@SimbaSCTanzania Kiufundi unashangaa inakuwaje Maema yupo uwanjani huoni kitu, unafanya sub ya Mpenzu anayekupa uhai mbele Maema bado yupo uwanjani, unafanya sub ya Loemba na Maema bado yupo uwanjani alafu unataka kutafuta mchawi hapo wakati game ameiua kifo cha mende kabisa .
🚨 WAKATI Kibu Denis mkataba wake na Simba ukitarajiwa kumalizika mwisho wa msimu huu, taarifa mpya ni kwamba muda wowote kuanzia sasa, klabu hiyo itakamilisha makubaliano ya kumuuza kwenda Al-Nasr ya Libya.
Dau walilowasilisha Walibya hao ni dola 300,000 (Sh770 milioni za Kitanzania) ambapo kinachofanyika sasa, ni kumalizia hatua za mwisho.
@the_animal99@BracuszCadabra Changamoto ya simba hakuna mtengeneza nafasi strikers wanahangaika sana kujitaftia mali na mali ikidondokea miguuni kwao ni ile ya papatu ila dogo ni mzuri ni swala la mda tu
@BracuszCadabra Ni mpambanaji ila la muhimu zaid afunge ndo anachotakiwa kukazia hapo.
Story kama teka la asenyoo hatutaki sijui anakaba mara sijui ana nini hatutaki. Teka ni kufunga tu
🚨Simba SC wamekamilisha usajili wa mshambuliaji mzawa Baraka Mwangosi kutoka Mbeya City
Uongozi umefikia Hatima hiyo baada ya kuridhishwa na kiwango chake kwenye majaribio ya siku 10
@Iam_foncie@MickyJnr__ Binafsi nawaelewa simba vizuri sana kocha hana mbinu ukiangalia wachezaji wapya waliokuja uchezaji wao ni sawa na wale walioondoka timu haina muunganiko kila siku kwahyo hapo changamoto sio wachezaji ni kocha
@MickyJnr__ Matumizi mabovu ya Rasilimali Fedha, unasajili wachezaji kwa mahitaji ya kocha, dirisha linafungwa, msimu haujaanza Kocha anaondika, aje kocha mwingine na baadhi ya wachezaji hasiwahitaji, tunaanza Tena upya, hili timu sijui inaendeshwaje, ndo maana tunafungwa na Yanga Kila siku
🚨 𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠:
Coach Fadlu Davids has left Simba SC with immediate effect.
Yesterday’s 1-0 win over Gaborone United was his final game in charge.
Fadlu, a respected professional inside and outside the club, decided to move on after certain things didn’t go as planned.
He did not travel back with the team from Botswana, instead flying to Johannesburg to prepare for a new challenge.
He departs alongside four of his key assistants — first assistant coach, goalkeeper coach, analyst and biokineticist.
For now, Matola and Riedoh Berdien will lead the team as Simba prepare for their next Premier League clash against Fountain Gate.
It’s a tough moment for Simba fans, but as they say, everything that begins must one day end.
What are your thoughts on this big development? 💭
#NguvuMoja#AfricanFootball
@fumbokhanJr Mashabiki tunafeli sana hakuna mchezaji ambae hakosei mara ngapi che melon anakosea sema timu inambeba kwa kupata matokeo, tumuache dogo kukosea ndo kujifunza
@SimbaSCTanzania Simba tuache kuridhika asee tunagoli mbili na tunauwezo wa kufunga kabisa ila tunacheza kama tumemaliza kila kitu timu inacheza kwa kiwango cha chini sana tubadilike asee