Sadah
2K posts

Sadah retweetledi

Hii ni App nzuri sana kwa ajili ya kusikiliza Qur'an, na kuisoma.
Tafadhali wajulishe unaowajua kwa kuwa-tag. "Yeyote mwenye kumjulisha mtu jambo la kheri, basi atapata malipo sawa na yule mwenye kuifanya kheri hiyo".
🔗Link ya kuipakua hii App👇
onelink.to/wahy



Indonesia

@OriginoZee17 Mpeleke hosptal huenda ikawa yale meno ya plastic muwahishe hosptal
Indonesia

@SLello47 Sasa umewahi kuona wapi… MSIBANI watu wananunua nguo?
Nyie mpo msibani…
Sisi Iddi ni sherehe…
Kabla sijasahau…
Pole saana kwa msiba huu mkubwa… wale wote waliohusika na kifo hiki- tutawaua wote
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Assalam Alaykum,
Kabla weekend haijachanganya mambo yakawa mengi…
Naomba leo niandikie namba ya METER na jina la MSIKITI ambao utajaaliwa Kuswali Ijumaa leo hapo kwenye COMMENT…
nataka kununua LUKU za Elfu tano tano kwa Misikiti 100.
👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽
Filipino
















