UnjU🕳️

67K posts

UnjU🕳️ banner
UnjU🕳️

UnjU🕳️

@Unjuneering

#MWENYEZIMUNGU_NAKUPENDA_ASANTE 🙏🏾 Mkrslim___#ChelSimba

Katılım Şubat 2022
8.5K Takip Edilen15K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
UnjU🕳️
UnjU🕳️@Unjuneering·
EDEN HAZARD,,,one of the greatest to play the game. 'Thank you for everything, and good luck in your retirement.'
UnjU🕳️ tweet mediaUnjU🕳️ tweet media
English
23
66
206
28.6K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Mh @freemanmbowetz, Sisi vijana wako watiifu uliyetulea na kutufundisha siasa na hesabu za nera, HATUTAKUSALITI KAMWE!, Tutabaki watiifu kwako tukiamini wewe ni kiongozi bora na mbeba maono wetu, tutalinda heshima na urithi wako popote! Endelea na mapumziko ya likizo yako ya kisiasa kwa amani na utulivu, usilazimishwe kunyamaza, wala usilazimishwe kusema, sema ukijisikia kusema, likiwepo la kusema! Na Yericko Nyerere
Yericko Nyerere tweet mediaYericko Nyerere tweet media
Filipino
81
9
76
16.7K
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Hawa ndo aina watu wanaongoza kuoa pisi kali kijijini hasa Njombe na Ifakara
Sekenke One 🌻 tweet media
Indonesia
16
14
133
6.2K
UnjU🕳️
UnjU🕳️@Unjuneering·
Hiki ni kinini X mafundi naomba jibu 🤔 🤔 au fundi ananipiga hapa..!!
UnjU🕳️ tweet media
Filipino
3
5
12
598
Garnet
Garnet@GarnetZahor·
@Unjuneering Kutoa umeme kutoka positive kwenda negative 🤣
Filipino
1
0
1
18
UnjU🕳️ retweetledi
Chelsea FC
Chelsea FC@ChelseaFC·
Happy birthday, Benoit! 💙
Chelsea FC tweet media
English
566
736
10.8K
211.5K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Account 400 zilizo active Zishushe hendo tuzifolo chap hapa
English
30
17
43
1.2K
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
Ukiachana na kunuka kijasho chembamba wana sifa gani nyingine hawa? 😁😁
Narrowbeefly tweet media
Indonesia
43
23
218
15.7K
millardayo
millardayo@millardayo·
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, William Lukuvi, unatarajiwa kuagwa katika Mikoa Mitatu kabla ya kuzikwa Nyumbani kwake Idodi, katika Jimbo la Ismani Mkoani Iringa. Kwa mujibu wa Ratiba ya Mazishi iliyotolewa, itaanza leo Machi 26, Jijini Dodoma ambapo Viongozi mbalimbali na Wananchi wataendelea kusaini Kitabu cha Maombolezo, huku mwili wa Kiongozi huyo ukitarajiwa kuwasili Nyumbani kwake majira ya jioni, na kisha tarehe 27, Machi kuagwa katika Viwanja vya Bunge ambapo Wabunge watapata nafasi ya kutoa Heshima ya mwisho kwa Kiongozi huyo. Baadaye, Mwili huo utasafirishwa hadi Dar es Salaam kwa ajili ya kuagwa na Wananchi pamoja na Wadau mbalimbali katika Viwanja vya Karimjee, tarehe 28, Machi. Ratiba hiyo itaendelea Mkoani Iringa kuanzia tarehe 29, Machi, ambako mwili wa marehemu utafikishwa kwa ajili ya kuagwa na Wananchi wa eneo hilo kabla ya kusafirishwa hadi Kijijini kwao Idodi kwa mazishi rasmi yatakayofanyika Machi 31, 2026. Aidha, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassani anatarajiwa kuwaongoza Waombolezaji katika msiba huo. Lukuvi, ambaye alikuwa Mbunge wa Isimani kwa muda mrefu, amefariki dunia Machi 25, 2026 Jijini Dodoma alipokuwa akipatiwa matibabu. Kifo chake kimeacha pengo kubwa katika Uongozi na Siasa za Tanzania, huku akikumbukwa kwa mchango wake wa muda mrefu katika Utumishi wa umma. #MillardAyoUPADATES.
millardayo tweet media
Indonesia
57
5
209
30.3K
UnjU🕳️ retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
KATAA DHARAU - Unaweza kuishi bila kazi ya Serikali,una umri wa kutetea principle kuliko chakula. Kwanza kwa umri wako ni lazima utakuwa na masharti ya kula.Kwa hiyo mboga za majani na matango huwezi shindwa.Mtazame Jenerali Ulimwengu/Prof Assad.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
275
543
4.5K
0
𝐌𝐚𝐬𝐬 𝐤𝐢𝐝
Ebanaeee kam unafollow back weka username tukuze account mwaga moto kama dragon 🔥🐉👇
𝐌𝐚𝐬𝐬 𝐤𝐢𝐝 tweet media
Filipino
44
20
77
1.4K
MOST WANTED JR
MOST WANTED JR@UchafuziM·
Hallow @bunge_tz spika wa bunge akimaliza huu mwaka hajaenda AKHERA itakuwa mganga wangu ni TAPELI.
MOST WANTED JR tweet media
Indonesia
42
27
291
20.2K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Dogo alikuwa anadhani mafanikio yanakuja kwa kujitumaa pekee mpaka alipoambiwa inatakiwa kafala ya Mzazi.😂💔
The mandevu tweet media
Indonesia
62
76
1.8K
82.7K
UnjU🕳️ retweetledi
Premier League
Premier League@premierleague·
The 2025/26 EFL Cup title belongs to @mancity - and they could still win a domestic treble... 👀 Who will lift the Premier League and FA Cup trophies this season? 🏆
Premier League tweet media
English
208
1.2K
14.5K
241K
Mavugo Mavugo
Mavugo Mavugo@MavugoMavu75921·
@Unjuneering Nauli zinaonekana ndogo kwa sababu hakuna foleni daladala zinatembea
Filipino
1
0
0
14
UnjU🕳️
UnjU🕳️@Unjuneering·
Mji wa kuanzia maisha kwa vijana..
UnjU🕳️ tweet media
Suomi
33
24
564
60.9K