Tesha

30.7K posts

Tesha banner
Tesha

Tesha

@Tesha155

Car Dealer|| Motorcycle🏍️|| New & Used|| Quality Guaranteed 🚗

Bozí Dar, Czech Republic Katılım Ekim 2020
2.3K Takip Edilen3.3K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Tesha
Tesha@Tesha155·
🚗 TOYOTA CROWN ATHLETE 🚗 📆 YOM: 2008 | 2,490CC ⚙️ Automatic | ⛽ Petrol 🎨 Rangi: Silver | Push to Start 📑 Bei: 29M + Registration 📍 Mabibo Hostel 📞 0765 837 427 ✨ Luxury na nguvu vimekutana hapa! #ToyotaCrown #LuxuryDrive #ChumaImesimama #DarDeals #WajanjaWanawahi
Tesha tweet mediaTesha tweet mediaTesha tweet mediaTesha tweet media
Eesti
0
4
6
1.7K
Tesha retweetledi
BIGV 🎩
BIGV 🎩@vistovic17·
🚨 Kuna siku hiyo! Jamal April atasimulia hadithi ya Tundu Lissu kama shujaa mmoja aliyetoka gerezani na kuliponya taifa. Hii itakuwa moja ya storybook zenye views nyingi zaidi!
BIGV 🎩 tweet mediaBIGV 🎩 tweet media
Indonesia
13
65
822
15K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Asante MUNGU hili gumu sana limepita. Kesho narudi RASMI kuendelea na kazi ya kushughulika NA WAKOLONI WEUSI. Haya magumu ninayopitia wao ndio chanzo kikuu-siwezi kuwaacha mpaka naenda KABURINI. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
SIR TIVA@Sativa255

On GOD❤️🙏

Indonesia
389
328
1.9K
94.1K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿!! “Rais ameridhia choo kuitwa maliwato.”
(---) Onesmo Mushi tweet media
Filipino
74
32
499
25.3K
Tesha
Tesha@Tesha155·
@kenedsimon2 Huu ni utapeli tena mimi simuamini huyu dogo kama atakuja kuperform Liver
Indonesia
2
0
1
57
Kennedy 🐓
Kennedy 🐓@kenedsimon2·
Psg wanataka kuingilia dili letu tena, hawaliziki na Dembele & Doue wajinga hawa
Kennedy 🐓 tweet media
Indonesia
5
2
49
1.1K
Tesha retweetledi
Joseph Mrungu
Joseph Mrungu@mrunguj9·
Sipendi niishi maisha ninayo yachukia napenda niishi maisha ninayo yafrahahia. Na sipendi niishi maisha ambayo watu wanayachekia napenda niishi maisha ambayo watu wanayafrahia. Tumshukuru Mwenyez Mungu kwa kutupa uhai na uzima kwa siku ya leo na nyakati zote 🙏 @mrunguj9
Joseph Mrungu tweet media
Filipino
0
3
36
333
Tesha retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Nimeona watu kadhaa ambao ni hatari sana kwa heshima ya Mh Lissu, wengine ambao walikuwa wanasiasa mashuhuri na wanaishi Dar, na hawajawahi hata kukanyaga mahakamani, ghafla wamekuwa “mashabiki” wa uhuru wake kwa spinning ya hoja ambayo inatengenezwa kumshushia heshima yake. Mh Lissu ana heshima kubwa sana kisiasa nchini kuliko mwanasiasa yoyote. Kama risasi na jela zilitumika kummaliza zikashindwa, mkakati mpya sasa ni kujaribu ku–scale down heshima yake iliyojengwa juu ya misimamo inayobeba haki. Kazi hii inafanyika kwa bidii sana. Hata hivyo, mkakati umekosewa mpaka sasa, maadui zake hawakupaswa kutoka kuwa wapambe wake ghafla.
Indonesia
50
284
1.5K
48.8K
Tesha
Tesha@Tesha155·
@FKihamu Hawa ndo waandishi uchwara Madame Rita anawafyekea mbali
Indonesia
0
0
0
201
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran 🇮🇷 tangu atweet kuhusu Homuz kufunguliwa hajatweet tena, haswa post ambayo Jeshi waliipinga na ikabidi IRGC na baadae Spika waitolee ufafanuzi. Anaongea siku hizi Naibu wake na Msemaji tu sio Yeye.
Indonesia
9
14
320
14.1K
Tesha retweetledi
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Kuna siku unapewa mpaka unatamani unatamani kuwapigia wazazi wake useme ahsante 🙌
Indonesia
44
60
250
7.1K
Tesha retweetledi
Vitus Nkuna
Vitus Nkuna@VitusNkuna·
CHADEMA TANZANIA Bendera inapepea ✌️✌️✌️
Español
9
52
293
3.5K
Tesha retweetledi
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Kila asubuhi ninapoamka mimi ni mwenye baraka. Haijalishi nina maumivu kiasi gani najua Mungu ananiangalia na kunilinda na hata ikifika jioni kama hivi sijapata sikati tamaa naamini Mwenyezi Mungu atatenda! kama sio baadae basi kesho
Indonesia
34
82
206
3.2K
PàChâ#1738 💫
PàChâ#1738 💫@Tweener003·
Majamaa wa hivi wakipost picha caption yake utakuta kaandika bongo bahati mbaya😁😁
PàChâ#1738 💫 tweet media
Indonesia
26
23
128
3.9K
Tesha retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Mapema leo, uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ulikutana na ujumbe wa African Women Leaders Network uliokuwa ukiongozwa na aliyekuwa Rais wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf, akiwa ameambatana na aliyekuwa Rais wa Ethiopia, Sahle-Work Zewde. Ziara ya ujumbe huo nchini Tanzania inalenga kukutana na makundi mbalimbali, ikiwemo vyama vya siasa na asasi za kiraia, kwa lengo la kukusanya na kufuatilia taarifa kuhusu matukio yaliyotokea kabla na baada ya tarehe 29 Oktoba 2025. Kwa upande wa CHADEMA, ujumbe uliongozwa na Makamu Mwenyekiti Bara, Mhe John Heche, akifuatana na Katibu Mkuu, Mhe John Mnyika; Naibu Katibu Mkuu Bara, Mhe Amani Golugwa; Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Wakili Ali Ibrahimu; pamoja na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mama Suzan Lyimo. Katika kikao hicho, CHADEMA iliwasilisha msimamo wake rasmi kama ulivyoazimiwa na Kamati Kuu ya chama , na kueleza kwa kina matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu na vitendo vya ukatili vinavyodaiwa kutokea kabla, wakati na baada ya tarehe 29 Oktoba 2025. Chama kinasisitiza umuhimu wa uchunguzi huru na wa haki, uwajibikaji kwa wote waliohusika, pamoja na kulindwa kwa misingi ya demokrasia, haki na utawala wa sheria nchini.
Chadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet media
Indonesia
19
129
593
14.5K
Tesha
Tesha@Tesha155·
@Chahali Vijana wengi wamepata ajira ya kubet
Indonesia
0
1
2
1.4K
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Kuna vitu sio vya kusimama navyo, moja hivyo vitu ni Media, Media za Tanzania ziliusaliti umma 29/10/2025, Media hufika mapema kwenye mikutano ya upinzani kupiga picha na kusambaza hakuna watu wakati mkutano haujaanza, Media za Tanzania na Kobe nitasimama upande wa Kobe. Maadam Rita usiombe msamaha Media zenyewe hazijawahi kuomba msamaha kwa umma, Gaddemit 📌
Sekenke One 🌻 tweet media
Indonesia
39
68
325
11K
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
Mmemaliza Kumshambulia Wakili KISABO Au Bado? Kisabo Na MADUHU WILLIAM Wanajitoa Sana Kwa Jamii Kumwita Kisabo Project Nikumvunja Moyo Mpeni Moyo. Nimawakili Wachache Sana Wenye Moyo Wakujitolea Kama Wa @Advocate_Kisabo Na Maduhu. Kama Kisabo Kakosea Mwiteni Kando Mwambieni.🐗
KIDUKU OFSA NGIRI tweet media
Indonesia
13
11
154
14.7K
Tesha retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
We Miss You Brother's.😨
The mandevu tweet media
English
16
205
1.4K
13.5K
Tesha
Tesha@Tesha155·
@INFLUENCERjr Huu muungano wanafosi mavegetables ila haupo
Filipino
0
0
0
158
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Mashindano ni ya Muungano lakini kwanini yanafanyika Zanzibar pekee wakati Muungano ni wa Tanganyika na Zanzibar? Kuna mlevi anauliza hapa
Filipino
52
69
802
25.2K