Reuben Lukumay ole CDM

16.6K posts

Reuben Lukumay ole CDM banner
Reuben Lukumay ole CDM

Reuben Lukumay ole CDM

@ReubenLukumay

We Demand for Peace,Freedom & Justice. Rancher. A soldier in God's army. #Activist #Chadema_Active_Member. Anytime Mp.

KLM, Tanzania Katılım Aralık 2018
1.1K Takip Edilen18.3K Takipçiler
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Yes kwa sababu mmezingua sana, yaani mmejivunjia hata heshima ndogo mliyokuwa mmebaki nayo kama WAZEE…Mmelisaliti Taifa na kuliongezea maumivu mioyoni kwa kutoa ripoti ya ovyo ya KUBUMBA!
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
94
282
1.9K
28.5K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
iam_Jac
iam_Jac@Iam_jac5·
Chande ameingia kwenye mgogoro mkubwa sana na jamii kabudi na Samia wamemtumia vibaya sana huyu mzee Umma wa sasa ukifanya kosa unawajibishwa
Indonesia
39
111
529
40.5K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Bongo zozo anapiga tuu mitama ya SHINGO mamae. 😅
Español
30
312
1.8K
44.8K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Tamko La Wanazuoni Wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam (UDASA) Kuhusu Ripoti Ya Jaji Chande📌
Hilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet media
हिन्दी
19
164
565
17.3K
Reuben Lukumay ole CDM
Reuben Lukumay ole CDM@ReubenLukumay·
Imenichukua muda kufikiria niandike nini baada ya hi report ya chande...kila nikitaka kuandika chochote najikuta naanaza na tusi. Itoshe kusema huyu Mzee Chande NI QMA.
Reuben Lukumay ole CDM tweet media
Indonesia
1
0
4
357
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
GEN Z, Post hii naomba muikumbuke milele hata kama kesho sitakuwepo muishi nayo. TUSHATOKA kwenye siasa za kulambana miguu—siasa za kusubili vyama vya upinzani vitoe matamko hizo siasa tushaziacha 2025. Kama tuliweza kuandamana #MO29 bila mchango wa chama chochote cha siasa inamaanisha hakuna KITU TUTATAKA kwenye hii nchi tutakikosa TUKIAMUA. Siasa hizi zetu GEN Z tumia LUGHA Yeyote ile kuondoa sumu mwilini mwako, unapoona unastahili KUTUKANA kwa usenge wanaofanya basi fanya hivyo bila kuogopa usenge. Zile siasa za kufuata PROTOCAL za kisenge ndio zimefikisha taifa hapa. Msikubali kuendeshwa na WANASIASA wasenge, tembeeni na wanasiasa wanaoongea LUGHA MOJA NA NYIE. TUKUTANE AFCON 2027.
Indonesia
64
358
1.9K
69.4K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Mwezi umeonekana nchi zote jirani na duniani ila Tanzania ndo haijaonekana, ama? Sielewi! Ila nchi ina mambo ya kiwaki sana!
Filipino
98
108
1.2K
70.5K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Yaani hii haiishi mpaka IISHE…
Joseph Mbilinyi tweet media
Filipino
71
259
1.7K
40.3K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Shija S.S.Shibeshi
Shija S.S.Shibeshi@ShijaShibeshi·
Kesho Februari 02,2025,Kamanda @HildaNewton21 atazungumza na Watanzania kupitia chombo Cha Habari Cha BBC @bbcswahili. Aidha Wapigania Haki na Demokrasia,Kadhaa Wataanika Maovu ya Watawala Haramu yanayofanyika katika Nchi yetu. Kama wewe ni Mtu wa Haki usikose kusikiliza.
Shija S.S.Shibeshi tweet media
Indonesia
32
170
1.1K
25.4K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Wewe ni rais. Unakerwa na mtoto wa miaka 20, Shadrack Chaula, aliyechora picha inayofanana na sura yako akaichoma. Unaagiza atekwe, ateswe, auwawe. What kind of a dubious human are you? Enough is enough!!
Filipino
14
243
1.5K
25.8K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Kuuza akiba ya dhahabu, ni ushauri wa nani? MADURO? Nataka kuamini ni akili na ushauri wa MADURO kuuza akiba ya dhahabu (gold reserves) ili kumalizia ujenzi. Kwani zaidi ya tozo na kodi ya bia ana mawazo gani mengine zaidi ya kuuza last option of survival? Mwanzoni mwa mwaka 2010, Benki Kuu za nchi nyingi Duniani ziliacha kuuza dhahabu na kugeuka kuwa wanunuzi wakubwa wa dhahabu. Leo, USA wanayo hifadhi ya dhahabu thamani ya $1.44 Trilioni Oktoba 2023, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ilianza kununua dhahabu kwa ajili ya akiba. Manunuzi ya dhahabu yalilenga kuimarisha nguvu ya shilingi katikati ya changamoto za kidunia. Ghafla mnauza tena? Wakati nchi nyingine timamu Duniani zinanahifadhi dhahabu kama kinga dhidi ya kuyumba kwa hali ya uchumi wa dunia, mfumuko wa bei za bidhaa, na hatari ya sarafu, sisi tumeamua kuuza akiba ya dhahabu? Nchi timamu Duniani zinahifadhi akiba ya dhahabu zao kwa sababu mbalimbali ikiwa pamoja na; Safe Haven Asset: Reserve Diversification; Hedging Inflation; Liquidity and Creditworthiness; Confidence Booster; Lakini siyo kuuza akiba ya dhahabu ili kukamilisha miundombinu iliyokwama. Kwani kuna geopolitical conflict? Kuna njaa kuu hadi mnaona suluhisho ni kuuza akiba ya dhahabu? Marafiki zenu wamekata mirija? Sababu ya Serikali ya MaCCM kuamua kuuza akiba ya dhahabu ni kukamilisha miradi inayoendelea? Tukitumia ubongo vizuri, tunakumbuka miradi mikubwa inayoendelea pesa ilitengwa na pesa nyingine ni mikopo Nchi zilizo na akiba kubwa ya dhahabu (highest gold reserves) zinakuwa na uwezo mzuri wa kukabiliana na shinikizo la kiuchumi; zinazo mali zinazoongezeka thamani nyakati za misukosuko ya uchumi. Miundombinu ni muhimu, ndiyo, lakini kuuza akiba ya dhahabu ni suluhisho la muda mfupi. Tafuteni namna nyingine ya kukamilisha miradi yenu iliyokwama. Halafu, mikopo kwa ajili ya hiyo miradi ilikwenda wapi? Mvutano wa kisiasa unaoongezeka Duniani, migogoro ya kibiashara, na mabadiliko katika sera za misaada ya nje ya Marekani na Ulaya vitaongeza hali ya wasiwasi wa kiuchumi Duniani., akiba ya kuwasaidia ipo wapi? Dhahabu ikishaondoka, imeondoka. Miundombinu inaweza kusubiri kama mlivyoisubirisha miaka 64. Ongezeni thamani kupitia uchimbaji, imarisheni ukusanyaji wa rasilimali, siyo kuuza akiba ya dhahabu Watasha wanajua wakishapata hii rasilimali muhimu watakuja kuuza zaidi wakitengeneza bidhaa zake. MaCCM hampo vitani mnauza akiba ya dhahabu kwa ajili ya kukamilisha miundombinu. Akiba ni tani 6. Wizara ya Madini Tanzania ilisema hadi kufikia Julai 2025, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ilikuwa na hifadhi ya dhahabu tani 6.84 yenye thamani ya $682 milioni tangu ilipoanza kununua na kuhifadhi Oktoba 2023. Akiba ya dhahabu ambayo Tanzania inataka kuuza ina thamani ya $13.7 bilioni. Ni kiwango sawa na ambacho nchi ya Ukraine iliuza akiba yake ya dhahabu mwaka 2022 ili kustahimili kuwepo vitani na Russia. Ukraine, 2022 waliuza akiba ya dhahabu yenye thamani ya $12 billion ili kununua bidhaa. Q3 na Q4 2025 akiba yao ya dhahabu ni tani 27.37 ambayo thamani yake ni $3.664 billion. Hawa wapo vitani. Ninyi mpo vitani? Kwa mwaka 2025 nchi iliyoongoza katika kununua dhahabu Duniani ilikuwa ni Poland, ambapo imenunua tani 67. Poland ni moja ya nchi ambayo iko katika mvutano mkubwa wa kidiplomasia na Russia. Septemba 10, 2025, drone 19 za Russia ziliingia anga la Poland, 3 zikiangushwa. Russia imesisitiza haikua na nia ya kuivamia Poland. Poland imeendelea kulipinga, na kusisitiza kwamba Russia ina njama dhidi yake. Hii ni sababu ya Benki Kuu ya Poland kuamua kuimarisha akiba ya dhahabu ambayo ni nyingi kuliko European Central Bank. Akiba yao ni tani 770 na hii inaifanya kuwa nchi ya 10 kwa akiba ya dhahabu Duniani Tanzania hatupo vitani. Hakuna geopolitical crisis. Hakuna janga la njaa isipokuwa akiba yake ya dhahabu inauzwa ili kuendeleza miundombinu. Miundombinu gani? SGR? BRT? Fedha za mikopo zimekwenda wapi? Tanzania ni muuzaji mkubwa namba nne wa dhahabu Afrika ambaye hayupo katika orodha ya nchi 10 za Afrika ambazo zinamiliki akiba kubwa ya dhahabu, sasa tumeamua kuuza hata hiyo akiba ya dhahabu iliyosalia NB; Tanzania tupo katika orodha ya Africa’s largest exporter of gold halafu sehemu za watoto kuhifadhi mavi tunajengewa na mabeberu. MaCCM mnatakiwa kupelekwa motoni moja kwa moja, bila majadiliano.
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
35
152
695
29.4K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Vitus Nkuna
Vitus Nkuna@VitusNkuna·
UNESCO tunaomba muwalinde Vibonge hawa. Wapo hatarini!.
Vitus Nkuna tweet media
Filipino
4
17
151
2.9K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Happy birthday Rais wa TLS @Mwabuk2Boniface wewe ni miongoni mwa watu muhimu sana kwenye mapambano ya kupigania Haki na Demokrasia ya kweli katika Taifa letu. Siku ya leo nakuombea Mungu akujalie uishi maisha marefu yenye baraka na amani tele.🥂
Hilda Newton tweet media
Indonesia
5
67
489
4.7K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Rose Mayemba
Rose Mayemba@rose_mayemba·
Nasikia leo ni aiku ya kumbukumbu ya kuja duniani ya yule mwanamke muuaje. Tuungane kulilaani tumbo la mwanamke aliyemzaa,tuilaani siku aliyozaliwa, tuulaani uzao wake na tuombe na ghadhabu ya Mungu ishuke kwa kila ambarikiye kiumbe katili wa aina yake. Amina.
Rose Mayemba tweet media
Indonesia
23
94
425
5K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kila kitu ni hatua. Mwaka huu nilisema nitafanya Kila kitu. Nimeanza na content za michezo mwezi huu january—target kufikia mwezi wa 6 (World CUP) niwe nafanya Streaming za game kama wenzetu walioendelea. Game inaendelea na mm nipo Live, ile style ina mizuka sana. Kwahiyo huu mwaka kuna mengi wanangu. Uzuri nikisemaga kitu huwaga ni SHERIA. TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
23
61
829
34K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
CHADEMA Arusha. Kuna nyakati historia huwaita watu wake si kwa maneno, bali kwa dhamira. Jumamosi tarehe 24/01/2026, Tengeru Arusha haitakuwa tu mahali pa mazishi ya Mzee Edwin Mtei, itakuwa mahali pa kuhoji dhamiri zetu kama wanachama wa CHADEMA. Mzee Mtei na wenzake hawakuanzisha CHADEMA kwa ajili ya madaraka, bali kwa ajili ya haki na heshima ya utu wa Mtanzania. Pamoja kuwa niko nje ya nchi kwa masuala ya kifamilia, lakini dhamira yangu hainipi nafasi ya kunyamaza. Natoa wito kwa wanachama wote wa CHADEMA hususani Mkoa wa Arusha na Kanda ya Kaskazini kusimama upande wa historia kwa kujitokeza kwa wingi sana Tengeru kutoa heshima ya mwisho kwa Mzee Edwin Mtei, muasisi wa CHADEMA. Mzee Edwin Mtei anastahili heshima kubwa, si kwa maneno, bali kwa matendo. Mungu awabariki sana.
Indonesia
15
257
1.6K
47.2K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Heri ya siku ya kuzaliwa Tundu Antiphas Mughwai Lissu. Nakutakia maisha marefu yenye afya njema, nguvu, na hekima ya kuendelea kulitumikia taifa kwa moyo wa uzalendo, ujasiri, na uadilifu. Binafsi nimepata kukufahamu, wewe ni mtu imara na jasiri sana. Tunaamini kwa dhati kwamba kuta za gereza la Ukonga haziwezi kamwe kuzima dhamira yako thabiti ya kupigania haki, usawa, na utu wa Watanzania. Kesho, Taifa letu litakuwa salama sana kwa kila mtu. Kwetu wengine, hii imekuwa fursa sahihi ya kutafakari safari yako ya maisha, mchango wako katika kupigania haki, demokrasia, na utawala wa sheria, pamoja na matumaini ya yaliyo mbele. Tunajivunia sana. Tunatambua na kuthamini dhamira yako ya dhati na thabiti, msimamo wako usioyumba, na uthubutu wako katika kusimamia misingi ya haki na usawa, hata pale kunapokuwa na changamoto kubwa katika jamii. Kazi yako katika siasa za nchi yetu imekuwa chanzo cha hamasa kwa wengi, hususani vijana, kuamini katika sauti yao na wajibu wao kwa jamii na nchi kwa ujumla. Umelitumikia Taifa lako kwa uadilifu mkubwa sana. Tunakuombea ulinzi, amani ya moyo, na baraka tele katika hatua zako zijazo. Uendelee kuwa sauti ya ukweli, mwanga wa matumaini, na kielelezo cha uongozi unaojali maslahi ya wananchi kwa ajili ya kesho yetu nzuri. Happy Birthday to a friend to many—Tundu Antiphas Mughwai Lissu. May the years ahead bring strength, perspective, and the continued capacity to shape public life with honesty and purpose. Happy Birthday TAL.
Martin Maranja Masese tweet media
Indonesia
11
126
1.1K
69.9K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Because of the killings that took place in Tanzania I probably shouldn’t criticize any country’s politics but damn is Uganda even a real country? It’s a circus, at times I feel like they are just acting in a comedy show and it’s not real life. Kwa sababu ya mauaji yaliyotokea Tanzania, siwezi kukosoa siasa za nchi nyingine yoyote, lakini jamani hivi Uganda ni nchi ya kweli kama nchi zingine? Wakati mwingine naonaga kama circus show. Kuna nyakati nahisi kama wanaigiza tamthilia ya vichekesho, na si maisha halisi kabisa. Dah
English
68
211
1.5K
75.9K
Reuben Lukumay ole CDM retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Hongera sana @JohnNgutiCDM kwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bavicha Kanda ya Pwani. Nakutakia kila la kheri katika utekelezaji wa Majukumu yako, nenda kawatumikie Vijana wenzako, Chama na Taifa kwa ujumla.🙏
Hilda Newton tweet media
Indonesia
6
100
800
8.5K