Zizzou 27🏁
18.1K posts

Zizzou 27🏁
@ZizzouSule
Eng | Football | Enterpreneuer | Hip-Hop 🎵

Sema kitu chochote ambacho una uhakika 100% kitatokea kwenye mchezo wa Leo, REAL MADRID Vs BAYERN MUNICH .......

Msodoki wanamsema yeye hajali anatoa tu ngoma afu hafanyi interview😆

Ile kuishi nao kwa akili, Nikki hakuzingatia kabisa

@MuganyiziBigan1 Amejuaje kama Kendric kamkalisha drake 😂

HipHopFamily naziona comments chini ya uvungu Zina sema mkongwa kapuyanga! Sijajuwa kapuyanga kivipi🤔 Kwaupande wangu nielimu sana kwa vijana na wazee, Ujana una mambo yake nauzee una mambo yake nimuhimu kutofautisha Mashabiki na hisi walitaka line za diss TunaPostHipHopTu


Unju aliwahi kuhoji unasema huchezi ngoma ya Nikki kwa sababu hajaja kuitambulisha redioni. Kina 50 cent wanakuleteaga?











