Tuko shambani
1.3K posts

Tuko shambani retweetledi
Tuko shambani retweetledi
Tuko shambani retweetledi

@Agronommejean @__Trichia__ @AgriHopper @Agronomme_ @AimePatrickIra1 @CedMunezero @EmmyGisa3 @Obed_Ishimwe22 @Agrieconom @EugeneIradukund @JoelOptimist1 Are they available in Tanzania?
English

CHARACTERISTICS OF JACOB SHEEP
✅️Distinctive black and white coat pattern.
✅️Naturally four-horned (polycerate), though some may have two horns.
✅️Rams are born with visible horn buds.
✅️Ewes weigh approximately 100–200 lb.
✅️Hardy, agile, and curious temperament.
✅️Well adapted to extensive and low-input systems.
✅️Classified as a meat breed, producing flavorful lamb.
✅️Known for strong survival instincts and good mothering ability



English
Tuko shambani retweetledi
Tuko shambani retweetledi
Tuko shambani retweetledi
Tuko shambani retweetledi
Tuko shambani retweetledi

Msanii mwingine hatumfatiliagi sana ila anasimamaga upande wa haki muda wote ni VITALI MAEMBE.
Hii Album nadhani inaitwa Maandamano ilitoka mwaka jana na kuna ngoma moja humu imebeba title ya Album. Ukipata muda pitia Youtube yake👉 @vitalimaembe76?si=LxG03cXstl6YOAeo" target="_blank" rel="nofollow noopener">youtube.com/@vitalimaembe7…
Filipino
Tuko shambani retweetledi

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 148
Anaendelea Mhe. Lissu
Hoja yangu ya nne Waheshimiwa Majaji ipo kwenye kanuni ya 6(2) ambapo Mahakama inaweza kutoa amri bila kuathiri haki ya kusikilizwa kwa usawa.
Waheshimiwa majaji naomba hiyo kanuni isomwe pamoja na kanuni ya 5(2)(f) ambayo inasisitiza kutohatarisha maslahi ya haki na kuhakikisha kwamba kuna effective cross examination.
Waheshimiwa Majaji naomba mtafakari hayo maneno ya mahitaji ya fair trial, kutohatarisha maslahi ya haki na kuhakikisha kuna effective cross examination.
Waheshimiwa majaji kwenye kesi ambayo adhabu yake ni kifo, shahidi akatoa Ushahidi ambaye Mahakama haimfahamu, mshtakiwa hamfahamu isipokuwa tu mawakili wa serikali.
Shahidi akitoa Ushahidi bila mahakama kumuona, majaji hawamfahamu, mtuhumiwa atafanyaje effective cross examination? Shahidi asiyejulikana na Mahakama, haonekani kwa mtuhumiwa itatoaje uamuzi ambao hauhatarishi maslahi ya haki?
Waheshimiwa majaji kuruhusu Ushahidi wa namna hii itakuwa ni a mockery of justice and just adjudication of cases by the court, hakutakuwa na haki kabisa.
Waheshimiwa Majaji katika mazingira haya shahidi akiruhusiwa kutoa kinachoitwa Ushahidi wake:
Mahakama itajuaje demeanour of the witness?
Hii haitakuwa fair hearing, hakutakuwa na usawa mbele ya sheria, mtahakikishaje waheshimiwa majaji kuwa kutakuwa na usawa mbele ya sheria kama ambavyo Ibara ya 13(6)(a) ya Katiba ya JMT inasema.
Tunapozungumzia usawa mbele ya Sheria hatuzungumzii kanuni zilizotungwa na Jaji Mkuu tu peke yake, tunazungumzia kanuni za kikatiba pamoja na Ibara ya 107A ambayo inaweka sharti kwamba Mahakama lazima itende haki sawa kwa wote.
Waheshimiwa majaji hili litawezaje kutekelezwa kama mtaruhusu mashahidi msiowajua na msiowaona kutoa Ushahidi? Waheshimiwa majaji nawaomba msije mkakubali kutumika kuharibu utendaji haki katika mahakama zetu, don’t ever allow.
Labda nichomekee jambo hapa kidogo. Ukiachana na Mh. Lissu anaongea Sheria lakini lolote analosema linamuingia kila mtu akilini na moyoni. Ukiwaangalia hata Majaji ni kama wanasema unachokisema tunakuelewa kabisa na ndio ukweli wa Mungu lakini tutafanyaje sasa? Hiyo ndio impression tunayoiona hapa Mahakamani tukiwa tunawatazama majaji na hata mawakili wa Serikali. Ukiwaangalia hata mapolisi waliopo humu nao sura zao zinasema ni kweli hatujui sheria sisi kama mapolisi ila anayosema Lissu yanaeleweka na ni sahihi.😂
Waheshimiwa majaji haya niliyoyasema ya misingi ya haki yamewekwa pia katika mikataba mbalimbali ambayo nchi yetu imeridhia.
Naomba niwape mifano, Ibara ya 2 , 7, 10 and 11 za Tangazo la Haki za Binadamu of UDHR 1948, Ibara ya 14(1) , 14(3) (e ) na 26 ya Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kirai na Kisiasa wa Mwaka 1966 (ICCPR) zote zinazungumzia usawa mbele ya Sheria, ulinzi sawa mbele ya sheria.
Waheshimiwa majaji naomba kuwasomea Ibara ya 14(3)(e) of ICCPR inasisitiza kuhusu in full equality, mkiruhusu shahidi ambaye hamumjui, hamumfahamu, mimi simuoni na wala simfahamu, hiyo in full equality itatoka wapi?
Vilevile Ibara ya 3 na 7 ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu, ibara ya 6(d) na 7(2) ya Mkataba wa Uanzishwaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rules of Procedure International Residual Criminal Procedure Mechanisms hizi zimeweka gold standard na best practices za umoja wa Mataifa hivyo mahakama zetu zinaweza zikazitumia hasa kanuni ya 75A, 75C, 86A na 86B.
Waheshimiwa Majaji hizi kanuni 4 ndio best standards za kulinda mashahidi, hivyo utaratibu huu upo sio kwamba umegunduliwa na mawakili wa serikali na hazina hii darkness tunayotaka kuletewa hapa (Lissu anaonyesha kizimba alipojificha shahidi wa leo),😂😂
Utaratibu huu hauwezi kuleta fair trial, mkiruhusu huu utaratibu unaotaka kuletwa hapa then we must forget about fair trial.
Part 149 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba Repost yako.
Indonesia
Tuko shambani retweetledi

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 149
Waheshimiwa Majaji, naomba niende kwenye hoja ya tano;
Naomba kurejea kesi zifuatazo High hope international group Jiangsu native produce import and export cooporation limited vs JOC Textile (Tanzania Company Limited) Misc. Commercial Application No 48 of 2020, kesi ya Sheer Illusions Ltd vs Christina Ulawe Umiro Civil Appeal 114 of 2014.
Hizi kanuni zimechapishwa Julai 11, 2025 miezi mitatu kabla ya kesi hii. Swali ni je, kanuni hizi zinaweza kutumika katika kesi iliyoanza kabla hazijatungwa? Jibu ni Sheer Illusions kwenye ukurasa wa 11 wa hukumu hiyo kuwa haziwezi kutumika kwenye kesi yangu.
Waheshimiwa Majaji hoja yangu nyingine ni kwamba kifungu cha 194 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa Jinai ambacho ndio msingi wa Kanuni hizi.
Kifungu hiki kililetwa na Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 07 ya 2018. Hii sheria inayoruhusu kuficha mashahidi haijawahi kuchapishwa kwenye gazeti la serikali.
Kifungu cha 14 cha Sheria ya Tafsiri ya Sheria kinasema ili sheria ianze kutumika lazima iwe published kwenye gazeti.
Sheria yenyewe haisemi itaanza kutumika tarehe ngapi hivyo ilipaswa kuanza kutumika siku ilipotangazwa kwenye gazeti la serikali hadi muda huu niliposimama hapa sheria hii haijawahi kutangazwa kwenye gazeti la serikali.
Waheshimiwa majaji sheria ikitangazwa katika gazette la Serikali inachapishwa kwenye website ya Serikali, official website ya ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Rais Idara ya Utumishi, huku vilevile haipo.
Ndugu zangu Watanzania huyu Lissu nawahakikishia sio binadamu wa kawaida. Haya mapingamizi pia naona kuna dalili yanaweza kuifyatua hii kesi vibaya sana. Hawa watu wafute hii kesi tutaona mengi sana wakiendelea kuiacha.
Haya anaendelea Mhe. Lissu tena.
Waheshimiwa Majaji publication in the Government Gazette ni takwa la Sheria kuwa gazette lazima liwasilishwe Bungeni, halikuwa tabled Bungeni.
Sheria ikitangazwa katika Gazette la Serikali utakuta physical copies katika maktaba ya Mahakama kuu Dar es Salaam kwenye jengo hili, napo haipo.
Vilevile kwenye ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali vilevile haipo na huko.
Mahakama Kuu kitengo cha Biashara pia haipo kwenye Hansard za Bunge pia haipo, kwenye duka la Serikali Dodoma na Dar es Salaam pia haipo kwenye Sheria ya Huduma za Maktaba inasema Sheria ikiwa gazetted and published lazima kuwekwa Maktaba Kuu ya Taifa Dar es Salaam hapo Kisutu pia haipo, kuna Sheria nyingine inaitwa Publications (Compulsory Deposit) Act Cap. 294 ambayo inalazimishwa publication must be deposited central library Dar es Salaam.
Kwenye hiyo sheria kuna Publications (Compulsory Deposit) Order GN 61 of 1964 inayosema all publications must be deposited in the central library, haipo waheshimiwa majaji.
Waheshimiwa majaji nimezungumzia tabling bungeni naomba niwaelekeze kwenye kanuni ya 37(2) Kanuni za Kudumu za Bunge GN 56 of 15/01/2016. Kanuni ya 53(2) ya Kanuni za Kudumu za Bunge GN No. 626 of 2020 hivyo kuchapisha sheria kwenye gazette la serikali ni matakwa ya sheria na kusambaza kwenye hizo sehemu nilizozitaja ni takwa la kisheria, haijafanyika sasa katika kanuni hizi.
Uthibitisho wa kuwa sheria imechapishwa ni sheria yenyewe, mimi na Mawakili wangu wanaonisaidia wamelitafuta hilo gazeti nchi nzima halipo. Vijana wamezunguka kila kona ya nchi hii na kwenye hayo maofisi niliyosema hawajawahi kukutana na hiyo sheria. Haipo.
Namsikiliza Mhe. Lissu halafu natafakari huyu mtu huwa anasoma haya mambo yote saa ngapi na anakumbukaje hivi?
Akili kama hii kuwepo jela badala itoe mchango wa kulisaidia hili taifa ni matumizi mabovu ya rasilimali watu wenye akili. Ipo siku tutashinda na kweli itashinda.
Anaendelea Mhe. Lissu
Hoja hapa ninayojaribu kusema ni kwamba kama hiyo sheria haijawa published kwenye gazeti and there is no proof anywhere na kama imetumika, imetumika kimakosa.
Part 150 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba Repost yako.
Filipino
Tuko shambani retweetledi

Inasikitisha sana
Vikosi vya Idd Amin Mama vikawapiga risasi hawa Vijana Kisha wakawatupa miili yao kwenye matope japo kuna wengine wanaonekana wapo hai.
Idd Amin Mama na washirika wake ni zaidi ya mashetani, wameuwa Watanganyika zaidi ya elfu 10 halafu wameiba miili wameenda kuzika na mingine wamechoma ili kupoteza ushaidi.🥹
Halafu anataka maridhiano, tunaweza kuridhiana na mtu muuaji, Katili kiasi hiki?
#TanzaniaIsBleeding #TanzaniaMassacre
Indonesia
Tuko shambani retweetledi


















