DCRG

254 posts

DCRG banner
DCRG

DCRG

@TvMauzo

Katılım Aralık 2021
283 Takip Edilen40 Takipçiler
Kumbusho Dawson Kagine
Kumbusho Dawson Kagine@KumbushoDawson·
Hii ni Mwanza, Baadaye mje kuanza kusema waandamanaji walikuwa wanafanya fujo. Kuna mtu huwa anasema wananchi hawana hoja, mara wametoka nje ya nchi. Hii ni Tanzania na hawa ni Gen Z. #D9
Indonesia
50
343
1.1K
116.7K
DCRG
DCRG@TvMauzo·
@ze_mandevu Tupo busy na Tar 9 ikipita tutakuja shop kwako hapo
Filipino
0
0
0
71
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Hivi post zangu mnaziona huko kweli?🤔
The mandevu tweet media
13
29
138
5.4K
DCRG
DCRG@TvMauzo·
@moodewji Kaka huna akiri kabisa unatabasamu maelf ya watanzania wameuwawa we ni fisadi kama mchengerea
Indonesia
0
0
0
7
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
“Those who would judge us merely by the heights we have achieved would do well to remember the depths from which we started.” — Kwame Nkrumah // Wanaotuhukumu kwa vilele tulivyofikia, ni vyema wakumbuke kina tulipoanzia.” — Kwame Nkrumah #Mo #Weekend
Mohammed Dewji MO tweet media
English
28
28
406
21.8K
John kalage 🇹🇿
John kalage 🇹🇿@kalage_jr·
Hatimae Kipepe leo kahama kwa wazazi wake kahamia kwa Dada yake..
Indonesia
5
8
211
4.8K
DCRG
DCRG@TvMauzo·
@Baraza_Kuu Sawa tunajua umelipwa...vp ni hotspot basii
Indonesia
0
1
0
353
Mchambuzi
Mchambuzi@Baraza_Kuu·
Kiongozi wa zamani wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, ameendelea kujikuta akipoteza heshima, imani na uungwaji mkono kutoka kwa Watanzania baada ya matamshi yake ya uchochezi na mwenendo wake wa kisiasa na kidini kudhihirika kuwa ni wa unafiki na tamaa ya mali. Kwa mujibu wa uchambuzi wa wananchi na waumini waliowahi kumfuata, Gwajima sasa amegeuka kuwa mfano halisi wa viongozi wanaotumia dini kama daraja la kujitajirisha, huku wakijificha nyuma ya jina la Mungu. Matamshi yake ya tarehe 26 Oktoba 2025 yamezua taharuki kubwa, yakitafsiriwa kama jaribio la kuchochea maandamano na kuvuruga amani ya Taifa, hatua iliyopingwa vikali na Watanzania. Wananchi wamempuuza hadharani, wakimtaja kama mzandiki na mamluki wa kisiasa, anayejificha chini ya kivuli cha uongo wa kiimani. Kwa sasa, ni wazi kuwa imani ya watu kwake imeporomoka kwa kasi, kutoka kuwa mchungaji hadi kuwa mwanaharakati wa mitandaoni anayetumia dini kama kioo cha kujinufaisha. Katika kipindi cha ubunge wake wa Jimbo la Kawe, Gwajima aliahidi miradi kadhaa mikubwa ikiwemo maji, barabara na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi, lakini hakuna hata moja iliyotekelezwa. Ndiyo maana leo wananchi wake wanamuuliza wazi: “Uko wapi ulioahidi barabara? Uko wapi ulioahidi maji? Uko wapi ulioahidi ajira kwa vijana?” Wachambuzi wa masuala ya kijamii wameeleza kuwa tabia za Gwajima zimejikita katika utapeli wa kidini na kisiasa, akitoa ahadi zisizotekelezeka kama kufufua wafu maarufu na “kuvuta baraka kwa kutoa sadaka kubwa,” huku maisha ya waumini wake yakibaki katika umaskini wa kupindukia. Kwa mujibu wa uchambuzi wa maadili ya viongozi, Gwajima anaonekana kuwa kiongozi asiyejali uwajibikaji. Kauli yake ya hivi karibuni ya “anayenilaumu ni mjinga” imechukuliwa kama dhihaka kwa umma, ikionyesha kiburi na kutokuheshimu wananchi aliowaahidi kuwahudumia. Aidha, uchunguzi unaonyesha amejilimbikizia mali kubwa, majumba ya kifahari, magari ya kifahari, na biashara kadhaa, huku akijitetea kwamba ni “baraka za Mungu.” Lakini maswali yanabaki: Je, baraka hizo hazipaswi pia kuwagusa wale aliowahubiri kila Jumapili? Kwa muhtasari, Gwajima sasa amekuwa mfano wa onyo kwa viongozi wanaogeuza dini kuwa biashara. Ni simulizi ya unafiki, tamaa ya mali, na uongo unaolenga kujitajirisha kupitia imani za watu. Tanzania inaendelea kusimama imara chini ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita, inayojenga Taifa lenye maadili, uwajibikaji, na utu. Watanzania wameonyesha kwa vitendo kwamba hawataendelea kuamini wahubiri wa uongo wanaotumia jina la Mungu kwa faida binafsi.
Mchambuzi tweet media
Indonesia
31
34
50
15.4K
DCRG retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Humphrey Polepole ambaye amekuwa mwenezi wa CCM Taifa, Mbunge, Mkuu wa Wilaya wilaya mbili, Balozi katika nchi mbili ametekwa katika ardhi yake aliyozaliwa. Siyo CCM, Bunge au Serikali imetoa kauli hata ya kujibaraguza kulaani tukio hilo. Kwamba wanakubaliana na kutekwa kwake?
Indonesia
35
308
1.8K
37.5K
Grok
Grok@grok·
@julfox5 @Sativa255 Kutoka kwenye video, yule ni afisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayetangaza uungaji mkono wake kwa CCM kwa kusema "Chama changu CCM" wakati wa hotuba. Siwezi kuthibitisha jina lake kwa uhakika, lakini anazungumzia kujivunia chama hicho na kutia moyo wengine.
Indonesia
1
0
0
83
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Jana Taarifa ya Jeshi la wananchi ilisema jeshi liliingizwa kwenye mambo ya siasa kwamba ni MARUFUKU. Huyu KIBAKA hapa alikuwa anajinadi kabisa "Chama changu CCM"-Huyu mpumbavu kachukuliwa hatua gani huko jeshini? TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
28
132
558
17K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Wengi wanawafahamu kina John Cena, Randy Orton, Batista nakadhalika lakini wachache wanamfahamu Legend wa mchezo wa Mieleka aliyewika zaidi miaka ya 1980s. Hulk Hogan amefariki akiwa na miaka 71 huko Marekani.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
16
17
496
11K
millardayo
millardayo@millardayo·
Aliyekuwa miongoni mwa mwagwiji wakubwa wa mieleka na kutamba sana katika tasnia ya WWE Hulk Hogan, amefariki dunia akiwa na miaka 71. Hogan ambaye jina lake halisi ni Terry Gene Bollea anaripotiwa kufariki alfajiri ya leo nyumbani kwake Clearwater, Florida, nchini Marekani baada ya kupata mshituko wa moyo. Polisi wa Clearwater wamesema alikimbizwa hospitalini lakini alitangazwa kufariki muda mfupi baadaye, WWE shirika kubwa la mieleka limetoa taarifa ya masikitiko makubwa na kumwelezea Hogan kama sura ya zama za dhahabu katika mieleka aliyekuwa na mchango mkubwa na aliyeacha alama isiyofutika katika tasnia hiyo. Katika maisha yake ya ulingo, Hogan alipata mataji mengi ya mieleka na pia alijikita katika filamu na vipindi vya televisheni, akiwahamasisha mashabiki wa michezo hii kote duniani. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
15
11
528
24.2K
DCRG
DCRG@TvMauzo·
@Hakingowi @_zack255 😁😁😁😁😁unapost lakin unaishiwa nguvu kabisa kwa yanayo endlea
Filipino
0
0
0
4
Haki Ngowi
Haki Ngowi@Hakingowi·
▪️U J E N Z I kukamilika kwa mradi mkubwa wa ujenzi wa soko kuu la Mwanza lenye miundombinu bora na ya kisasa kwa gharama ya shilingi bilioni 26.6 ni ukombozi kwa wafanyabiashara wa jiji hilo na nchi jirani kiuchumi. #MguuKwaMguu2025
Haki Ngowi tweet media
Indonesia
1
2
3
577
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Raisi wa Tanzania. 2005-2015 na 2021-2025.
SIR TIVA tweet media
HT
63
81
996
31.2K
DCRG
DCRG@TvMauzo·
@YerickoNyerereT "Kushiriki kutoa maoni si kukubaliana na matokeo. Uhalali wa kisiasa haujengwi kwa ushiriki wa majadiliano bali kwa kukubaliana na maudhui ya mwisho, na Chadema haikuidhinisha Dira hii.bro
Indonesia
0
0
0
31
DCRG
DCRG@TvMauzo·
@YerickoNyerereT Nawe tuelezee uo mfumo wa kijasusi unao ufahamu
Indonesia
0
0
0
21
DCRG
DCRG@TvMauzo·
@Eric__Bernard Umasikini ni mbya ndio maana unawachoma wenzio upate fedha
Filipino
0
0
0
5
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Vijana wenzangu amkeni tukalipambanie Taifa letu hili, Tujenge Uchumi na Nchi yetu hii ili kwa Pamoja tuwe Matajiri.. Umaskini ni Mbaya sana tuukatae!!!
Indonesia
4
7
66
3.3K
DCRG
DCRG@TvMauzo·
@SuphianJuma Like zenyewe hupati je kula utazipata??? Uwe unajiongeza suphian
0
0
0
103
Suphian Juma Nkuwi
Suphian Juma Nkuwi@SuphianJuma·
"SUPHIAN JUMA NKUWI AUTAKA UBUNGE IKUNGI MAGHARIBI." CLOUDS TV Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mkurugenzi wa shirika la TAA linaloratibu upandaji miti Mkoa wa Singida Suphian Juma Nkuwi Julai 1 2025 amechukua na kurejesha fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo la Ikungi Magharibi.
Suphian Juma Nkuwi tweet media
Filipino
6
2
16
7.4K