TMK

868 posts

TMK banner
TMK

TMK

@TzMadKid

good kid mad city

Tanganyika Katılım Temmuz 2023
285 Takip Edilen138 Takipçiler
TMK retweetledi
SPOON
SPOON@TonnyUnfiltered·
Asilimia kubwa ya millennials ni ccm walidanganywa kwa kupewa t-shirt, kofia, baiskeli, kanga na mabango ya ccm ya kubandika ndani. 💔🚮
Indonesia
34
61
184
3.2K
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
Gen Z walijaribu kujifanya wanaharakati 29 oct walitandikwaa.
Narrowbeefly tweet media
Indonesia
175
30
335
71.1K
Deogratius||🕊️
Deogratius||🕊️@Philosophe45141·
Millennials Wana amini CCM haiwezi Toka madarakani
Indonesia
18
32
205
4K
NOED.
NOED.@Noedson_tz·
Kwa mujibu wa Millennial Dudubaya naye alikuwa msanii mkali sana 😅😅
Indonesia
9
14
69
938
TMK retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Baada ya ripoti ya JAJI OTHMAN CHANDE; Natabiri wananchi kutoridhika, hasira kali na maandamano makubwa kuliko ya tarehe 29.10.2026. Tatabiri uasi ndani ya CCM na madai ya mabadiliko ya ndani. Natabiri dunia kuunga mkono na kuweka mashinikizo yatakayoathiri uchumi wetu.
Indonesia
42
180
1.2K
20.6K
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Millennials waliamini Nyerere ndio alikomboa Tanzania
Filipino
57
85
421
11.1K
TMK
TMK@TzMadKid·
@HecheJohn @NyakanyengePM “mimi ni mali ya Mungu, ndiye atakayeamua lini ananihitaji.” Haya maneno yatawatesa sana wakoloni weusi
Indonesia
0
0
18
1.6K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
“Kumekuwa na majaribio na vitisho kutoka kwa watawala kunizuia nisiongee. Kuna wakati niliambiwa nizime simu yangu, nisiitumie mpaka (wao) watakapo niambia. Nikawauliza, kwa sheria gani? Kuna wakati nilikaribishwa mahali fulani, nikapigiwa simu na watawala, wakasemam mzee usiendee kwenye huo mkutano. Kwanini? Hauna manufaa. Nikawauliza, nani anaamua hayo manufaa? Nikakataa. Wakawafuata watu walio karibu na mimi ili wanishawishi nisiende, nikakataa pia. Mnakumbuka nilifanya mahojiano hapa na Jamhuri? Wakatoa summary, wakasema watachapisha mahojiano yote, neno kwa neno. Baadae Jamhuri wakanieleza wamezuiwa wasitoe yale mahojiano. Kuna viongozi wanaogopa kuzungumza na mimi, wanatuma ujumbe kupitia mbali huko. Marafiki zangu wanaogopa wakisema nitatekwa au kupewa sumu. Nawaeleza mimi ni mali ya Mungu, ndiye atakayeamua lini ananihitaji.” — Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Tanzania.
John Heche tweet media
Filipino
76
529
2.2K
82.4K
TMK retweetledi
Word
Word@umarfof·
If it costs my peace, it has to go.
English
81
7.1K
19.4K
537.8K
TMK retweetledi
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
Jaji Joseph Sinde Warioba ambaye ni Waziri Mkuu Mstaafu amesema hayo Mei 9, 2026 katika mahojiano na Jenerali Ulimwengu pamoja na Khalifa Said wa The Chanzo kuhusu Ripoti ya Kuchunguza Matukio ya Wakati na Baada ya Oktoba 29, 2025. Zaidi jamii.app/WariobaVifo #JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability
Indonesia
5
166
636
10.6K
TMK retweetledi
Mbishi ⚖
Mbishi ⚖@bizy94·
🚨 SULUHU’S UKONGA STUNT EXPOSED! Fake prisoner claims: “I’ve been in prison 28 years… Even today when I was coming to Ukonga prison, my fellow inmates asked me to pass a message to you, Mama!” Who is this hired actor?! Why won’t @SuluhuSamia explain why she really went to Ukonga? We know @TunduALissu is locked up there! Stop staging fake prisoners! #SuluhuStuntExposed #FreeTunduLissu 🔥🇹🇿
English
10
16
50
2.4K
TMK retweetledi
Money Quotes
Money Quotes@MoneyQuotesX·
Do yourself a favor, get rich.
English
1.2K
8.8K
36.7K
820K
TMK retweetledi
khalifa said #SUDAN 🇸🇩 ☭🌹
.@tanpol ni taasisi ya kikoloni, haikuwahi kukusudiwa kamwe kukidhi matakwa ya watu wa tabaka la chini kama mimi na wewe. haipaswi kuwepo, haina faida yoyote labda kwa watawala haramu na vibaraka wao. (asante @INFLUENCERjr kwa kuileta hii video huku).
Filipino
17
145
526
7.7K
TMK retweetledi
ɠɧıʂɧ
ɠɧıʂɧ@rirokpik·
Africa won’t be free until corruption becomes a crime with consequences, not a career with benefits.
English
99
7.8K
20.1K
221K
TMK retweetledi
EDGAR 🇰🇪
EDGAR 🇰🇪@edgarwabwire_·
Samia Suluhu just said that democracy holds a different meaning in Swahili, says democracy is conducting abductions, detention without trial, and shooting people on the streets.
English
30
196
513
12.7K
TMK retweetledi
Invis🧜‍♀️
Invis🧜‍♀️@invis4yo·
Politicians are not celebrities. They are public servants and they’ve forgotten their place.
English
536
38.7K
169.2K
1.6M
TMK retweetledi
khalifa said #SUDAN 🇸🇩 ☭🌹
khalifa said #SUDAN 🇸🇩 ☭🌹@ThatBoyKhalifax·
katika historia nzima ya tanzania, hakujawahi kutokea tume yenye kujitetea na kujieleza kama hii ya chande. i mean, c’mon, give us a fucking break, will ya? nafsi zenu kuwasuta kwa kusafisha na kuhalalisha mauaji halaiki ya raia isiwe ni mateso na kwetu sisi. chill the fuck out!
Indonesia
11
138
489
7K
TMK retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Leo, tarehe 26 Aprili, 2026 ikiwa ni Siku ya #Muungano, tujikumbushe mwaka 2014 ambapo Mhe. @TunduALissu aliwasilisha maoni kuhusu #Muungano katika Bunge Maalum la Katiba.
Indonesia
26
236
600
24.4K
TMK retweetledi
Zoom Afrika
Zoom Afrika@zoomafrika1·
“They will pay one of us to kill one of us just to say it was one of us” ~ Malcolm X
Zoom Afrika tweet media
English
102
3.1K
16.4K
172K