#TOTTechs

46K posts

#TOTTechs banner
#TOTTechs

#TOTTechs

@TOTTechs

Jukwaa la washauri na wataalamu wa Teknolojia || Computers || Phones | Softwares || ICT Hardwares and Networking || ICT Security || IoT || AI and Robotics

Tanzania Katılım Şubat 2020
776 Takip Edilen51.3K Takipçiler
#TOTTechs
#TOTTechs@TOTTechs·
@gabyconscious Twende nao taratibu hawa vijana huku tukiwapa mifano hai 😂
Indonesia
1
0
1
355
#TOTTechs
#TOTTechs@TOTTechs·
Gen Z wanasema Millennials tulilipia pesa kufundishwa computer na kufunguliwa emails, ni kama wao wanalipia pesa kufundishwa Forex, AI Prompt na "How to make money online" huko mbele Gen Alpha watawashangaa walilipaje. kipindi hicho kuna Quantum computing, AGI, Assistance Robot.
Indonesia
13
31
306
9.3K
#TOTTechs
#TOTTechs@TOTTechs·
@makumbawaleo_5n 😂😂🤣, Hii ilikuwa ni kweli kabisa, kupindi hicho mawasiliano ya ni email mkuu, ndiyo maana watu wanajaa Internet cafe kujibu emails za wazungu. Sema kama Bimkubwa wako alizijua emails backthen basi utakuwa wa kishua sana Masta 😄
Indonesia
1
0
2
383
Dr Makumba
Dr Makumba@makumbawaleo_5n·
Sema ile story ilikua ni kweli ? "Bimkubwa alikua anatuambia tufungue emails back in days tupate marafiki wazungu kuna michongo ya pesa ulaya" Siku hizi wazungu ndio scammers huko online! 😂
#TOTTechs@TOTTechs

Gen Z wanasema Millennials tulilipia pesa kufundishwa computer na kufunguliwa emails, ni kama wao wanalipia pesa kufundishwa Forex, AI Prompt na "How to make money online" huko mbele Gen Alpha watawashangaa walilipaje. kipindi hicho kuna Quantum computing, AGI, Assistance Robot.

Indonesia
1
0
7
829
#TOTTechs
#TOTTechs@TOTTechs·
@ally_eh Wala siyo mbali mkuu tutaona hayo, hawa watoto wa 2015 wamekuzwa na Tablet na homework wanafanyia kwenye computer, Gen Z watafurahi 😄
Filipino
1
0
9
558
#TOTTechs
#TOTTechs@TOTTechs·
@TaidiMiah Hii siyo mbali, Gen Alpha watawafurahisha Gen Z 😄
Filipino
0
0
1
49
Taidi tughimbe
Taidi tughimbe@TaidiMiah·
@TOTTechs 😂 kiboko ya gen-z ni gen-alpha Tusubili pambanolao wala sio mbali. 😑Watawashangaa gen-z waliwezaje kukaa nyumba isiyo na assistant robot.
Indonesia
1
1
2
111
#TOTTechs
#TOTTechs@TOTTechs·
@gabyconscious Ni sahihi, Kenya imeshakuwa Nigeria ya EA kaka, siyo tu inaelekea kuwa, tayari imeshakuwa.
Filipino
1
0
10
795
Manyanya
Manyanya@Hump016·
hivi humu hakuna tweeter maprogrammer
Filipino
2
8
22
319
It's MalekoGJ.
It's MalekoGJ.@GoodluckMalekoJ·
@TOTTechs Unaikumbukaa oparation Serengeti palee Kenyaa Vijana Walibebwaa Mno Bongo ni watu wawil tuu ndo walidakwa Ilee Ni strategic area sanaa Tuhamie ukoo sasa
Indonesia
3
0
12
1.4K
#TOTTechs
#TOTTechs@TOTTechs·
Hili suala la FBI kuwa na ofisi kwa majirani pale KENYA limekaaje? Kuna vijana wenye michezo ya scamming watapotea mtaani.
Indonesia
6
8
205
18.6K
#TOTTechs retweetledi
Moe
Moe@moneyacademyKE·
Airtel is set to invest Sh5.6 billion in a new 44MW data centre at Tatu City, expected to become the largest in East Africa
English
43
519
3.3K
55.3K