UGIMBI

5.3K posts

UGIMBI banner
UGIMBI

UGIMBI

@UGIMBI2

Creator : Digital Mind: Entrepreneur: Extra Funny&Joker : @simbasportsFc . War is my Comfort. Critism is my hobby

Buzastan Republic Katılım Kasım 2021
168 Takip Edilen1.4K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
UGIMBI
UGIMBI@UGIMBI2·
Kuna wakati mchezo wa ngumi ni sawasawa na kuingia kinyume nyume kwenye gheto la popobawa. Mwenzenu jana yamenisibu😒
Filipino
171
75
2.1K
0
UGIMBI
UGIMBI@UGIMBI2·
MUNGU IKIKUPENDEZA FANYA JAMBO. Tutashukuru hata kwa kidogo utakacho fanya.
UGIMBI tweet media
Indonesia
0
0
0
83
UGIMBI
UGIMBI@UGIMBI2·
Unazua taharuki kwenye moyo wangu 😋
Indonesia
1
0
0
206
UGIMBI
UGIMBI@UGIMBI2·
@Sativa255 Wanatuona sisi ni kama matako yao
Filipino
0
0
2
1.6K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kiufupi sana WAANDAMANAJI walikuwa na taarifa zote.🫵🏾🤝
SIR TIVA tweet media
Filipino
35
151
1.1K
42K
UGIMBI
UGIMBI@UGIMBI2·
Vijana wa kitanzania 😅😅😅🙌🙌
UGIMBI tweet media
HT
0
0
0
9
UGIMBI retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Nadhani tungetumia Hashtag maaulumu ili kuweza kupata matukio yote kwa urahisi zaidi.
The mandevu tweet media
Indonesia
11
78
1.2K
28K
UGIMBI retweetledi
SATIVA TIPS
SATIVA TIPS@sativatips17·
Atleast KIDUKU yupo salama. Mpelekeni MAHAKAMANI sasa. Kukosoa serikali siku zote ni makosa ya kimtandao. Hii ni chini ya serikali ya DIKTETA IDI AMINI MAMA. Taarifa nzuri kama hii ya kulinda nchi dhidi ya waharifu mnafunga comments. Mnaogopa maoni ya wananchi wenu @tanpol ?
SATIVA TIPS tweet media
Indonesia
31
51
201
9.1K
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam tarehe 24 Septemba, 2025 majira ya saa 07:00 mchana eneo la Kariakoo lilimkamata Innocent Paul CHUWA maarufu mtandaoni kama @ kiduku Mkazi wa Kijichi Temeke kwa tuhuma za makosa ya kimtandao. Taarifa ya Polisi inasema Uchunguzi unakamilshwa na mtuhumiwa huyo ambaye atafikishwa kwenye mamlaka nyingine za kisheria haraka iwezekanavyo. Pia Jeshi la Polisi limesisitiza kuwa halitasita kumuhoji na kumkamata mtu yoyote anayejihusisha na tuhuma za kihalifu. #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
98
80
1K
60.9K
UGIMBI
UGIMBI@UGIMBI2·
Wanakatwa na Anko T
EastAfricaTV@eastafricatv

#HABARI Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam tarehe 24 Septemba, 2025 majira ya saa 07:00 mchana eneo la Kariakoo lilimkamata Innocent Paul CHUWA maarufu mtandaoni kama @ kiduku Mkazi wa Kijichi Temeke kwa tuhuma za makosa ya kimtandao. Taarifa ya Polisi inasema Uchunguzi unakamilshwa na mtuhumiwa huyo ambaye atafikishwa kwenye mamlaka nyingine za kisheria haraka iwezekanavyo. Pia Jeshi la Polisi limesisitiza kuwa halitasita kumuhoji na kumkamata mtu yoyote anayejihusisha na tuhuma za kihalifu. #EastAfricaTV

Filipino
0
0
0
95
UGIMBI
UGIMBI@UGIMBI2·
CRDB kama mmekopesha hela kwenye uchaguzi semeni kuliko kututesa wateja wenu kiasi hiki.
Indonesia
0
0
0
66