Tajiri wa Kitaa
6.2K posts


@francismtey Je ni kweli NASA wamefunga comments section kwenye page yao? Unaonekana msenge janja
Filipino

Kimeumana na Taasisi
yenu Ya Kitapeli - NASA
Infact walioenda wote juzi
Mwezini ni Waigizaji 🤣
David Nino Rodriguez@ninoboxer
NASA has turned off comments on social media after backlash regarding the Artemis II launch. This is crazy!
Indonesia

@francismtey Tumehamua kukupuuza, jiongeleshe mwenyewe sasa
Indonesia

@Vitabu247 Umeshakula makande umeshiba sasa unatunishiana misuli na NASA Ili Hali hata mlima Kilimanjaro uliwahi kuuona enzi hizo kwenye Atlas. Bure kabisa
Filipino

@ze_mandevu Mwamba anawachukua "Vimo" kutoka usawa wa bahari😁😁
Filipino

#TajiriLaKihaya
Sema JOHN HECHE, anajua kujiControl saana…
Kuna muda MANARA alikua anauliza maswali ya Kitoto hadi unajisikia Umpigr Kofi😅😅🙌🏽🙌🏽
Ila heche anaCool tu… anajibu kistaarabu!

Indonesia

@ridhiwankikwete Nauliza tu, hivi barabara ya Msoga-Msolwa tayari imeshakamilika?
Indonesia

Nikiwa kwenye mazungumzo mafupi na Wajumbe wenzangu wa Kikao cha Kamati ya Wajumbe wa Chama Bungeni. #KaziNaUtu #TunasongaMbele


Indonesia

Ukiacha nguvu, fursa, heshima na wingi wa marafiki unaokuwa nao ukiwa na cheo, waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangalla, amesema mambo huwa kinyume chake mamlaka yanapokutoka, akisimulia hata uliowaona wa karibu wamepotea.
Katika simulizi yake aliyoihusianisha na maisha yake ya sasa akiwa si waziri wala mbunge, amesema hata huduma ambazo awali alizipata kwa rahisi na haraka, kwa sasa zinahusisha milolongo na nyingine wahusika hawapokei simu wala kujibu baruapepe.
#mwananchiupdates
#tunawezeshataifa
Indonesia

@EdgarGervace @francismtey Nieleweshe plz, pia unipe na kifungu kwenye hiyo biblia yako kinachokueleza kuwa hakuna binadamu aliyewahi kufika mwezini
Indonesia

@_Tajiri__ @francismtey Mimi naamini biblia...umeelewa hapo au nikueleweshe..?
Indonesia

@Eng_jubrin @godbless_lema @MariaSTsehai @_zack255 @HildaNewton21 @420Cousin @HecheJohn Eng. Gani msenge hivi? QLMY
Indonesia

📍MARIDHIANO YAANZA KUZAA MATUNDA KATI YA SERIKALI NA CHADEMA
(Chadema yaruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa nchi nzima)
SURA YANGU NAIWEKA WAPI MIMI, MARIA SARUNGI? Tanzania ipo shwari na salama 🇹🇿🇹🇿
@godbless_lema @MariaSTsehai @_zack255 @HildaNewton21 @420Cousin @HecheJohn

Indonesia

@godbless_lema Kuga kenge kama @LembrusMchome na genge lao la wezi wa mali za chama walimlaumu saba Jebra kujitoa wakaanza kusema anatumiwa na wanaharakati kuharibu chama. Leo ndo wanajua kuwa wao ndo hawakuwa na akili
Indonesia

Asante Wakili Jebra. Uamuzi wako wa siku ile wa kujiondoa kuendelea kusikiliza kesi, baada ya Jaji Mwanga kupuuza sababu zako za kuomba hairisho la muda mfupi ili kuhudhuria mazishi, haukuwa wa kawaida. Ilikuwa ni mpango wa Mungu. Kwani usingechukua hatua hiyo, ungehalalisha zuio batili na leo lingeonekana halali.
God bless you Bro!!

Indonesia

@ChademaTZ2 @VitusNkuna Kuna huyu @YerickoNyerereT amegoma kabisa ku move on anahitaji msaada wa kisaikolojia asije akajinyonga bure
Indonesia

This is the Tanzanian Finest meal, ila ukiula week mfululizo inabidi utafute nguo mpya 🤣
Eng Msaki@Aloycemsaki
Hakikisha Mchana Unakula.
Filipino

@SuphianJuma @SuluhuSamia @MsigwaGerson Hawa ni baadhi ya vijana wanaoifitini serikali na wananchi, msiendekeze uchawa wa namna hii, huyu ni Moja ya vijana wanaofanya wananchi waichukie serikali
Indonesia

Sasa CHADEMA muache “mawenge” muwe na Shukrani kwa Rais wetu Dkt @SuluhuSamia kwa wema wake lukuki kwenu na muwe watiifu kwa dola inayoongoza nchi, otherwise mkiendekeza “kilomolomo” mtarudi kifungoni si punde hadi 2030.

Indonesia



















