Mene Mene Digital

2.6K posts

Mene Mene Digital banner
Mene Mene Digital

Mene Mene Digital

@DigitalMene

▪︎Mastering the art of precision and tech 💡 ▪︎Liquidity • OB • FVG • Price Action 📊

Dubai, United Arab Emirates Katılım Ocak 2024
607 Takip Edilen249 Takipçiler
DIGGALLER💯
DIGGALLER💯@Jaxon__tz·
“Upande ule ndo’ watu huwa wanajitomba”😂😂
DIGGALLER💯 tweet media
Filipino
49
34
389
21.5K
millardayo
millardayo@millardayo·
Vilio, Majonzi na Simanzi vimetawala katika Mtaa wa Kijenge Kaskazini, Kata ya Kimandolu Mkoani Arusha baada ya Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Sarah Simon Kira kukutwa amefariki kwa madai ya kujinyonga ndani ya Kabati. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Ndugu wa marehemu, Sarah alikuwa akiishi na Mume wake kabla ya kurejea nyumbani kwao kufuatia kuachana na mwenza wake. Aidha, Ndugu hao wameeleza kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya presha pamoja na changamoto za msongo wa mawazo kwa kipindi fulani kabla ya tukio hilo. Baada ya tukio hilo kutokea, Jeshi la Polisi lilifika eneo la tukio na kuuchukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi na taratibu nyingine za kisheria. #MillardAyoUPDATES.
Indonesia
10
12
240
51K
Mene Mene Digital
Mene Mene Digital@DigitalMene·
@BarakaMneka2 @millardayo Haijalishi ukubwa wa Kabati, ila ukiweza kujifunga na kufanikiwa Ubongo kukosa hewa hapo hautoweza tena kujitoa, Akili ya kujifungua haipo inakuwa ni nguvu ya kutafuta Oxygen kwenda ktk Ubongo
Indonesia
0
0
1
26
Bin Bakari
Bin Bakari@BarakaMneka2·
@millardayo Kumbe kuna kabati kubwa mpaka za kufikia mtu akaweza kuning'inia na kamba na kujinyonga🤔
Indonesia
2
0
2
669
Mene Mene Digital
Mene Mene Digital@DigitalMene·
@royalmediatz Kuna neno nchi zilizoendelea wanalitumia ktk kuonesha matokeo ya faida kwa Walipa kodi “Tax payers fund” Jambo Linapofanywa kWa a faida ya jamii kwa Kodi za Jamii - Basi si budi kuwapa thaman hao walipa Kodi kwanza then anafuatia Aliyesimamia Jukumu hilo kwa uadilifu
Indonesia
0
0
0
42
Royal Media
Royal Media@royalmediatz·
Mwonekano na mandhari ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) nyakati za usiku umebadilika baada ya serikali kufunga taa za barabarani. Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa UDSM kumwomba Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, kuweka taa kwa ajili ya usalama wa wanafunzi na mandhari na kiongozi hiyo kuahidi kutekeleza jambo hilo haraka iwezekanavyo. Pitapita ya mwandishi wetu nyakati za usiku imeonesha wanafunzi wakiwa wanatembea bila ya wasiwasi kuingia na kutoka mabwenini na kwenye maeneo ya kujisomea.
Indonesia
10
2
53
12.4K
Mene Mene Digital
Mene Mene Digital@DigitalMene·
@xlusako Mbeya to Kyera jamaa walifanya Uungwana kuugawa Mkoa wa Mbeya na bado ni mkoa mkubwa.
Filipino
1
0
2
85
Nkota
Nkota@xlusako·
Kuna ile ya Mpanda - Inyonga hapo Katavi ni wilayani ila ukikalia seat kama unaenda Mkoa mwingine.😁
Nkota tweet media
Filipino
11
4
51
3.2K
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPARAZZI
Habari wanajamvi asante kwa kunipa mic Naitwa yondo Siter au Yondo mavinanda napenda kuchangia kuhusu wanaume wanaojitomba.....
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPARAZZI tweet media
Filipino
19
12
103
10.4K
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Daah Muhuni Alikuwa Zake South Africa Akawa Anawatumia Hela Baba Ake Amjengee Nyumba, Baada Ya Ilefukuza Fukuza Ya South Karudi Nyumbani Kakuta Hakuna Lolote Lililofanyika Kwa Hasira Ndio Akaamua Kuwaua Wote Pamoja Na Baba Yake Mdogo.
Indonesia
89
68
772
82.4K
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Fanyeni yote ila malengo yangu nikuja kupata mwenza ambae nitamuoa na kujenga nae familia kutoka humu X
Indonesia
27
34
134
4.1K
Mene Mene Digital
Mene Mene Digital@DigitalMene·
@pastajoshuatz Pesa ya mzungu unaitolea Jasho kweli na unalipwa kwa haki, ila wabongo wengi tunataka life jepesi bila kazi za kuteseka.. Hatutaki Upweke, Sisi tunataka kuchelewa kazini, au ukiumwa unajua Hamna Noma
Filipino
2
0
37
2.5K
PASTA JOSHUA
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz·
2019 mpaka 2021 nilikaa California, Mimi MTz nilikuwa nalipwa $27/hr.. nafanya kazi 8hrs,nilikuwa nafanya two jobs, I work 6 days a week.. jiongeze ujue tunapata kiasi gani kwa mwezi.. nafanya siku 26 kwa mwezi.. nafanya 16hrs per day for 6 days.. jumla nafanya kazi 96 hrs per week…96x4=384 hours per month..384x$27=$10,368 kwa mwezi mmoja.. ukitoa Tax, rent, gas, …, blaa blaa,, unabaki na $7,000… chukua $7000x2650=18,550,000…. Amua mwenyewe, kuwa chawa bongo au kuwa mlea wazee USA…
PASTA JOSHUA tweet media
Indonesia
50
46
655
63.6K
Mene Mene Digital
Mene Mene Digital@DigitalMene·
Bongo pia alikuwepo Jasusi mmoja, alianza hizi mishe za kuwa Double Agent, akaanza kulipwa na Waingereza anapokea pesa kutoka South Africa, walimdaka akiwa anapokea Barua na Malipo yake ya Ushushushu pale Posta. Siku hizi utasikia Chadema wametumiwa Pesa na Hamna Ushahidi wala mtuhumiwa.
Filipino
1
1
1
18
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Oleg Penkovsky alikuwa jasusi wa GRU (URUSI) ambaye kwa siri alikuwa akifanya kazi pia kwa MI6 (UK) na CIA (USA) Alipogundulika mwaka 1962 alikamatwa kwa kosa la uhaini na mwaka 1963 aliuawa. Ni mmoja wa double agents maarufu zaidi katika historia ya Vita Baridi #ElimikaWikiendi
Mwinshehe 🕊️ tweet media
Indonesia
2
18
27
962
mwananchidr
mwananchidr@mwananchidr·
Mtuhumiwa wa tukio la mauaji ya baba yake mzazi pamoja na baba yake mdogo, Osam Hamza akiwa chini ya ulinzi baada ya kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa tukio hilo lililoamsha taharuki kubwa, Mwananyamala Kisiwani jijini Dar es Salaam.
Indonesia
6
5
58
20.4K
SafariMlevi
SafariMlevi@safarimlevi·
Hapa yupo kazini ujue 😂 hakikisha binti yako Dasilama anafanya kazi gan 😂
Indonesia
9
4
41
4.5K
Mene Mene Digital
Mene Mene Digital@DigitalMene·
@freemaker_tz Kama AI inafanya kazi, kwanini wanaangaika Kuuza, Wealth huwa ni Private sana kuliko wanavyoaminisha watu.
हिन्दी
1
0
3
88
Freemaker🇹🇿
Freemaker🇹🇿@freemaker_tz·
NOWDAYS… KILA UKI-SCROLL IG KIDOGO LAZIMA UKUTANE NA HAWA JAMAA WA “AI&ROBOT TRADING” LEO TUAMBIANANE UKWELI KAMA KUNA MTU AMESHAWAHI KUTUMIA ROBOT AKAPATA MATOKEO AMA MTU WAKO WA KARIBU! MAANA NEWBIES HAWASHAURIKI HAPA😅🙌
Freemaker🇹🇿 tweet mediaFreemaker🇹🇿 tweet media
Filipino
7
1
21
1.1K
Mene Mene Digital
Mene Mene Digital@DigitalMene·
@djnsajigwa Sema ukiwa na Demu konda inataka uwe na Moyo mpana, unaweza ukakuta Simu haipatikani wew jua mtandao hausomi.. Pia ombea awe ametulia. Maana Abiria sio wavumilivu
Indonesia
0
0
0
51
Mene Mene Digital
Mene Mene Digital@DigitalMene·
Kweli Bongo X imetukataa sababu ya Restrictions, ila Kenya, Uganda na Naigeria watu wanaokota sana kwa Elon musk. Zaidi wana community wote ni blue tick na topic wanaichangia na wana comment muda wote wapo live.. Anzisha inaweza kuchukua mieze 2 tunafika ila tunapeleka vitu viral
Indonesia
1
0
3
113
Kante
Kante@MkulimaKante·
Mjomba @elonmusk akianza kukununia hatanii wala hachekeshi lengo ukate tu tamaa😂😂😂😁. Sio kwa ubaya ila X haiwezi kuwa full time job📌
Kante tweet media
Indonesia
20
13
55
13K