CDF 👮 retweetledi
CDF 👮
1.2K posts

CDF 👮
@StewartMsamila
askari wa yesu📨
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ağustos 2012
2.2K Takip Edilen822 Takipçiler

HISTORIA imeandikwa! Hatimaye mwiko wa kushindwa kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika umevunjwa, Yanga imetinga makundi ya CAFCL kwa mara ya kwanza tangu 1998.
FT: YANGA SC 🇹🇿 1-0 🇸🇩 AL MERREIKH (Agg. 3-0)
Yanga inakuwa timu ya 6 kutinga hatua ya makundi ya klabu Bingwa Afrika baada ya:-
• Al Ahly 🇪🇬
• Pyramids 🇪🇬
• Jwaneng Galaxy 🇧🇼
• TP Mazembe 🇨🇩
• Petro Luanda 🇦🇴
• Young Africans SC 🇹🇿
✍️ Unafurahia Yanga kutinga makundi kwa mara ya kwanza tangu 1998 ukiwa wapi?
#KitengeSports

Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Indonesia

@MwananchiNews wanaume wa rombo wameshindwa kukabiliana na nyani akija simba je?
Filipino
CDF 👮 retweetledi

Bros.
Mwanamke is meant to be controlled.
Mwanaume is meant to be controller.
Controller lazima awe stronger than controlled.
Sasa look at you na mahusiano yako, kama unaongozwa au unaongoza.
Kama hataki kuwa chini yako
ABORT MISSION na NEXT HER
Mathematically.
Let her as letter X..
Simply yupo pekeyake so =1
Tafuta first derivative yake b'coz hana nidhamu.
Then.
f(X) = 1
Finding f' provided kwamba 1 ni constant
f'(X) = 0
This means that, the rate of change of the function is zero at each point.
Hautombadilisha mwanamke asiejishusha kwako.
ABORT MISSION.
Filipino

@JoyceMwalimu hongera kwa kazi nzuri, leo tupo wote kwenye mahafali ingawa hunijui😂🙏
Indonesia

05’ | #NBCPL
Yanga 0-0 Namungo
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLUpdates #LigiKuuYaNBC #LigiKuuTanzaniaBara #SokaLetuDamdam #10DaimaDamdam #YangaSC #NamungoFC #YangaNamungo

Filipino
CDF 👮 retweetledi
CDF 👮 retweetledi

tunakoelekea kubaya
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia
Wanaume wananenda kuwa useless miaka 50 ijayo
Indonesia

@fundimitamboGk imagination tu, hakuna fact hapo hata kama mm sio mwanasayansi
Filipino

Kuna ukweli hapa au imagination tuu🤔?
Learn Something@cooltechtipz
Video showing how massive our universe truly is
Filipino

#MICHEZO SHABIKI wa Manchester United mjini Eldoret, nchini Kenya, Thomas Kiptanui Kemboi, maarufu Kapkeno amekimbizwa hospitalini baada ya kujaribu kula trei la mayai ya kuchemsha, baada ya kuwekeana dau (ku-bet) na marafiki zake ambao ni mashabiki wa Arsenal.
Kapkeno aliweka dau la kula trei nzima ya mayai ya kuchemsha iwapo Man United wangeshindwa na Arsenal, na waliposhindwa ilibidi atimize ahadi.
Hata hivyo, alipofika yai la 15, Kapkeno alianguka, huku marafiki wakicheka, lakini mambo yaligeuka haraka walipogundua kuwa alikuwa amezidiwa.
Walimkimbiza hospitalini ambako aligundulika kuwa na tatizo la kuvimbiwa alitibiwa na kuruhusiwa.
#NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari

Indonesia
















