Magobe
8.7K posts

Magobe
@Robertmagobe
Farmer || Chemist || Lifelong student in Entrepreneurship || Establishin’ MarthaFord Co. ||


Mahakama Kuu ya Kanda ya Morogoro imewahukumu kifungo cha maisha washtakiwa wanne kwa kusafirisha bangi (viroba 16). Waliotiwa hatiani ni Silvanus Julius, (49) mkazi wa Tambuka Reli - Mikumi, Joyce Gidion (49) mkazi wa Yombo Vituka Dar es Salaam, Sophia Samweli (45) mkazi wa Mogo - Mikumi na Frolian Magoha, (36) mkazi wa Idege -Mikumi.



Kwasasa awamu ya sita ina mradi gani mkubwa inafanya? Maana kimya kimekua kikali, wazee wa vitiki uwanja ni wenu.






Jana ndio nimejifunza kitu matajiri wengi ni bahiri wananidhamu sana na pesa kuna baba huwa namuuzia tshirt za mtumba za elfu tatu karibu miezi miwili sasa sikuwahi kujua kama ni mmiliki mkubwa wa mabus mpaka jana kijana aliyempa kusimamia moja ya biashara yake aliposema ikabidi


















