THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER
19.4K posts

THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER retweetledi

Maisha yakikupiga vibaya sana
1. Usipoteze muda kulalamika. Hakuna anayekuja kukuokoa.
2. Badilisha tabia na maamuzi yaliyokufikisha hapo ulipoanguka
3. Acha kujionea huruma. Dunia haina muda wa kuwabembeleza waliovunjika moyo. Jikaze fanya kazi kwenye mwili na akili yako mpaka udhaifu wote uondoke
3. Tafuta pesa na nguvu ya kusimama mwenyewe, ili usiwe tena mtu wa kunyanyasika.
4. Jirekebishe na Kubali kwamba baadhi ya maumivu yaliletwa na makosa yako mwenyewe.
5. Punguza mawasiliano na Kata kabisa mahusiano na watu wasio na faida waliokuona ukianguka lakini hawakufanya chochote
6. Ondoka kwenye Eneo lako linalopokupa Faraja (Comfort zone)
Indonesia
THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER retweetledi
THE👉SEACHER retweetledi

Mwigizaji Mkongwe na Mwanamichezo wa Sanaa za Mapigano (Martial Arts) Chuck Norris amefariki dunia hii leo Machi 20, 2026 akiwa na umri wa miaka 86, wakati akipatiwa matibabau katika Hospitali ya Hawaii nchini Marekani.
Taarifa za kifo chake zimethibitisha na Familia yake kupitia Mitandao yake ya Kijamii ambapo imeeleza “Kwa huzuni kubwa, Familia yetu inawataarifu kutokea kwa kifo cha ghafla cha mpendwa wetu Chuck Norris, na tungependa sababu za kifo chake zibaki kuwa za siri, tungependa mfahamu kuwa amefariki akiwa amezungukwa na Familia yake na alikuwa katika hali ya amani.”
Aidha Chuck Norris alijipatia umaarufu katika filamu kwanzia miaka ya 1970 mpaka 80 akiigiza Filamu maarufu zilizofanya vizuri duniani kama vile Walker, Texas Ranger, The Delta Force, Missing in Action, Good Guys Wear Black (1978), The Octagon (1980), Lone Wolf McQuade (1983), Code of Silence (1985) na Firewalker (1986), The Expendables 2 (2012) na nyinginezo nyingi.
#MillardAyoUPDATES

Filipino
THE👉SEACHER retweetledi

Nyie mnasikilizaga kila msanii ilimradi tu mna bando
BIG MEECH 🦅@TopBoe_
Baaaaaasiiii wamekwishaaa 😁😁🔥🔥🦅 #ZohanNikki
Indonesia
THE👉SEACHER retweetledi

Kuna jambo moja linaweza kubadilisha maisha yako kabisa—
na hilo ni hili:
Sio kila mtu anaona dunia kama unavyoiona wewe. (Worldview)
Mara nyingi tunakasirika, tunahukumu, tunagombana
kwa sababu tunaamini sisi tuko sahihi, na wengine wamekosea.
Lakini ukweli ni huu:
watu hawaoni mambo jinsi yalivyo… wanaona mambo jinsi walivyo.
Kila mtu ana “lenzi” yake:
malezi yake, majeraha yake, uzoefu wake, na alichopitia maishani.
Ndiyo maana watu wawili wanaweza kuangalia jambo moja
lakini wakaona vitu viwili tofauti kabisa.
Mmoja anaona kosa,
mwingine anaona maumivu.
Mmoja anaona dharau,
mwingine anaona ulinzi wa nafsi.
Na hapa ndipo hekima inapoanza:
Acha haraka ya kuhukumu anza kuelewa.
Kwa sababu huenda mtu unayemkosoa
anaona kitu ambacho wewe huoni.
Tunapaswa kuwa na moyo wa subira,
moyo wa huruma,
na moyo wa kuelewa wengine.
Leo nataka uondoke na hili moyoni:
Sio kila anayepingana na wewe amekosea
huenda anaona upande ambao wewe hujaona bado.
Na pale unapoanza kuelewa watu,
ndipo unapopunguza migogoro,
na kuanza kujenga mahusiano ya kweli.
“Change what you see by changing how you see”
Rev Msigwa
Filipino









