Vunga

9.6K posts

Vunga banner
Vunga

Vunga

@VungaEl74

🔎The higher you go the cooler it becomes

Katılım Temmuz 2024
1.3K Takip Edilen2.3K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Kesho nisipo Pata mwaliko wa EId mbili nitaachia makombora
Vunga tweet media
Filipino
1
2
2
54
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Israel na Marekani wanacho kifanya ni pindi tu Irani anarusha kombora . Wenyewe wanaelekea pale pale kombora lilipo tokea kwa muda ule ule ndio maana wamefanikia kuharibu mahandaki mengi ya irani pamoja na magari ya kubebea siraha US-ISRAEL hawatoi pumzi kwa Irani ndio maana uwezo wa kurusha unapungu kabisa siku mpaka siku Na Irani baada ya kulijua hilo inawalazimu Kubeba kwanza makombora na Kuya Peleka mbali na kwenye mahandaki Viwanda vya kuchakata na kuhusika na utengenezaji wa siraha vingi vimelipuliwa sana Ilani anatumia ana magara ya siraha machache sana yaliyo baki kwa sasa.
Vunga tweet mediaVunga tweet media
Indonesia
7
4
31
1.7K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Kombora la 2000km wanataka lifike 4000km ndio maana moja lika feri na jingine likawa rahisi kuonekana🤣🤣 Hizi akiri za wa irani ni tope sana🤣🤣🤣
Vunga tweet media
Indonesia
4
1
4
402
Tycoon Baro🍁
Tycoon Baro🍁@Mashingia143049·
@VungaEl74 Janja hii ni siku ya ngapi hamjafanikiwa kufany Regime change yeyote?
Indonesia
1
0
1
19
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Angalia Waziri Mkuu wa Israeli na Rais wa Iran. Soma lugha yao ya mwili. Sasa niambie…….nani anashinda ❓….. mmoja amesha kata tamaa😅
Filipino
0
1
1
14
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Kesho nisipo Pata mwaliko wa EId mbili nitaachia makombora
Vunga tweet media
Filipino
1
2
2
54
Agnostic
Agnostic@Outset_Of_Omega·
@VungaEl74 ndege za mashoga zinashushwa huko Kila Leo, we piga story tu hapa
Filipino
1
0
1
26
Vunga retweetledi
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Hawa irani akili hawana hawapaswi kweli kumiliki nuclear weapons kabisa Kombora la 2000km linatumwa kwenda umbali wa 4000km. Mwisho wa siku yameferi yote target Moja limeondolewa na jingine limekosa nguvu😅😅 Wanakurupuka tu wanafanya mambo ili wananekane wanapambana 😅
Vunga tweet mediaVunga tweet media
Filipino
3
2
10
334
Vunga
Vunga@VungaEl74·
IRANI WAMEISHIWA SIRAHA mpaka wameaza kujaribu siraha ambazo hawakuwahi kuzitumia. Iran ilifyatua makombora mawili ya balestiki ya masafa ya kati intermediate-range ballistic missiles kuelekea Kituo cha Ndege cha Diego Garcia, Umbali ni takriban 4000 km kutoka Iran, ambayo inazidi umbali rasmi wa makombora yao yanayojulikana (2000 km), Mabomu hayo moja liliferi likaanguka na jingine lilihalibiwa na ulinzi wa Marekani wa anga Hawa jamaa wameishiwa mbinu za kuendelea kupigana vita walicho amua ni kuonesha tu makombora walionayo 😅😅😅
Vunga tweet mediaVunga tweet media
Indonesia
18
8
43
3.1K
Vunga retweetledi
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Kitendo cha Marekani na Israel kuua viongozi wa Irani kila kila wanavyo taka . Hii inaonesha hakuna kitu wanaweza kushinda kuifanya Irani hawa watu wanatecnoligia ya juu Na hakuna kinacho wazua kukifanya pale irani
Vunga tweet mediaVunga tweet media
Indonesia
1
2
4
82
Vunga
Vunga@VungaEl74·
@mmeruwaArusha Tena hapo Israel haidili na watu wa serikali ina dili na watu wa dola ya Kiislamu 😅😅😅😅
Indonesia
1
0
1
15
Vunga
Vunga@VungaEl74·
@kankaraz Hoja yako ni ipi hapo😅
Filipino
1
0
0
62
The Chin
The Chin@kankaraz·
@VungaEl74 Siyo Siraha ni silaha, siyo liliferi ni lilifeli,siyo lilihalibiwa ni liliharibiwa yani we mtu ambae hujamaliza hata darasa la 7 ndo unawakosoa Iran?
Filipino
1
0
1
81
np
np@NapanjaMohamedi·
@VungaEl74 Umesikia hapo anaomba poo!!!
Filipino
1
0
1
2
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Rais Trump Anasema Marekani inataka kuzungumza na Iran lakini hakuna mtu wa kuzungumza naye. "Viongozi wao wote wamekwenda."
Vunga tweet media
Indonesia
8
3
22
642
Gimakwi
Gimakwi@hadjiabdul48·
@VungaEl74 Zile vita za akina Rambo, Anord, chuck norris ndo mnatuletea angekua na nguvu hyo mataifa mawil makubwa ya silaha na jesh kwann kila cku analalama kuomba msaada wa west?😂😂😂😂
Filipino
1
0
0
89
Isdory Isdory
Isdory Isdory@isdorykibasa·
@VungaEl74 ila kalituma liende umbali wa 4000km moja limefika moja limeishia 2000km zake unazani hana kitu cha 5000km mpaka 10000km
1
0
0
24
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Iran ilifyatua makombora mawili ya balestiki ya masafa ya kati intermediate-range ballistic missiles kuelekea kituo hicho cha kijeshi cha pamoja cha Marekani na Uingereza katika Bahari ya Hindi. Umbali ni takriban 4000 km kutoka Iran, ambayo inazidi umbali rasmi wa makombora yao yanayojulikana (2000 km), hivyo inaibua masuala makubwa kuhusu uwezo wao wa siri au wa hivi karibuni. Hapa ndiyo maelezo muhimu Makombora hayakufikia au kugonga kituo Moja iliharibika au kushindwa katika safari failed in flight, na lingine lilishambuliwa na kombora la kuzuia la Marekani SM-3 interceptor kutoka meli ya kivita ya US Navy. Hakuna ripoti ya madhara au majeruhi katika kituo. Hii ilitokea baada ya Uingereza kuruhusu Marekani kutumia vituo vyake (pamoja na Diego Garcia) kwa mashambulizi dhidi ya Iran, hasa katika eneo la Strait of Hormuz. Iran inaonekana kuitikia kwa kuonyesha uwezo wa kufikia mbali zaidi. Tukio hili linaonyesha kuwa Iran inaweza kuwa na makombora yenye umbali wa zaidi ya 2000-4000 km hadi kufikia Ulaya Kusini kama Roma au Athene, ambayo inabadilisha ramani ya vitisho. Hii ni mara ya kwanza Iran kujaribu shambulio la moja kwa moja dhidi ya kituo hiki cha kimkakati, ambacho kinatumika kwa ndege za mabomu k.m. B-2, B-52, meli,
Vunga tweet mediaVunga tweet media
Indonesia
5
2
19
1.8K