@SomezJr@MKihore@kikomasta Kila mwanadamu anaamini. Mimi nimechagua kitabu Cha kuamini na mafundisho yake ambacho ni Biblia, Na wewe chagua kitabu chako ukiamini.
@MAVERIC68078049 Acts 19:27
So that not only this our craft is in danger to be set at nought; but also that the temple of the great goddess Diana (ARTEMI) should be despised, and her magnificence should be destroyed, whom all Asia and the world worshippeth.
@Salamaenrich@kikomasta Acts 19:27-.Si kwamba kazi hii yetu ina hatari ya kudharauliwa tu; bali na hekalu la mungu mke aliye mkuu, Artemi, kuhesabiwa si kitu, na kuondolewa utukufu wake, ambaye Asia yote pia na walimwengu wote humwabudu.
@kikomasta Jana tulikua tunakula bata na mwanangu mmoja katoka machimboni anaela nyingi, akawa anataka malaya anunue akawa anachagua mwenye tattoo, nikamuuliza kwanini akanambia madem wenye tattoo hawana mikosi ndo nikaanza kuelewa kwanini malaya wengi wana matattoo. Tattoo ina zina siri
Wow @elonmusk, I’m getting 210 Mbps on Starlink… on a flight.
Airplane WiFi just became better than most ground networks globally 🤯
I barely get 30 Mbps in my home country of Tanzania with local networks.
@MangiwaKwanza1 Kule mbele Kuna kisiwa kinaitwa Mandakerenge, huko hakuna shule, shule zipo upande wa nchi kavu (Kirando) kwa hio wanafunzi lazima waje kusoma kila siku kupitia ziwani.
Bunge limekuwa yatima
Katika tamaduni za kibunge za Jumuiya ya Madola, mbunge me aliyedumu kwa muda mrefu kuliko wengine hujulikana kama Baba wa Bunge. Mwanamke huitwa Mama wa Bunge. Kwa Bunge hili la sasa, Baba alikuwa William Lukuvi na Mama alikuwa Jenista Mhagama. Wameondoka
Hoteli ya Marehemu Lukuvi Dodoma. Imefungiliwa mwezi huu.
Leo ameiacha inawezekana hakulala humo.
Tunahangaika na dhulma na ufisadi; kuumiza wengine ili kubaki madarakani kwa njia haramu za kumwaga damu na kutesa.
Lakini ukweli utabaki kwamba; tulikuja utupu na utupu tutarudi.
@zoetjesheeftX Kirahisi kabisa eti, "unaweza kupata zingine" iv anajisikia anachosema ? Si angelipa kwanza au angemuahid kumlipa ili jamaa apoe kidogo wasifikie huko
Mary Claire binti Aliye mwagiwa Tindikali na aliye kuwa mchumba wake aliye Msomesha amefunguka kuwa,
"Sikuwahi kumuomba huyo mwanaume anilipie ada ya shule. Ni yeye mwenyewe aliniomba nimpe maelezo ya akaunti ya shule, nikampa bila kujua kuwa angeanza kulipa ada. Nilijaribu hata kumzuia, lakini aliniambia ananipenda sana na yuko tayari kunifanyia chochote.
Katika kipindi chote tulichokuwa kwenye mahusiano, hakuwahi kuniambia kuwa tayari ameoa, na pia sikuwahi kumuona na mke wake. Baada ya kugundua kuwa ameoa, nilimweleza wazi kuwa siwezi kuendelea na mahusiano hayo, ndipo nikaamua kuyavunja.
Baada ya hapo, Elvis alianza kunitishia kwa hasira, na sasa hali imefikia hatua ya kutaka kuniangamiza, Ningependa kutoa wito kwa wanaume, mwanamke akikataa kuwa na wewe, muache na uendelee na maisha yako hata kama amekula pesa zako unaweza kupata zingine"
🗣️ Amesema merry
Toa maoni yako hapa ✍️
@kishoka_ Ngono inakuweka kwenye hatari ya kuibiwa hatima yako. Utaibiwa mali, utajiri, fursa na hata mahusiano mazuri na ndugu, boss, rafiki zako, Mungu wako. Mithali 7:13- Basi akamshika, akambusu,
Akamwambia kwa uso usio na haya,
[14]Kwangu ziko sadaka za amani...
Ngono Ina uhusiano wa Moja Kwa Moja na masuala ya kiroho, Kufanya ngono na watu tofauti tofauti wasio sahihi kunaweza kuvuruga mwelekeo wa maisha yako. Upende au usipende.