Sabitlenmiş Tweet
Vunga
9.6K posts

Vunga
@VungaEl74
🔎The higher you go the cooler it becomes
Katılım Temmuz 2024
1.3K Takip Edilen2.3K Takipçiler

Israel na Marekani wanacho kifanya ni pindi tu Irani anarusha kombora .
Wenyewe wanaelekea pale pale kombora lilipo tokea kwa muda ule ule ndio maana wamefanikia kuharibu mahandaki mengi ya irani pamoja na magari ya kubebea siraha
US-ISRAEL hawatoi pumzi kwa Irani ndio maana uwezo wa kurusha unapungu kabisa siku mpaka siku
Na Irani baada ya kulijua hilo inawalazimu Kubeba kwanza makombora na Kuya Peleka mbali na kwenye mahandaki
Viwanda vya kuchakata na kuhusika na utengenezaji wa siraha vingi vimelipuliwa sana
Ilani anatumia ana magara ya siraha machache sana yaliyo baki kwa sasa.


Indonesia

@VungaEl74 Janja hii ni siku ya ngapi hamjafanikiwa kufany Regime change yeyote?
Indonesia

@VungaEl74 ndege za mashoga zinashushwa huko Kila Leo, we piga story tu hapa
Filipino
Vunga retweetledi

IRANI WAMEISHIWA SIRAHA mpaka wameaza kujaribu siraha ambazo hawakuwahi kuzitumia.
Iran ilifyatua makombora mawili ya balestiki ya masafa ya kati intermediate-range ballistic missiles kuelekea Kituo cha Ndege cha Diego Garcia,
Umbali ni takriban 4000 km kutoka Iran, ambayo inazidi umbali rasmi wa makombora yao yanayojulikana (2000 km),
Mabomu hayo moja liliferi likaanguka na jingine lilihalibiwa na ulinzi wa Marekani wa anga
Hawa jamaa wameishiwa mbinu za kuendelea kupigana vita walicho amua ni kuonesha tu makombora walionayo 😅😅😅


Indonesia
Vunga retweetledi

Huyu anabati ni kiongozi wa serikali angekuwa ni kiongozi wa dola ya Kiislamu wagemaliza🤣🤣🤣
Mmeru wa Arusha 🇨🇦🇮🇱 🐕🐕@mmeruwaArusha
Jamaa ametekwa au ni hofu na uwoga mbona kinyonge sana ase @VungaEl74
Indonesia

@mmeruwaArusha Tena hapo Israel haidili na watu wa serikali ina dili na watu wa dola ya Kiislamu 😅😅😅😅
Indonesia


@VungaEl74 Siyo Siraha ni silaha, siyo liliferi ni lilifeli,siyo lilihalibiwa ni liliharibiwa yani we mtu ambae hujamaliza hata darasa la 7 ndo unawakosoa Iran?
Filipino

@VungaEl74 Zile vita za akina Rambo, Anord, chuck norris ndo mnatuletea angekua na nguvu hyo mataifa mawil makubwa ya silaha na jesh kwann kila cku analalama kuomba msaada wa west?😂😂😂😂
Filipino

@VungaEl74 ila kalituma liende umbali wa 4000km moja limefika moja limeishia 2000km zake unazani hana kitu cha 5000km mpaka 10000km

Iran ilifyatua makombora mawili ya balestiki ya masafa ya kati intermediate-range ballistic missiles kuelekea kituo hicho cha kijeshi cha pamoja cha Marekani na Uingereza katika Bahari ya Hindi.
Umbali ni takriban 4000 km kutoka Iran, ambayo inazidi umbali rasmi wa makombora yao yanayojulikana (2000 km), hivyo inaibua masuala makubwa kuhusu uwezo wao wa siri au wa hivi karibuni.
Hapa ndiyo maelezo muhimu Makombora hayakufikia au kugonga kituo
Moja iliharibika au kushindwa katika safari failed in flight, na lingine lilishambuliwa na kombora la kuzuia la Marekani SM-3 interceptor kutoka meli ya kivita ya US Navy. Hakuna ripoti ya madhara au majeruhi katika kituo.
Hii ilitokea baada ya Uingereza kuruhusu Marekani kutumia vituo vyake (pamoja na Diego Garcia) kwa mashambulizi dhidi ya Iran, hasa katika eneo la Strait of Hormuz.
Iran inaonekana kuitikia kwa kuonyesha uwezo wa kufikia mbali zaidi.
Tukio hili linaonyesha kuwa Iran inaweza kuwa na makombora yenye umbali wa zaidi ya 2000-4000 km hadi kufikia Ulaya Kusini kama Roma au Athene, ambayo inabadilisha ramani ya vitisho.
Hii ni mara ya kwanza Iran kujaribu shambulio la moja kwa moja dhidi ya kituo hiki cha kimkakati, ambacho kinatumika kwa ndege za mabomu k.m. B-2, B-52, meli,


Indonesia












