbele, fedha zapatikana ✍️Wananchi sasa wajiandae ujio wa fursa za biashara, ajira ✍️Tanzania yapewa tuzo, mikataba bora ya mikopo nafuu
SUN TZU🇹🇿 tweet media
Indonesia
1
7
6
62
One Sister retweetledi
kichefuchefuu
kichefuchefuu@kichefuchefuu·
Dada wa Taifa ameongea madini matupu ✍️ Tumsikilize
Indonesia
0
16
11
108
One Sister retweetledi
MTETEZI WA CHADEMA
MTETEZI WA CHADEMA@Mtetezi_chadema·
Tanzania Advances Industrial Ambitions with First Ferroniobium Plant in Africa _By Africa J&L Correspondent, Washington, D.C._ Tanzania has entered a $300 million agreement with Panda Hill Tanzania Limited to develop the Panda Hill niobium project. The agreement includes a 16%
MTETEZI WA CHADEMA tweet media
English
1
3
3
20
One Sister retweetledi
Adui Wa Yanga
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga·
Tanzania Advances Industrial Ambitions with First Ferroniobium Plant in Africa _By Africa J&L Correspondent, Washington, D.C._ Tanzania has entered a $300 million agreement with Panda Hill Tanzania Limited to develop the Panda Hill niobium project. The agreement includes a 16% free-carried government interest and construction of Africa’s first ferroniobium plant, only the fourth such facility built globally in the past 40 years. Key highlights include: - Strategic government participation: The deal gives the government a 16% free-carried interest, ensuring direct national benefit. - Industrial development milestone: The project includes Africa’s first ferroniobium plant, marking a significant step in the continent’s mineral value addition. - Global market positioning: Once operational, it is expected to produce approximately 100,000 tonnes of niobium annually, positioning Tanzania as the world’s fourth-largest producer and accounting for around 4% of global supply. Under President Samia Suluhu Hassan, Tanzania has prioritized an industrialization drive alongside major infrastructure investments. These include expanding electric standard gauge railway (SGR) lines to connect Rwanda, Burundi, and the Democratic Republic of Congo via Tanzania’s Central Corridor. The existing SGR line connecting Dar es Salaam and Dodoma has proven a transformative strategy.
Adui Wa Yanga tweet media
English
0
15
15
328
One Sister retweetledi
Johari Mshana
Johari Mshana@joharimshana·
Bado nashangaa, Wanawake mnamuamini vipi huyu Chahali mpaka anawakopa na mkampa 😂 😂. Stori hii imefika mpaka saloon 😂 si chizi yule jaman kabisa wa kwenda milembe!! Sisi wanawake mganga wetu amekufa!!
Indonesia
1
10
11
856
One Sister retweetledi
Johari Mshana
Johari Mshana@joharimshana·
Tumeamka na lecture ndefu za kumtetea Maria Sarungi, sijui kwao hawakuwa wezi, sijui baba hakuwa mwizi! Come on guyz! Maria na mdogo wake Vero na kaka zake si tunawaona ni well wealth wanashindwaje kufanya repair ya choo hiki? Msikimbie hii aibu, itatue!!!!
Indonesia
6
15
12
597
One Sister retweetledi
Ngadu
Ngadu@1ngadu1·
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kutimiza kimya kimya ahadi zake kwa watanzania.
Ngadu tweet media
Indonesia
0
13
10
312
One Sister retweetledi
Ngadu
Ngadu@1ngadu1·
Tanzania Advances Industrial Ambitions with First Ferroniobium Plant in Africa By Africa J&L Correspondent, Washington, D.C. Tanzania has entered a $300 million agreement with Panda Hill Tanzania Limited to develop the Panda Hill niobium project. The agreement includes a 16% free-carried government interest and construction of Africa’s first ferroniobium plant, only the fourth such facility built globally in the past 40 years. Key highlights include: - Strategic government participation: The deal gives the government a 16% free-carried interest, ensuring direct national benefit. - Industrial development milestone: The project includes Africa’s first ferroniobium plant, marking a significant step in the continent’s mineral value addition. - Global market positioning: Once operational, it is expected to produce approximately 100,000 tonnes of niobium annually, positioning Tanzania as the world’s fourth-largest producer and accounting for around 4% of global supply. Under President Samia Suluhu Hassan, Tanzania has prioritized an industrialization drive alongside major infrastructure investments. These include expanding electric standard gauge railway (SGR) lines to connect Rwanda, Burundi, and the Democratic Republic of Congo via Tanzania’s Central Corridor. The existing SGR line connecting Dar es Salaam and Dodoma has proven a transformative strategy.
Ngadu tweet media
English
0
11
9
85
One Sister retweetledi
Stori za Pombe 👽
Stori za Pombe 👽@storizapombe·
Dkt. Samia Suluhu Hassan aendelea kusimamia maendeleo ya kitaifa! 🇹🇿 ✍️ Ujenzi wa SGR unaendelea kwa kasi, fedha zimetengwa na mradi unazidi kusonga mbele. ✍️ Wananchi wa Tanzania wajiandae kwa fursa za biashara na ajira zitakazozalishwa na miradi hii mikubwa. ✍️ Tanzania inapata sifa kwa mikataba bora ya mikopo nafuu, chini ya uongozi imara wa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Tanzania ni ya sasa, Tanzania ni ya kesho
Stori za Pombe 👽 tweet media
Indonesia
2
17
11
147
One Sister retweetledi
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
DKT SAMIA AHADI ATIMIZA KIMYA KIMYA ✍️Ujenzi SGR waendelea kusonga mbele, fedha zapatikana ✍️Wananchi sasa wajiandae ujio wa fursa za biashara, ajira ✍️Tanzania yapewa tuzo, mikataba bora ya mikopo nafuu
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 tweet media
Indonesia
0
16
15
222
One Sister retweetledi
Adui Wa Yanga
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga·
Mfariji wa Taifa♥️
Adui Wa Yanga tweet media
HT
4
11
11
409
One Sister retweetledi
Stori za Pombe 👽
Stori za Pombe 👽@storizapombe·
Tanzania Advances Industrial Ambitions with First Ferroniobium Plant in Africa By Africa J&L Correspondent, Washington, D.C. Tanzania has entered a $300 million agreement with Panda Hill Tanzania Limited to develop the Panda Hill niobium project. The agreement includes a 16% free-carried government interest and construction of Africa’s first ferroniobium plant, only the fourth such facility built globally in the past 40 years. Key highlights include: - Strategic government participation: The deal gives the government a 16% free-carried interest, ensuring direct national benefit. - Industrial development milestone: The project includes Africa’s first ferroniobium plant, marking a significant step in the continent’s mineral value addition. - Global market positioning: Once operational, it is expected to produce approximately 100,000 tonnes of niobium annually, positioning Tanzania as the world’s fourth-largest producer and accounting for around 4% of global supply. Under President Samia Suluhu Hassan, Tanzania has prioritized an industrialization drive alongside major infrastructure investments. These include expanding electric standard gauge railway (SGR) lines to connect Rwanda, Burundi, and the Democratic Republic of Congo via Tanzania’s Central Corridor. The existing SGR line connecting Dar es Salaam and Dodoma has proven a transformative strategy.
Stori za Pombe 👽 tweet media
English
0
14
8
69
One Sister retweetledi
kichefuchefuu
kichefuchefuu@kichefuchefuu·
DKT SAMIA ATIMIZA AHADI KIMYA KIMYA, MATOKEO YANAZUNGUMZA 🇹🇿🔥 ✍️ Ujenzi wa SGR wazidi kupiga hatua kwa kasi, fedha zipo na kazi inaendelea bila kusuasua ✍️ Fursa za biashara na ajira zinakuja kwa kasi wananchi jiandaeni kunufaika na mabadiriko haya ✍️ Tanzania yazidi kung’ara
kichefuchefuu tweet media
Indonesia
1
17
8
106
One Sister retweetledi
Kilwafinest 🦈
Kilwafinest 🦈@Kilwafinest·
Mfariji Wa Taifa 🇹🇿
Kilwafinest 🦈 tweet media
HT
3
8
9
166
One Sister retweetledi
Kilwafinest 🦈
Kilwafinest 🦈@Kilwafinest·
TANZANIA LEO LAANDIKA ⤵️ “Dkt Samia Atimiza Ahadi Kimya Kimya” Ujenzi SGR ✅ Fursa Za Kutosha kwa Wananchi ✅ Mikataba Bora Mikopo Nafuu ✅
Kilwafinest 🦈 tweet media
Indonesia
4
13
10
227
One Sister retweetledi
Johari Mshana
Johari Mshana@joharimshana·
Vipi huko mnawakuwajali? Kuna mtu mmoja anadaiwa nimetumiwa ila mie namuonaga kama wage wage ngoja kwanza nidhibitishe taarifa nawaletea 😂
Filipino
0
6
23
4.3K