Qubvan🦁

13.6K posts

Qubvan🦁 banner
Qubvan🦁

Qubvan🦁

@Vanysimba

Branding & Marketing Strategist | Insurance & Risk management | Export Agent | thoughtful 💡

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ocak 2020
1.7K Takip Edilen1.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
Usiwahi kufanya any kind of "Marketing" maybe kulipia "Ads" kabla hujajiuliza haya maswali matatu. 1. Who am i selling to.? (Target market) Obviously sio kila mtu utataka awe ni mteja wako, lazima ujue ni nani hasa atanunua bidhaa/huduma yako by fire or by force. unaweza kuwa-categorize either by Age group or by gender ni muhimu sana. 2. Where are they Located Hii ni muhimu mno, lakini watu wengi wana ignore Unaweza ukawa unafocus sana kuuza lets say Twitter (X) na target market yako ipo 'tiktok' au una struggle kulipia Ads "Instagram" kumbe wateja wako wengi wapo "Facebook" Do your research, jua watu wako wapo active zaidi kwenye platform gani for (Digital marketing) Mfano: kama biashara yako ime-Target zaidi watu wazima(wazee) wanakuaga watu wakanisa/ibada sana, coz wazee wengi ambao wapo retirement age mostly wanakua involved na mambo ya ibada wengi wao utawakuta facebook, so ukitaka kuuza zaidi ni lazima uweke nguvu kubwa Fb coz huko ndipo watu wako walipo. 3. Can they afford my product/services.? Wateja wako wanaweza kumudu bei, hii itakusaidia usipoteze muda. kama unataka kufanya 'Ads' hakikisha wateja wako wana mudu price tag yako ili baadae msije kusumbuana ku- bargain kuhusu bei.
Qubvan🦁 tweet media
Indonesia
1
3
5
338
Qubvan🦁 retweetledi
`
`@lisaawrites·
According to Philosophy, the highest form of peace is to have zero desire to be understood, admired, pitied or even known.
English
315
10K
48.1K
999.7K
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
@PhitMathematic @Adv_innocent Personally madam nmemwelewa japo alichokifanya ni disrespect kwa ile media hawa online medias now days wamekua wakichase trendings, wanakuuliza maswali ya kiwaki alafu wanakata kata vipande wanaunga vengine unatrend mfano kilichomtokeaga master jay last year
Indonesia
1
0
0
474
Philip
Philip@PhitMathematic·
Madam Ritha kayavaga yani Kayakanyaga😂
Filipino
12
5
109
7.9K
TANZANIA BUSES NATION
TANZANIA BUSES NATION@BusesNation·
Dereve wa bakhresa amekutwa na maboss anapiga nyoka Kazi ngumu
TANZANIA BUSES NATION tweet media
Filipino
42
20
415
54.8K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Meli ya mizigo ya MV Jozan II imezama uko Zanzibar, hii meli ilikuwa inatoka Tanga kwenda Unguja ilikuwa imepakia Cement tani 800. Ilikuwa na Mabaharia 14 kati yao 10 wameokolewa na wanne hawajulikani walipo. Waliopotea ikiwemo ni Nahodha wa meli na Muhandisi mkuu wa meli 💔
Indonesia
23
49
620
25.8K
Qubvan🦁 retweetledi
888
888@444holywitch·
UPO KWENYE AINA GANI YA ATTACHMENT? Attachment style ni namna unavyohusiana na watu kihisia, yani jinsi unavyopenda, unavyokaribia, na unavyojilinda. Hii si tabia tu unayoichagua ukubwani, bali ni mfumo uliojengwa mapema sana kwenye maisha yako. A THREAD 🧵
Filipino
3
20
70
5.5K
Trica Online Store
Trica Online Store@TriciaAbou·
Nothing to worry, sisi ndio mabingwa imeshaandikwaa na ipo hivyo 🫵🏻 See you next Gunners 🙏🏻
Trica Online Store tweet media
Filipino
62
26
193
6.4K
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
@FaradayMtz01 Sure bro, uliza watu wote wanaofanya kazi industry ya Bima watakwambia
Indonesia
1
0
0
40
I ❤️ Dar Es Salaam
I ❤️ Dar Es Salaam@FaradayMtz01·
Biashara hizi ni ngumu kufa, pili Wengi wametajirika, lakini wapo kimya hawasemi. 1. Pharmaceutical 💊 2. Oil (Gasoline & Diesel)⛽️ 3. Minerals ✨️ 4. Export & import 📦 5. Logistics & Delivery 🚚 6. Insurance brokers 💰 7. Gas & LPG gas ⛽️ 8. Financial 💰 Source: My Research
Indonesia
22
67
490
16.9K
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
@Kicheche_jr kwa sasa hakuna kiungo bora wa eneo lile anaeweza kumzidi bruno bro, na hapo hachezi na kina halland wala mbappe. kwa sababu chances anazo create za watu kufunga na wanakosa ni nyingi na hakuna kiungo yeyote anaefika level izo
Filipino
0
0
2
240
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Watu wa mpira. Unapewa Bruno Fernandez na Jude Bellingham unaenda na nani kwenye kiungo wa juu?
Indonesia
19
4
66
4K
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
@Celsius015 @ranzobets Hujamuona Ozil ww ozili ilikua anamtoka adi kipa afu ana assist yule msenge na bado rekodi ya chogo hakutoboa😂😂
Indonesia
0
0
2
112
Celsius Ulanda
Celsius Ulanda@Celsius015·
Sema bruno nae sasahv assist zimeanza kumchanganya pa kufunga anassist
9
12
181
5K
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
@Adventure_36 @boris_the_name Wese likishuka na nauli zitashuka.?? tukubaliane hapo kwanza kabla mkeka haujaanza kutumika latra wasiangalie upande mmoja tu.
Indonesia
0
0
1
605
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Kwenye hizi nauli mpya za Mabasi ya mikoani, KWA ORDINARY BUS Kwa mabasi ya kawaida yale Likiwa linapita kwenye Lami imeongezeka 57.93 kwa KM1 Mfano Dar to Iringa ni KM 503 Chukua 57.93×503= 29,138.79 kwahyo nauli apo inakuja kama 30k hivi. Na likiwa linapita kwenye vumbi
Adventure-360 tweet media
Indonesia
11
17
76
13.4K
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
Uyu dogo Heaven kwanini anakaaga benchi anachezwa yule sharobaro yoro🤔
Filipino
0
0
0
28
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
@Col_IkeDubaku @Roma_Mkatoliki @FredrickMulla sawa lakini sasa hivi mfumo wa mainstream media haufanyi kazi Ngoma zinatoka muda wowote, wasanii hao inabidi wajikite kuuza nyimbo kwenye digital platforms badala yake unakuta msanii anauza album whatsapp sijui mara kwenye email.
Indonesia
0
0
0
33
Master Manondo
Master Manondo@FredrickMulla·
“Na Mistari Mikali hadi George anarudi Bush/ Hakuna utata, Mbaratata nasimama mpaka BASATA/ Vaa Gucci Vaa Supra nafunga kupiga Supa.” Au sio Blaza😂😂
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki

Nionavyo mimi!! Tunao Rappers/Mc’z and HipHop heads wazuri wengi tu! Lakini ni wazuri tu kwenye ufundi wa kucheza na maneno tu, kupanga vina na flow tamu!! Lakini hupati exactly maana ya anacho-rap!! Ni kama anacho rap hakina maana au you can’t relate na maisha ya msikilizaji!! Unakuta mtu anarap Mfano…anaweza akasema 🗣️ Midondoko,Mikong’oto,Misokoto yetu kanga moko/ Dry peku kama mpoto, masai yechu hii namba nyoko/ Ukimsikiliza na alivyonata na mdundo utapenda, BUT YOU CANT RELATE!! Ni kundi dogo sana linaweza relate na ulichosema (Wasanii wenzako na wenye ndoto za kuwa wasanii) Ni lines zinaweza kuwa tamu lakini hata yeye ukimbana kwa interview afafanue alimaanisha nini….. HE CANT! Ataishia tu kusema…. Si umeona hiyo Dry Peku, halafu kule mwanzo nilisema misokoto! Kwahiyo misokoto 🚬 yani dry….yani peku😁….halafu Mpoto si ndo’ anatembeaga peku na rasta zake kama misokoto😁 YANI HIZO NDO’ METAPHOR’s kaka!! Skillz za rap hizo!! Ndio kashafafanua hapo kamaliza!! Haya we umemuelewa!??🤔🤷🏿 Wito wangu, tengeneza maudhui (Content) ya nyimbo ambayo audience can relate with!! Hasa na maisha yao ya kila siku, iwe mapenzi,bata,siasa,inspiration. Na uiandike katika namna msikilizaji anaweza kuvaa uhusika!! Utapata fans wengi, utasikilizwa na watu wengi na fanbase yako itakuwa!! Ukiendelea na hizi za michomoko, miporomoko/ Tamathali za semi, na stanza sijui za banza kama stone na jiwe ndo magu chato/ na iwe manjagu couple!! Hizi watasikiliza tu kundi chache la wanaopenda Rap au wenye ndoto za kuwa Rappers!! Ndio maana Rappers wa dizain hii wengi wana struggle kupata fanbase kubwa, coz wanawaimbia wasanii wenzao na sio mashabiki!! Hakikisha Rap yako anaweza aka relate Mtoto/ Mama mtu mzima/Muhuni/Sista du/Padre/Ustaadh/Kiongozi/Babu/Bibi Hadi shabiki ambaye hafatilii muziki, Kama Padre anaweza sikia line moja na aka relate na maisha yake!! NA HIYO NDIYO HIP HOP!! Tusiwajaze sana vichwa hawa na kuwaambia wao ni wakali sana, kwa sababu tu wanaweza kucheza na maneno wakatengeneza vina!! HipHop/Rap Hakikisha inaleta maana!! GUSA MAISHA YA WATU!

Indonesia
21
6
106
24.7K
Qubvan🦁 retweetledi
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Wewe siyo mvivu. Unakosa Consistence tu. Siyo kwamba huna uwezo. Kinachokukwamisha ni ughairishaji tu. Siyo kwamba huna malengo. Unachokosa ni mfumo wa kutekeleza. Siyo kwamba hauwezi kufanikiwa. Mindset yako na belief system ndiyo shida. Siyo kwamba hapo ulipo ni bahati mbaya. Wewe ni matokeo ya MAAMUZI yako, watu wanaokuzunguza na mazingira yako.
Filipino
3
9
34
597
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
@Col_IkeDubaku @Roma_Mkatoliki @FredrickMulla yeah I see but sidhani kama ni kitu kibaya kwa sababu wasanii kipindi icho walikua wanalishwa na Fiesta so ukikosa show ya fiesta labda upige zako chaka to chaka. Na Media ilikua haifanyi kazi na msanii kama sio mkali wala hauna Hits mtaani.
Filipino
1
0
0
39
Col. Ike Dubaku
Col. Ike Dubaku@Col_IkeDubaku·
@Roma_Mkatoliki @FredrickMulla Yo, @Vanysimba pitia hii utaelewa nilichokua nakwambia muda ule kuhusu Industry kuwa na wasanii wake kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Wasanii walikua programmed ikawa hawatoi ngoma mpaka ufike msimu wa Fiesta. Hizi zama nakumbuka zilikua za aina yake. List ya Wachanaji Fiesta 😀
Indonesia
2
0
6
2K
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
@mhdhamad kinachonishangaza kwenye hii barabara yani ni kama hawatakuja kuishi watu umo pembeni maana hakuna U-turn hakuna interception yani ni moja kwa moja sijui hii imekaaje kitaalamu
Indonesia
0
0
4
597
mhd
mhd@mhdhamad·
Barabara hii inaonekana nzuri kwa macho, lakini kiuhandisi haijakidhi viwango vya usalama. Hakuna lay-bys (maeneo ya dharura) kwa magari yanapopata hitilafu. Hii ni hatari kubwa! Kuweka curbstones kushoto na kulia kwenye highway ni kinyume na best practices za kimataifa. Nchi nyingi hutumia shoulders (hard/soft shoulders) ili kuongeza usalama na nafasi ya dharura. Gharama ya kuweka curbstones pande zote + markings kali kwenye km 100+ ni kubwa sana. Kwa fedha hizo, ingewezekana kujenga flyovers kwenye makutano yote muhimu na bado pesa ingebaki. @Thommunkondya Umeona “Wazalendo” kazini?😂
mhd tweet mediamhd tweet media
Filipino
19
14
198
28.1K
Qubvan🦁
Qubvan🦁@Vanysimba·
@Col_IkeDubaku @Wakazi zamani kwenye redio tulikua tunaskiliza kila kitu lakini sasa ivi kila kitu kipo personalized unasikiliza kile unataka kuskia kwenye digital platforms
Filipino
0
0
0
8
Col. Ike Dubaku
Col. Ike Dubaku@Col_IkeDubaku·
@Vanysimba @Wakazi Kwani wewe ukipata wasaa wa kusikiliza muziki unaingia viunga gani? Umehifadhi kwenye simu yako au unasikiliza redioni? Au unazama digital platforms kadhaa na kuchagua ladha zako?
Indonesia
1
0
1
10
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
Ufundi una entail vitu vingine beyond hizo wordplay ulizofanya: Complex rhyme pattern, Rhyme schemes, puns, metaphors, multi syllables rhymes, entendres, wordplays, imagery, punchlines, sattire, simile, theme, vocabulary, diction… Vyote hivyo and more ni sehemu ya ufundi!
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki

@SwahiliKid22 Nipe mifano ya ufundi unaouongelea nijifunze!! 🎶 Mi ndiyo king nisiye na kiki so usiniite Kingkikii 💔 Si ndio ufundi wa hao unaowaona mafundi!! Hebu twende kwa facts!!

English
4
8
63
7K
888
888@444holywitch·
NGUVU YA VITU VISIVYOKAMILIKA (The Power of Incompleteness). Watu wengi wamefundishwa kusubiri mpaka mambo yawe kamili ndipo waanze. Mpaka wawe tayari, mpaka wajiamini, mpaka wajue kila kitu kitaendaje. Lakini ukweli ambao hauzungumzwi sana ni huu: A BEAUTIFUL THREAD 🧵
Indonesia
10
40
143
6K