Elօղ Mմƙʂ.

598 posts

Elօղ Mմƙʂ.

Elօղ Mմƙʂ.

@Torreslanders

Tanzania Katılım Temmuz 2016
106 Takip Edilen41 Takipçiler
Barnaba Mwandenuka
Barnaba Mwandenuka@BSMwandenuka·
Toa comment ya heshima kwa Captain Tesha
Barnaba Mwandenuka tweet media
English
82
123
1.6K
49.3K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Burkina Faso walikuwa na Captain Traore Tanzania Mungu katupa Captain Tesha Mungu amlinde Tesha wetu.🙏🏻
Hilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet media
Indonesia
74
395
2.6K
40.1K
Tanzania Leaks
Tanzania Leaks@TanzaniaLeaks·
Taarifa kwa Umma MJUE KAPTENI TESHA Jinai: John Charles Tesha Kitambulisho: JC TESHA. Cheo: Captain. Intake: 58 Idara: Mkufunzi, SAK (Shule ya Anga ya Kijeshi – Airforce) Column A1: CODE= ACTIVE (inaonyesha yupo hai/kazi) Kazi: Mkufunzi mtaalamu wa silaha za anga
Tanzania Leaks tweet mediaTanzania Leaks tweet media
Indonesia
26
135
879
32.6K
Elօղ Mմƙʂ.
Elօղ Mմƙʂ.@Torreslanders·
@PolepoleHumph Sisi tukifanya kazi tunafanya kitaalamu, lakini wewe umemharibia askari wetu.Tutaweka moyoni, na hatutasahau
Indonesia
0
0
1
855
Hasta La Victoria Siempre
If we foxtrot we do it professionally, You just foxtrot our soldier. We will vein it, and we will remember.
Hasta La Victoria Siempre tweet media
English
9
25
321
21.4K
DP 🇰🇪
DP 🇰🇪@DanChepta·
Protesters celebrated, allowing KDF officers To pass by removing the road barricade. #SiriNiNumbers
English
150
2K
9.4K
723.4K
KIDUKU
KIDUKU@TanzaniaOneJezi·
TUNDU LISSU: Mpaka Majaji Wa Mahakama Wamepewa Mgao. MAJIZI Ya Mali Za Umma Yanaachwa Uraiani Tena Yanazidi Kuteuliwa Yaendelee Kuiba Badala Yakushughulikiwa Lakini LISSU Anayepigani HAKI Anapewa Kesi Ya UHAINI Yaani Kuiba Nisawa Lakini Kupigania Haki Sio Sawa Hii Ndio TANZANIA
Indonesia
13
218
771
40K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA akaandika kitabu akaanika madhaifu ya Chama hadharani. Akaenda kuunga mkono juhudi za Magufuli akapewa kazi na akawa anaisemea Serikali kwa mazuri. Leo Slaa amepokelewa tena CHADEMA, hakika Wanasiasa wanachotaka ni maslahi yao ya kushika MADARAKA tu.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
260
96
1.5K
109.3K
Adui Wa Yanga
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga·
Kwenye connection ya huyu dada umeona kasoro zipi?😁😁😁
Adui Wa Yanga tweet media
Filipino
66
31
535
73.8K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
"Ni bahati mbaya sana mjadala wa uchumi, biashara unageuzwa kuwa mjadala wa kisiasa, kidini na kiushabiki, hili jambo halina afya kwa nchi yetu. Unamuona kiongozi mkubwa kabisa anazungumzia ishu ya u-Zanzibar na u-Tanganyika katika mjadala wa kiuchumi na kibiashara" Rostam Aziz, Mwenyekiti Mtendaji wa Taifa Group #MjadalawaKitaifaKulindanaKuenziUmojawaKitaifa
Jambo TV tweet media
Indonesia
52
11
98
21.2K
millardayo
millardayo@millardayo·
Wanafunzi 150 wa udaktari kutoka Chuo Kikuu cha Tiba, Sayansi na Teknolojia (UMST) cha Khartoum nchini Sudan wamehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ili kukamilisha mwaka wao wa mwisho wa masomo. Akiongea wakati wa kuwakaribisha wanafunzi hao, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Janabi amesema kuwa hali ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yanayoendelea nchini Sudani imesababisha kufungwa kwa Vyuo na baadhi ya shughuli kusimama hivyo Wataalamu hao kushindwa kuendelea na ratiba yao ya masomo ya kawaida. “Wanafunzi hawa wapo mwaka wa tano wa shahada ya kwanza ya utabibu, ambapo katika mwaka huo, mafunzo hufanyika kwa vitendo zaidi, hivyo Madaktari hawa Wanafujzi watafanya mzunguko (Rotation) katika idara mbalimbali ikiwemo idara ya upasuaji chini ya usimamizi wa Madaktari bingwa ili kuhakikisha wanapata maarifa yanayotakiwa” Amesema kuwa MNH itatoa fursa kwa Wataalamu hao kujifunza kama ambavyo inatoa kwa Wataalamu wengine wa ndani na nje ya Nchi na hata baada ya kumaliza masomo kama watapenda kufanya mafunzo tarajali (Intenship) MNH itawapa nafasi hiyo. Kwa upande wake Ruba Anwar Salih ambaye ni Kiongozi wa kundi la Wanafunzi hao amesema kuwa wamefurahi kupata fursa ya kuendelea na masomo katika Hospitali kubwa na yenye wataalamu wa kutosha, ni imani yao kwamba watapata fursa nzuri ya kujifunza. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
460
201
4.6K
421.6K
Cyancute ⭐
Cyancute ⭐@Cyancute·
Weka namba yako ya Whatsapp nikuunge 😘
Cyancute ⭐ tweet media
Filipino
309
53
1.1K
125.9K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
"Kwa bahati mbaya sana anatokea mtu mzima ambaye anaaminika na tumempa heshima na kati ya watu ambao wamempa heshima ni Rais Dkt. @SuluhuSamia. Rais Samia kwa uungwana wake ndio aliamua twende kwenye maridhiano, leo kwa kulewa tu mtu mmoja anataka kuutumia vibaya uungwana wa Rais Samia" Waziri @Nnauye_Nape
Jambo TV tweet media
Filipino
71
7
165
37.1K