. retweetledi
.
68.6K posts

. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi

Je, unajua Muungano wa Tanzania umetupa faida gani kubwa kuliko zote kama nchi ya Tanzania?
#miminamuungano
#muunganotanzania

Filipino
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi

Shukrani kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu na mwingi wa rehema kwa kunijalia kuifikia siku nyingine ya kumbukizi ya kuzaliwa na umri wa miaka 66. Kwa moyo wa dhati, nimepokea na ninawashukuru nyote kwa salamu zenu za upendo.
Nimesherehekea siku hii kwa kupanda miti. Wito wangu kwenu, tujenge na tuendeleze utamaduni wa kupanda miti na kutunza mazingira ili nayo yaendelee kututunza sisi na vizazi vijavyo.




Indonesia
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi

Muungano wa Tanzania...
Ni mkataba wa kisiasa uliofanyika tarehe 26 Aprili 1964 kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Leo, bado ni kiini cha nguvu ya pamoja katika uchumi, usalama na utambulisho wetu kama taifa. 🇹🇿
#miminamuungano
#tanzania

Indonesia
. retweetledi


















