#TajiriLaKihaya
Kwa hii ISSUE ya BUYOBE na Hilda/Mshaba…
Ni kukaa Kimya kwanza 😅
Inaonekana kuna mambo mengi saana BADO hayajawekwa wazi…
Wanashambulia Kwa kuviziana… Kila upande unasubiri Nani aanze kumwaga Mboga wamalizie Ugali🤣
Kila aliekuwa Mentioned BADO hawajatoa vichwa na mtuhumiwa anawakwepa na wenyewe wanamsubir mtuhimiwa awazungumzie ndio wajibu 🤣
Hapa tuendelee kuwa wavumilivu… Nyama zipo chini wanangu…
Tukiona BADO wanaogopana… itabidi tuanze kuchochea pande zote ilimradi tupate picha kamili…
Nahisi kuna kipande kinarukwa na pande zote Kimaksudi kabisaaa!
#TajiriLaKihaya
Mimi nitafukua Makaburi… na MSAADA NITATOA…
Umekua miongoni mwa watu walionipiga Spana kwa kuwasaidia watu Mitandaoni ila leo mm nakutumia Hela mtandaoni na wewe unaomba Msaada mtandaoni kama walivyoomba wale uliokua unawaponda!
Sina Beef na wewe… tunaweka kumbukumbu sawa!
Kama jinsi nlivyowasaidia wale na Leo tunakusaidia wewe… ila ingekua bora kama ungeweka Bill nzima hapa- ili tujue tunachanga kiasi gani!
Mtu anaweza toa laki 5 kumbe bill ni laki 2 au mtu akatoa elfu 50 akajua amemaliza kumbe bill ni milion 5.
UGUA POLE Bro… MWENYEZI MUNGU AKUPONYE na Akujaalie uwe na AFYA NJEMA🙏🏽
Binafsi nipo tayari kwa mchango mwingine- ukiweka taarifa zako sawa!
Hongera.
Karibu katika Utumishi wa Umma, tunaamini mtafanya kazi kwa weledi na bidii na kutanguliza uzalendo na maslahi ya Umma mbele katika kuwatumikia na kuwahudumia Wananchi.