Sabitlenmiş Tweet
KARIM MOTORS
376 posts

KARIM MOTORS
@Wolfguang
TUNAUZA TUNANUNUA TUNAKOPESHA TUNAAGIZA PIA TUNABADILISHA MAGARI TUPO DAR ES SALAAM MABIBO MWISHO CALL AND WHATSAPP 0679896129
Tanzania Katılım Ocak 2023
137 Takip Edilen39 Takipçiler

@EsirEid Tajiri ishi na vipotable hayo ma double cabin achia wahuni😂😂
Română

#TajiriLaKihaya
Aaah kmmmk!
Hawa wanawake wanene…. Ni wazuri wakiwa tu wamevaa nguo…
Hela yangu imeenda bure hapa…
Nini hiki💔💔💔💔
Indonesia

@Sisimizi3 @tanpol Polisi waanze na wewe unaletaambo ya kisenge
Indonesia

𝐍𝐈𝐌𝐄𝐏𝐄𝐍𝐘𝐄𝐙𝐄𝐖𝐀 : James Temba alikua WINGA Kariakoo na pale IFM marafiki zake walimuonya aache kutapeli watu, kuna mtu (Apoli) alikua na ugomvi naye alimtapeli hela ya IPhone 17, walitafutana tangu Februari huenda jamaa kalipiza kisasi.
@tanpol Namba ya Apolo ninayo


Indonesia

@SimbaSCTanzania @ClatousCC Tunauza magari✅
Tunanunua magari✅
Tunakopesha magari✅
Piga simu 0679896129☎️
KARIBUNI SANA🙏🙏
Eesti

@ikulumawasliano Tunauza magari✅
Tunanunua magari✅
Tunakopesha magari✅
Piga simu 0679896129☎️
KARIBUNI SANA🙏🙏
Eesti

@YerickoNyerereT We mzee jikaze si uongelee chama chenu kutwa unadiss chadema walikutomba au unazingua unatumika vibaya ndugu muandishi wa vitabu
Indonesia

Masikini chama changu cha zamani, chama kilichokuwa chemchem ya fikra, chama kilichokuwa cha wajenzi huru wa hoja, Chama kilichokuwa na maadili mema, Chama ambacho wanachama na viongozi walichagua maneno ya kuzungumza hadharani, Leo limekuwa genge la vibaka waropokaji na waumini wa ushoga na usagaji?
Fikiria, Huyu anayezunguza utumbo huu ni Mwanasheria Mkuu wa Chadema, yaani Hawa ndio aina ya viongozi waliokishika chadema kwa sasa, Msione matusi mitandaoni mkasema ni vijana wao tu waliokata marinda na kujizima data….
Ninaposema chama kimekufa siku zote ninamaanisha kiko katika hali hii ya uongozi wa kizandiki kama huu, Huyu ni Msomi wa Sheria kutoka chuo kikuu bora Duniani cha Harvard, lakini angalia uharo anaoutoa mdomoni mwake.
Siasa ni kazi, siasa ni taaluma, siasa ni kipaji… Watu wamekurupuka kutoka kwenye fani zingine wakavamia siasa ndio hawa nawaita kila siku kuwa ni wanaharakati uchwara walioteka chama na kisha wakakiondoa Chama kwenye siasa na kukigeuza kikundi cha porojo na matusi, Na kwa hakika Chama kinachounga mkono ushoga na usagaji basi viongozi wake huwa wanalugha kama hizi…..
Hivi bado kuna mtu mwenye akili timamu kabisa bado yuko Chadema akiongozwa na mapopoma kama hawa? Mtu huyo ajichunguze vizuri bila shaka anamatatizo makubwa ya afya ya akili.
Karibuni Chaumma watu wote wema wenye maadili mema wanaoitazama kesho iliyo njema kwa siasa safi zilizovunja ungo na kubalehe.
Na Yericko Nyerere
Indonesia

Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu leo April 09, 2026 Bungeni Jijini Dodoma amemuapisha Angela Kizigha kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Itakumbukwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, April 02, 2026 alimteua Angela Kizigha kuwa Mbunge wa Bunge hilo.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@millardayo RAMADHANI OFFER🔥
TUNAUZA NA KUNUNUA MAGARI
KWA BEI NAFUU SANA🤗
0679896129
KARIBUNI SANA🙏
Indonesia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Siku ya Wanawake Duniani ni siku muhimu ya kutambua mchango mkubwa wa Wanawake katika mandeleo ya familia, jamii na Taifa kwa ujumla akisema kwa hapa nchini, maadhimisho ya mwaka huu yanaongozwa na kaulimbiu "Haki na Usawa kwa Wanawake na Wasichana: Msingi Jumuishi wa Kufikia Dira ya Taifa ya Mandeleo 2050," huku kimataifa yakiadhimishwa chini ya kaulimbiu "Give to
Gain" - Kutoa ndiko Kupata.
Rais Samia kupitia ujumbe wake wa Siku ya Wanawake leo March 08,2026, amesema “Kauli mbiu hizo zinatukumbusha kwamba maendeleo ya kwell ya jami na Taifa letu yanajengwa katika msingı wa haki na sawa na ushirikishwaji, pamoia na moyo wa kujitoa, kushirikiana na kuwainua wengine, kwa asili, Mwanamke ni Mama, ni Mlezi, ni Kiongozi na ni Mfariji wa familia, jamii na Taifa.
“Katika maisha ya kila siku, Wanawake wanaishi kwa vitendo falsafa ya "Kutoa ndiyo Kupata", wanajitoa kwa Familia zao, wanalea kizazi, wanahudumia jamii na wanachangia kwa namna mbalimbali maendeleo ya Taifa letu, hata katika nyakati za changamoto, Mwanamke hakimbii majukumu, badala yake, hubeba changamoto hizo kwa ujasiri na hekima, na kuzigeuza kuwa nguvu ya kuimarisha familia, jamii na Taifa.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@SimbaSCTanzania RAMADHANI OFFER🔥
TUNAUZA NA KUNUNUA MAGARI
KWA BEI NAFUU SANA🤗
0679896129
KARIBUNI SANA🙏
Indonesia

𝐀𝐋𝐈𝐀𝐇𝐈𝐃𝐈, 𝐀𝐌𝐄𝐓𝐄𝐊𝐄𝐋𝐄𝐙𝐀.
Mzabuni wa jezi, kampuni ya JayRutty imekabidhi magari matano mapya kwa wachezaji wetu watano kama utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na Mkurugenzi wake, Joseph Rwegasira. #NguvuMoja




Indonesia

@GilbertPaul095 Ni magari yale sio kachori ukiweza kampe ata baskeli😂
HT

@NikoJMT Overrated
Talented
Underrated
Unrecognized treasure
One of the complex rappers in new generations versatile,storyteller, rhyme, flow,words play etc,,,
English

@millardayo @YasTanzania_ RAMADHANI OFFER🔥
TUNAUZA NA KUNUNUA MAGARI
KWA BEI NAFUU SANA🤗
0679896129
KARIBUNI SANA🙏
Indonesia

Kampuni ya Teknolojia ya Ookla yenye Makao Makuu yake Seattle, Washington Marekani ambayo inajulikana Duniani kwa kupima kasi ya Intaneti, imeutangaza Mtandao wa Yas Tanzania ( @YasTanzania_ ) kuwa Mshindi wa Tuzo ya Mtandao wenye kasi zaidi ya Intaneti Nchini Tanzania ikiwa ni mara ya tatu mfululizo kwa Yas kuishinda Tuzo hiyo.
Katika taarifa yake baada ya kushinda Tuzo hii iliyotolewa Barcelona Nchini Hispania kwenye Mkutano wa Mobile World Congress 2026, Yas imesema ushindi wa Tuzo hii ni uthibitisho wa dhamira yake ya kuhakikisha inawekeza kikamilifu ili kila Mtanzania aweze kunufaika na fursa za kidigitali popote alipo "endelea kufurahia na kukamilisha ndoto zako na Mtandao unaotambulika na uliothibitishwa na Ookla"
Ushindi huu wa tatu mfululizo wa Yas unakuja ambapo Mtandao huu ukisherehekea mwaka mmoja tangu kuanza kuitwa Yas lakini pia miezi kadhaa tangu Yas ilipotangaza kufanya uwekezaji wa zaidi ya Tsh. Trilioni moja katika kuimarisha na kupanua teknolojia ya mtandao wake kote Nchini Tanzania kwa kiwango cha 4G na 5G. #MillardAyoUPDATES

Indonesia

@millardayo TUNAUZA,TUNANUNUA
TUNAKOPESHA NA KUAGIZA MAGARI
KWA BEI NAFUU SANA
0679896129
KARIBUNI SANA🙏
Filipino

Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba SC imesema imesikitishwa na vitendo vya baadhi ya Mashabiki kumvamia Mwenyekiti wa Klabu na Makamu Mwenyekiti bodi ya Wakurugenzi Murtaza Mangungu hii leo mara baada ya mchezo wao dhidi ya Es Tunis uliofanyika hii leo katika Uwanja wa Benjamini Mkapa Jijini Dar es salaaam.
Kupitia Taarifa rasmi iliyotolewa na klabu hiyo hii leo Februari 01, 2026 imesema "Bodi ya Wakurugenzi ya Simba imesikitishwa na vitendo vya baadhi ya watu kumvamia na kumfanyia fujo Mwenyekiti wa Klabu na Makamu Mwenyekiti wa Bodi, Murtaza Mangungu baada ya mchezo wetu dhidi ya ES Tunis kumalizika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa."
"Vitendo hivyo sivyo vya kiungwana, havikubaliki na havitafumbiwa macho, Uongozi wa Klabu unatoa pole kwa Mwenyekiti Mangungu kwa kadhia hiyo, Uongozi wa Klabu umeliandikia Jeshi la Polisi kuchukua hatua za kisheria kwa wote waliohusika katika vurugu hizo au kula njama ili kuwafikisha katika Vyombo vya Sheria, Bodi inasisitiza kuwa haitabariki wala kuvumilia mtu yoyote atakayeharibu taswira ya Klabu kwa namna yoyote."
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@Sisimizi3 Next jifunze kudanganya ukitaka kudanganya watu tafuta uongo unaokaribia kwenye ukweli acha usenge mzee ata kama unapush reli tumia akili
Filipino


























