Sabitlenmiş Tweet

Ukikuta rafiki yako wa karibu mapenzi yana mtesa msaidie sio kumcheka Tupa taulo mapema.
Jamaa alikuwa anasoma aridhi Daislamu walipendana sana jamaa aliamua kuwa anakaa na demu wake chumba kabisa
Wakapanga chumba na sebule na maisha yakaendelea mpaka jamaa akahitimu na demu pia akaihitimu chuo
Maisha yakaendelea kumbuka jamaa ndio alikuwa anamhudumia demu kila kitu kipindi wapo chuo kuanzia chakula mavazi kusuka yani ni hiduma zote kama mzazi
Baada ya kuhitimu jamaa alikuwa akipata kazi za hapa na pale mambo yakawa yanaenda vizuri akanunua mpaka usafiri wake wa kurahisisha safari zake za kazini
Sasa demu akawa mtu wa nyumbani tu kumbe jamaa akitoka na demu anatoka maana demu anajua kurudi kwa jamaa mpaka usiku
Kama ilivyo kwa mademu wakipata mtu mwingine nje dharau zikawa nyingi jamaa alikuwa amemzoesha demu kutopika wanaagiza chakula tu safari hii kwa kua hawapo tena chuo akawa anamwambia demu apike
Demu akawa hataki mambo ya kupika mpaka ajisikie yeye bila hiyo hawezi kupika
Indonesia












