Taidi tughimbe

4.9K posts

Taidi tughimbe banner
Taidi tughimbe

Taidi tughimbe

@TaidiMiah

Some 1 who never give up✊. book ❤️lover .. not shame to money💰..& always leaning.

Katılım Mart 2020
1.3K Takip Edilen365 Takipçiler
Taidi tughimbe
Taidi tughimbe@TaidiMiah·
@KennedyMmari Tunahitaji wawekezaji , ni vizuri kama deal litakamilika mradi uje 🇹🇿.
Indonesia
0
0
0
144
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
The biggest lesson kaka, ni kuacha kushambulia wawekezaji pale wanapokuwa na fikra tofauti. The biggest lesson, ni kuachia diplomacy ya uchumi ifanye kazi pale panapotokea utata katika masuala kama haya. Kuna nyakati tutajikuta tunafanya BAD PR ya nchi yetu, hadi watu muhimu wakafikiri maneno yetu ndiyo position ya Serikali yetu. Na tukawakosa.
cousin 420@420Cousin

The biggest lesson here is simple A country with LNG potential, EACOP leverage, strategic ports and regional logistics access should negotiate from confidence not desperation. That does not mean rejecting investors. It means understanding your geopolitical value before signing longterm agreements.

Indonesia
6
5
41
5.2K
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
The biggest lesson here is simple A country with LNG potential, EACOP leverage, strategic ports and regional logistics access should negotiate from confidence not desperation. That does not mean rejecting investors. It means understanding your geopolitical value before signing longterm agreements.
cousin 420 tweet media
English
11
20
33
24.1K
Taidi tughimbe retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Eti hili ni JIJI LA MBEYA-Jiji kama upo GAZA mamae. Afu unaambiwa hapa wanaishi walipa KODI na kuna MBUNGE anaewawakilisha bungeni.
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
Filipino
19
57
611
20.5K
Taidi tughimbe retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
I think wanasiasa wote wa upinzani, wanaharakati wote na yoyote Tz ambae hana uhakika na usalama wake ni lazma watumie hii app inaitwa life360. Niliijua hii app kupitia crime show inaitwa 2020. Polisi hapa Marekani walimpata mtu aliemteka na kumuua msichana mdogo wa miaka 16 kwa kutumia hii app. Huyo msichana na rafiki zake close walijiunga na hii app wakawa wana trackiana, alipopotea wenzie wakawapa polisi data zake za kwenye hii app. Polisi wanatumia app kujua the exact moment and location aliyopotea. Mimi naitumia kuwa track watoto wangu 24/7. Kenzo haipendi hii app ila hana choice. Na pia naitumia kwa shemeji yenu kuni track. Hii app inatrack kila kona mtu anapoenda na it’s tuma allert kwa watu waliopo kwenye circle yako. Yani ukitekwa na simu kuzima inaonyesha kabisa ulitekewa eneo gani na simu ilizimiwa wapi na saa ngapi. Na simu ikitupwa pia inaonyesha iliyopita wapi na saa ngapi. Yani kwa kifupi ina track kila sehemu ulipokuwa simu nzima, kila barabara uliyopita, kila sehemu uliposimama mpaka dakika unatekwa inatuma alert kwa watu kwenye circle yako. Hata kama ulikuwa unatembea kwa miguu then ukapandishwa kwenye gari inaonyesha mpaka speed ya gari na mwelekeo wa gari inaonyesha. I wish Polepole au Mzee Kibao wangekuwa na hii app kwenye simu zao, tungejua kwa ushahidi usiopingika walichukulia saa ngapi na exact location waliyochukuliwa na mwelekeo walipoenda. Yani ikiwashwa tu inatuma alert. So muda ule wanakufosi utoe password hii app inaonyesha watu wako mahali ulipo na hata wakiifuta app kwenye simu yako ila tayari alert zimetumwa kwa watu wa circle yako. Hata ukipata ajali ya gari inatuma message kwa watu wako kuwa umepata ajali na eneo ulilopatia ajali. Narudia tena wanasiasa wooote wa upinzani na wanaharakati lazma uwe na hii app kwenye simu then add mtu mmoja au wawili unaowaamini ili lolote likikupata tunajua pa kuanzia. Kwa wazazi, kama unamtoto kaanza ku drive hii app inakwambia mtot anaendesha gari kwa speed gani na hata akigusa simu huku anaendesha inakutumia ujumbe. Jamani naomba tusisikie tena mtu katekwa Tanzania alafu hakuna mtu wake wa karibu wa kutupa hii tracking. Hii app ina save tracking record ya siku 30.
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet mediaMange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Indonesia
28
243
1.1K
56.5K
Taidi tughimbe
Taidi tughimbe@TaidiMiah·
😳Mama john this is too much.
Taidi tughimbe tweet media
English
0
0
0
7
Taidi tughimbe
Taidi tughimbe@TaidiMiah·
Aliko dangote, ikimsikiliza lazima kunakitu utakipata.
Euskara
0
0
0
5
Taidi tughimbe
Taidi tughimbe@TaidiMiah·
@IAMartin_ Gen-z wamemaliza chuo, kipindi ambacho hata ualim na upolisi haupatikani [ajira hakuna] Tunarudi kule kule [hard time creating a strong man] Nafikiri hali ngumu ikiiendelea gen-alpha hao watakua hatari zaidi na hawatazuilika kama mchwa.
Indonesia
0
1
14
540
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Ukiachana na huo utani wa “Millennials” na “Gen Z”, kuna eneo moja nakubaliana na Gen Z 100%. Ni ukweli kwamba Millennials tumelifikisha Taifa letu matopeni. Hatuwezi kuiwajibisha Serikali hata inapokosea. Millennials ndiyo uti wa mgongo wa utumishi wa umma kwa sasa; sisi ndiyo injini ya nchi. Lakini injini hii ikikubali kufanya kazi kwenye matope bila kuhoji kwanini barabara haitengenezwi, nchi inabaki palepale. Kizazi chetu kwa sehemu kubwa ndiyo watumishi wa umma, hata tusipoongezwa mshahara na marupurupu kwa miaka 10, tunaona ni sawa tu. Tunaona ni kawaida na ndiyo kitu ambacho kama watumishi, tunastahili. Kizazi cha wasomi wengi kimegeuka kuwa kizazi cha “ndiyo mzee.” Millennials wamekuwa watulizaji (stabilizers) wa mfumo hata kama ni mbovu. Gen Z ni wavurugaji (disruptors) wa mfumo ili ukae sawa. Hofu ya kupoteza mshahara inayoweza kusababisha watoto wakose ada/familia ikose chakula imewafanya Millennials kuwa waoga (risk-averse). Hii imetengeneza kizazi kinachopendelea diplomasia ya unyenyekevu. Kwa sababu ya familia, tumekuwa kizazi cha viumbe wabinafsi sana. Hatujui kudai haki zetu, na tumezalisha machawa na wapambe wengi. Kizazi chetu kimeasisi mfumo wa kusifu na kuabudu (sycophancy). Tazama, hata machawa wakubwa na wazito (pro-max) wanaosifu na kuabudu Serikali hii ni kizazi cha Millennials. Wasanii wakubwa wa muziki wa kizazi kipya ambao ni wafuasi wa watawala ni Millennials. Gen Z wengi bado hawajazama kwenye majukumu mazito ya kifamilia, hivyo wana ujasiri wa kupaza sauti bila kuwaza “kesho nitalishaje watoto.” Hawalazimiki kuwa machawa ili waweze kuendesha maisha yao. Gen Z wanakuja na utamaduni tofauti: wako ‘connected’ na wanatumia teknolojia ipasavyo. Wanaona wenzao duniani wanavyowajibisha serikali zao, hawaamini katika uvumilivu wa miaka 10 bila ongezeko la maslahi. Hawahitaji mikutano ya siri; wanatumia simu kuanzisha mijadala, kuumbua ubadhirifu, na kuungana kwa kasi ya ajabu. Hii imepunguza nguvu ya machawa ambao walizoea kutawala simulizi za mtandaoni. Safi sana. Wakati Millennials walifundishwa kuwa na shukrani hata kwa kidogo (ile dhana ya bora mkono uende kinywani), Gen Z wanauliza: “Kwanini iwe kidogo wakati rasilimali zipo?” Hapa ndipo sasa nawakubali madogo hawa. Hawa Gen Z wana uwezo wa kuungana kama kizazi bila kujali itikadi za vyama, kitu ambacho Millennials wengi wameshindwa kwa sababu ya kuweka mbele maslahi ya ajira zao. Wamekataa mambo ya “Status Quo.” Gen Z wamevunja mwiko. Millennials wamefungwa na nidhamu ya uoga au hofu ya kupoteza walichonacho, sasa wanatazamana na kizazi kinachoongozwa na kanuni moja kuu: “Haki haiombwi, haki inadaiwa.” Labda shinikizo hili la Gen Z litatumika kama kioo cha kuwafanya Millennials wajione walivyojipoteza. Binafsi, wananikosha sana. Gen Z wanaupiga mwingi. Mimi nawatia moyo, wasiogope. Kaka zao tupo pamoja nao. Gen Z, take a bow, fellas.
Filipino
56
261
1.3K
43.3K
Barbosa
Barbosa@gratian_barbosa·
Mimi nimezaliwa 1987 na Masawe kazaliwa 1988 ila namuona humu anajiita GEN Z. Sema kikubwa ajenda iende mjini.🤝😄
Filipino
37
47
435
11.1K
Taidi tughimbe retweetledi
#TOTTechs
#TOTTechs@TOTTechs·
Gen Z wanasema Millennials tulilipia pesa kufundishwa computer na kufunguliwa emails, ni kama wao wanalipia pesa kufundishwa Forex, AI Prompt na "How to make money online" huko mbele Gen Alpha watawashangaa walilipaje. kipindi hicho kuna Quantum computing, AGI, Assistance Robot.
Indonesia
13
32
307
9.4K
Taidi tughimbe
Taidi tughimbe@TaidiMiah·
@TOTTechs 😂 wanasahau kua vitu vinaimprove Miaka ijayo hata social media itaonekana kama ni mambo ya kizamani.
Indonesia
0
0
0
144
Taidi tughimbe
Taidi tughimbe@TaidiMiah·
Vipi Kwa mwanachuo aliyemaliza na anamiaka 10 mtaani na hana kazi? Huyu inabidi afanywe nini?
Taidi tughimbe tweet media
Filipino
0
0
0
29
ADENUGA✝️
ADENUGA✝️@hereiseddy_·
Nipe namba yako nitakupigia! Millennials👇 “Tigo ya kumi na saba…….” tf😂😂
GIF
Filipino
141
87
402
38.8K
Taidi tughimbe
Taidi tughimbe@TaidiMiah·
@TOTTechs 😂 kiboko ya gen-z ni gen-alpha Tusubili pambanolao wala sio mbali. 😑Watawashangaa gen-z waliwezaje kukaa nyumba isiyo na assistant robot.
Indonesia
1
1
2
111
NOED.
NOED.@Noedson_tz·
Millenia wa humu wapumbavu tu na wao. Those days Kigogo alikuwa anawaambia wafumbe macho anawaombea . Jamaa alifanikiwa kuwashika akili wakawa wanamtukuza kabisa.🚮😅
Filipino
32
50
311
8.8K