
Steve
4.8K posts

Steve
@Stevebrown26
Simba & Manchester United 🔴



#TajiriLaKihaya Hebu wakuu niwaulize kidogo- Alafu mnielekeze hata kwa kunichapa viboko ili nielewe…. Nyie WAKAMALIA Kwa hio kama Upo CHADEMA Mikeka yako yote huwa unawauzia Chadema tu? Mtu wa ccm mnawatoa kwenye groups zenu za wasap?? Au mkituma mikeka humu huwa mnaandika mwanacham wa ccm akae mbali? Nyie MAWINGA, kama Upo Upinzani mtu wa CCM akikupatia Order haumpelekei ? Nyie wateja wenu ni watu wa Upinzani tu? Nyie Wafanyabiashara, wauza simu Nk. Wateja wenu ni Wapinzani tu… mteja wa ccm akija anataka kununua simu unamfukuza? Au haumpatii huduma?? Au ni hapa X tu ndio mnajidai wakali-mkiona mtu anafanya biashara na mwanaccm yet yeye ni chadema?



Yule jamaa Huwa ni msenge msenge ni vile basi tu



#TajiriLaKihaya Kabla ya Salat jumuah…. Nimekua na kikao na Rafiki Yangu, Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius John Ndejembi- Ofisin Kwake… a Very Smart Person,Big Brain🤝. Kuhusu swala la Mafuta - Amesema Wamejipanga vizuri,Raia tusiwe na wasiwasi kabisaa🙌🏽







Mahi Zangu Wadada Na Wamama Mmeona Nilivyopikwa Leo Eeh?. Sasa Ile Ni Wamenifanya Wa Mfano But Ilikuwa Ni Meseji Kwenu Pia. Kwamba Ukiwa Bullied Kwa Namna Yeyote Ile Usifight Back. Wanatuuzia Uoga.Sisemi Mvujishe DM Kama Mimi No. Ila FIGHT BACK Unavyoweza ,Usikae Kinyonge ❤️❤️✌🏾













