stevehere
1.6K posts

stevehere
@RurounStephan
sports, music, economics, politics,
Katılım Ağustos 2019
1.6K Takip Edilen1.4K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet

"Alipita yanga pale jangwani akitokea Vita club ya congo akaenda pyramid pale Misri leo anacheza zidi ya Cr7 amabye alianzia maisha yake sporting akapelekwa man unkted kwa msaaada ya wa rafiki yake....................akaenda madrid akawa bingwa mara 5 wa uefa......................akaenda juve...........akaenda man u tena ........sahivi yupo Al nassir.
................
Ooooooh amekosaaaaaaaaa...
Filipino


@RurounStephan @mananajr_ Kama haja-overstay muda mrefu anaweza kwenda uhamiaji akaongezewa siku chache.
Indonesia

@ProLearner77 @mananajr_ Inawezekana kwenda border kurekebisha?
Indonesia

@RurounStephan @mananajr_ Kukamatwa
Kufukuzwa (deportation) au
Kupelekwa mahakamani
Polski

@ProLearner77 @mananajr_ Hatua zipi zinachukuliwa ikiwa mtu atapitiliza muda uliowekwa kwenye passport baada ya kuingia nchi jiranj mfano uganda au kenya?
Indonesia

@mananajr_ Hapati Uraia.
Anapata kibali cha kuishi (residence permit) ambacho atakuwa ana-renew kila baada ya miaka 2.
Utamuombea kama depedant.
Baada ya miaka 10, ndio anaweza kuomba kupewa uraia, na atatakiwa kukana uraia wake wa awali.
Indonesia
stevehere retweetledi

Martin maranja masese @IAMartin_ ni mtetezi wa haki za binadamu na mchambuzi wa siasa mwenye ushawishi mkubwa katika mijadala ya kijamii hasa kupitia mitandao ya kijamii
Alianza maisha yake ya kazi kama mwalimu kisha akaamua kuacha ajira ya serikali na kujikita katika shughuli huru za kijamii na kitaaluma akilenga zaidi kuelimisha jamii kuhusu haki za binadamu, uwajibikaji na utawala bora
Umaarufu wake umejengwa juu ya uwezo wake wa kipekee wa:
1:kuchambua masuala ya kisiasa kwa kina na kwa mantiki
2:kuunganisha sheria, historia na uhalisia wa kijamii katika hoja zake
3:kuelimisha vijana kuhusu haki zao na wajibu wao katika jamii
4:kuhimiza uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi
Kupitia mitandao ya kijamii hasa X/Twitter amekuwa chanzo cha mijadala yenye manufaa kwa jamii akisaidia kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu demokrasia, haki za binadamu na masuala ya utawala
Katika safari yake amekutana na changamoto mbalimbali ikiwemo shinikizo la kijamii na kuitwa na vyombo vya dola kutokana na msimamo wake wa wazi lakini hali hiyo haijamzuia kuendelea kusimamia anachoamini
Mpaka sasa anaendelea kutambulika kama mmoja wa sauti muhimu zinazochangia uelewa wa haki za binadamu, uwajibikaji wa viongozi na maendeleo ya fikra za kisiasa miongoni mwa vijana Tanzania




Indonesia
stevehere retweetledi

Zama za Ofisi ya Msajili wa Vyama kuwa mchezaji namba 12 wa CCM FC zimekwisha.
Dola isome alama za nyakati. The writing is on the walls!
Msajili STOP THIS NONSENSE ya kutaka kufuta CHADEMA. Utafutwa wewe, No doubt about this!
Tume ya Chande iliyoundwa na Rais imetoa Taarifa inayosema wananchi wanailalamikia Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kutokutenda haki kwenye kusimamia shughuli za vyama vya Siasa. Badala ya Msajili kuchutama, kuwajibika na kubadilika anarudia makosa yaleyale yaliyopelekea mauaji yaliyoanza Oktoba 29.
Msajili anajua, Watanzania wanajua na Dunia inajua kuwa Kuna ushahidi wa kutosha wa CCM kufanya makosa makubwa kuliko hata ambayo msajili ameituhumu Chadema, hatukuwahi kuona hatua zozote zimechukuliwa na Ofisi hii ya Msajili.
Ofisi ya Msajili ijue WATANZANIA SIO MABWEGE. Tunachukulia tishio lolote dhidi ya CHADEMA ni tishio dhidi ya Demokrasia. An attack to one, is an attack to all.
Iacheni CCM ifanye Siasa za Ushindani dhidi yetu. Nasi tufanye siasa za ushindani dhidi yao.
Acheni kuwa mbeleko ya CCM. Mtaanguka nayo. Ujumbe huu sio wa Msajili tu bali pia ni kwa VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA pia. Kaeni pembeni acheni vyama vya Siasa vifanye Siasa.
Mnataka watu wangapi wafe ili mpate somo?
Indonesia

BONGOSTAR SEARCH: HII HAPANA
Hatuwezi kukuza VIPAJI VIPYA kama tutakuwa tunavi HUMILIATE, MISTREAT & UNDERMINE kwa this type of unfair judging & condescending approach.
Huyu Binti anaimba, rap, na ni bilingual mwenye personality na exposure ya ulaya. Hizo ni Taarifa ambazo amezitoa ndani ya sekunde 20 za mwanzo; zilitosha kwa yeye kupewa BENEFIT OF DOUBT, na hata namna ya ku-engage nae ingeweza kuwa friendlier na yenye way more entertaining content than kum-shutdown hivi!
IKUMBUKWE; Washiriki ni AMATEURS na WAKO NERVOUS. Unaweza kuwa INDIFFERENT & UNBIASED as a JUDGE ila sio kuwa CRUEL; you can KILL THEIR CONFIDENCE na hata kama anajua akafanya BAD PERFORMANCE. Ndio maana WAZOEFU humfanya Mshiriki a-relax, kumsifia alivyovaa, kumuuliza nini anaimba, kum-wish goodluck, ili a calm down kabla ya kuperform.
MFANO mimi kama Judge, ningemtania kuhusu BRITISH ACCENT yake, au ningemuuliza LONDON alikuwa anafanya nini, etc. Way BETTER CONTENT for THE AUDIENCE.
Alafu disqualification yake ni kuwa SAUTI IKO CHINI, Really? Hicho si ni kielelezo tosha kuwa SHE IS NERVOUS? 🤷🏾♂️ Mimi nimemsikia kuimba anajua (hajakosea kitu), na angeruhusiwa 5-7 more seconds ambapo wimbo ulikuwa unaenda ku-TRANSITION, ndio tungejua uwezo wake zaidi. Na hivyo hivyo kwenye ku-rap, ame-rhyme, ameflow na amekaa kwenye pocket; Mashairi yake kweli ni Explicit ila sio kiiivyo.
Hata kina SIMON COWELL, wakiona RAW POTENTIAL, ila iko nervous, huwa wanasimamisha encourage them, then wanawapa second chance, na sio kuwa dismiss. Na mtu wa hivyo DEVELOPMENT & GROWTH ARC yake inaenda as anaendelea kuwepo kwenye Shindano na pia inawapa Audience nafasi ya ku-fall in love with Washiriki.
Mimi, WAKAZI, as a former judge wa UNITALENT SHOW, huyo dada ANAJUA KUIMBA; anaimba kwa Mix ya “HEAD & CHEST VOICE” na LOWER REGISTER MEZZO ALTO ndio her VOICE TYPE. ANAWEZA KU-RAP pia na Content yake inashabihiana na Female Rappers wa kisasa (Meg The Stallion, Sexy Red, Latto) so hiyo VERSATILITY yake ni golden. Ana PERSONALITY and Particular SENSE OF FASHION with GOOD COMMUNICATION SKILLS (English & Swahili). Na hizo zote ndio QUALITIES ZA KUTENGENEZA A STAR.
You can do better…
The Leader
Filipino


Producer @black_ninjaah amemtoa #Billnass, #ChidiBenz na #FidQ kwenye kundi la wasanii wa HipHop!
Msikilize hapa akinyoosha maelezo sababu ya kuwatoa wasanii hao kwenye HipHop.
#PlanetBongo
Filipino







