Wakale🗿

284 posts

Wakale🗿 banner
Wakale🗿

Wakale🗿

@_am_mary

📜 Dark history 🪬| True crime⚔️

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Kasım 2022
34 Takip Edilen99 Takipçiler
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Oyaaa nimecheka sana na ku-enjoy. Sikiliza huyu Mtangazaji wa Crown Media Alivyo Ji chukua video, Wakati anapanda ndege yake ya kwanza 😂😂😂😂 Nimependa, the way ana-explain her VLog Msikilizee... Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Filipino
14
13
390
84.3K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Jesse kasema yeye mwanae akifikisha umri wa Kusoma hatampeleka shule, Anasema mifumo ya Elimu ni mibaya.. Msikilize... Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Indonesia
73
60
1.6K
191K
BABA GHETO
BABA GHETO@PIMP_NGASSA·
@Rydx_017 @athanas_pius @babalao__ @DullahTheking2 @MissChelsea1221 @Balyx_ Leo umepost kitu cha maana Sana Mwamba kaongea point mi mwenyewe wanangu lazima wawe home schooled shule ni system ya kuzalisha modern day slaves ndomana wazungu wako busy kujifanya wawekezaji Kenya,Tz,ug meanwhile wasomi wetu wanaambulia ajira ambazo zinawafanya kua watumwa..
Indonesia
1
2
50
4.3K
Wakale🗿 retweetledi
Wakale🗿
Wakale🗿@_am_mary·
Unit 731_UTAFITI WA KIKATILI ULIOWAHI KUFANYIKA KWA BINADAMU (JAPAN) Unit 731..Miongoni mwa vitengo vya kikatili kuwahi kuundwa duniani in the name of development ! Ni kwanini nasema hivi? Stick to the END. Uzi....
Wakale🗿 tweet media
Indonesia
2
8
22
16.5K
Wakale🗿 retweetledi
Wakale🗿
Wakale🗿@_am_mary·
SIKU KAMA YA LEO MWAKA 1963 DUNIA ILISHUHUDIA TUKIO LA KUSHTUA ! TUKIO AMBALO HALIJASAHAULIKA HADI LEO! UZI... Miaka 61 iliyopita, gereza lenye ulinzi mkali zaidi Marekani,lijulikanalo kama Alcatraz, lilifungwa rasmi!
Wakale🗿 tweet media
Indonesia
1
1
1
318
Wakale🗿 retweetledi
DINGI
DINGI@Dingi_1234·
WAFAHAMU WATUMWA WAASI WALIOWAUA WAZUNGU ZAIDI YA 20. NINI KILIWAKUTA BAADA YA UASI? .... 𝚃𝙷𝙴 𝚂𝚃𝙾𝙽𝙾 𝚁𝙴𝙱𝙴𝙻𝙻𝙸𝙾𝙽 UZI👇🏼 Ilikuwa Septemba 9, 1739, huko South Carolina, Marekani, wakati wa ukoloni wa Kiingereza. Watu weusi wengi walikuwa watumwa, wakiishi maisha ya mateso chini ya wamiliki wa shamba wa kizungu. Walifanya kazi katika mashamba ya mpunga na pamba bila malipo, wakiadhibiwa kwa viboko na minyororo. Lakini katika eneo la Stono, karibu na mto Stono, kundi la watumwa weusi wengi waliotoka Angola na Kongo lilianza kupanga uasi wa ajabu. Kabla ya kushuka nayo nomba repost na like
DINGI tweet media
Indonesia
32
78
455
103K
Wakale🗿 retweetledi
Wizdõm★
Wizdõm★@Wizdomtz·
MWANASAYANSI ALIYEFANYA MOJA YA UTAFITI MGUMU ZAIDI Michel Siffre Mwaka 1972, mwanasayansi wa Kifaransa Michel Siffre alijifungia ndani ya pango lenye giza totoro umbali wa futi 440 chini ya ardhi kwa siku 180.
Wizdõm★ tweet media
Indonesia
44
138
1.4K
347.9K
Wakale🗿
Wakale🗿@_am_mary·
@Lively_ish @Rydx_017 isijekuwa kama autumn in my heart...nililia series nzima, for what???..najiuliza mpaka leo.
Indonesia
1
0
1
11
🍀
🍀@Lively_ish·
@Rydx_017 Ni kweli kabisa🤝
Filipino
1
0
0
10