Sabitlenmiş Tweet

@RietaSeed tunayo Mbegu Bora ya Mahindi ya UH 6303
Hii inastawi vema sana ukanda wa juu hasa Mbeya, Songwe,Njombe, Rukwa, Katavi na Njombe.
- Mavuno mengi magunia 30 kwa eka.
- Ni tamu kuchoma, hutoa unga mwingi.
- Bei: sh 4,500 kwa kilo.
- Unahitaji kilo 10 kupanda eka moja.

Indonesia




























