๐•ฏ๐–š๐–’๐–Š ๐•ต๐–Š๐–š๐–—๐–Ž

71 posts

๐•ฏ๐–š๐–’๐–Š ๐•ต๐–Š๐–š๐–—๐–Ž banner
๐•ฏ๐–š๐–’๐–Š ๐•ต๐–Š๐–š๐–—๐–Ž

๐•ฏ๐–š๐–’๐–Š ๐•ต๐–Š๐–š๐–—๐–Ž

@TrojanH7

Trojan

I'm here Katฤฑlฤฑm Temmuz 2023
880 Takip Edilen432 Takipรงiler
๐•ฏ๐–š๐–’๐–Š ๐•ต๐–Š๐–š๐–—๐–Ž retweetledi
BIG MEECH ๐Ÿฆ…
BIG MEECH ๐Ÿฆ…@TopBoe_ยท
hauwezi ku observe my position, my momentum at the same time? thatโ€™s cynical iโ€™m electron, i know how to move better, kunidharau ni kuidharau uncertainity principle๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿš€
BIG MEECH ๐Ÿฆ… tweet media
English
16
22
127
2.9K
DIGGALLER๐Ÿ’ฏ
DIGGALLER๐Ÿ’ฏ@Danford_tzยท
Mwanenu Dizasta Vina ni kama vocha haonekani mpaka akwanguliweโ€ฆMsipomzungumzia humu na kumpa promo ndoโ€™ basi tena hatumsikii.
Indonesia
10
10
60
3.4K
๐•ฏ๐–š๐–’๐–Š ๐•ต๐–Š๐–š๐–—๐–Ž retweetledi
Panorama Authentik
Panorama Authentik@PanAuthentikยท
Rent free
Panorama Authentik tweet media
Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ English
5
18
124
7.5K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21ยท
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 174 Anaendelea Mhe. Lissu Mhe. Lissu: Mhe. Jaji hawako serious hawa kwanza ukisoma D4 kila kitu chake kipo hata jina lake hawajaficha lipo na taarifa zake zote zipo, hawajielewi hawa. Katuga: Anasimama anasema Mh. Sisi ni maafisa wa mahakama aonywe mshitakiwa kwanini anasema hatuko serious. Mhe. Lissu: Mh. Jaji ni kweli hayupo serious ila nataka niliondoe neno hilo lakini kama anasema nionywe siko tayari kuonywa naomba nifanye submission ya kuonesha ni kwa namna gani hawako serious? Jaji Ndunguru: Basi Mshitakiwa tuishie hapo kama umesema umeliondoa. Watu wanacheka sana. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mhe. Lissu: je umesema kokote kuwa uliwahi kutishiwa maisha? Shahidi wa kificho P6: Sijawahi kutishiwa maisha mimi. Mhe. Lissu: Kuna mwanachadema au kiongozi amewahi kukutishia kukupiga au kukudhuru kwa wewe kwenda kutoa maelezo haya Polisi? Shahidi wa kificho P6: Hayupo kabisa. Mhe. Lissu: Je kuna ndugu yako ametishiwa pia? Shahidi wa kificho P6: Hayupo hata mmoja. Mhe. Lissu: Waheshimiwa Majaji sina swali lingine kwa shahidi huyu. Majaji wanaandika kidogo pale mbele. Kwa sasa ni saa 7 na dakika 15 mchana, huu ni huwa ni muda wa kwenda Break, ngoja tusubiri Kitakachoendelea muda mfupi ujao. Jaji: Re Examination Jamhuri? Wakili Cathbert: Hatuna swali lolote Waheshimiwa Majaji. Jaji Ndunguru Kiogozi wa Jopo la Majaji watatu anateta tena ma wenzake kabla hajasema nini kiendelee. Anawasha kipaza sauti. Shahidi umemaliza sasa unaweza kwenda. Renatus Mkude tunaomba ahirisho tukawaandae mashahidi, lisaa limoja. Mhe. Lissu: Sawa sina pingamizi. Jaji Ndunguru: Basi tukutane baada ya lisaa limoja. Naomba Repost yako.
Indonesia
33
468
1.2K
50.5K
mTusi original ๐Ÿ‘ฆ
mTusi original ๐Ÿ‘ฆ@mTusiOriginalยท
Hapa kuna dj 1.dj D ommy washa washa 2.dj ZERO 3.dj jozzey na 4. dj Sinyorita a.k.a sinyoraaa Na hawa ndio wamewatengenezea heshima ma dj hapa Tanzania dj alikuwa analipwa 5k elfu per day๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
mTusi original ๐Ÿ‘ฆ tweet mediamTusi original ๐Ÿ‘ฆ tweet mediamTusi original ๐Ÿ‘ฆ tweet mediamTusi original ๐Ÿ‘ฆ tweet media
Filipino
3
6
31
2.1K
kimbesa.
kimbesa.@Kimbesa11ยท
@Rydx_017 Mimi sijapewa malezi duni nawashukru wazazi wangu kwa malezi Bora ndo maana unaona nipo hapa with strong EGO, Niffa ni matokeo ya malezi duni ya Mama yake, nashangaa kuona mama yake anajiliza hadharani. Tuwafundishe watoto wetu adabu na heshima hawatasumbuka na Dunia
Indonesia
3
0
1
83
๐•ฏ๐–š๐–’๐–Š ๐•ต๐–Š๐–š๐–—๐–Ž retweetledi
Dizasta Vina
Dizasta Vina@dizastavinaยท
I weep for you my country. Heal soon Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ English
47
324
1.6K
51.2K