Sabitlenmiş Tweet
SIMA
8.1K posts

SIMA
@abelsima45
Lawyer in making. LEGUM BACCALAUREUS 4. music is my therapy. I weep for the souls we lost in #MO29
(UK)Ukinga ndo Kwetu Katılım Mayıs 2024
1.6K Takip Edilen1.3K Takipçiler
SIMA retweetledi
SIMA retweetledi
SIMA retweetledi
SIMA retweetledi
SIMA retweetledi

@AbdulAlly253493 Not necessarily a diploma or a degree but atleast form four somehow ita saound good lakini when it comes kwa waziri basi awe mtaalamu kweli hiyo wizara husika sio waziri wa afya hajui ata diagnosis ya mafua
Indonesia

@abelsima45 Zamani: ilikuwa necessary sana
Sasa: bado ina maana, lakini inaweza kuwa too basic
So badala ya kuitupa 🚮, swali la maana ni: ipelekewe level gani ili iendane na dunia ya leo?
Wewe unaona iwe mpaka degree au hata diploma tu inatosha kwa mbunge? 🤔
Indonesia
SIMA retweetledi
SIMA retweetledi
SIMA retweetledi
SIMA retweetledi

@abelsima45 Hiyo ni kweli mkuu game linachezwa na wachache wanaofaidika kipaji tyu hakitoshi kama hutokua upande wao.
Filipino
SIMA retweetledi
SIMA retweetledi

@Mr_Mawazo Ni kama wasanii wabongo wanaenda mbele then wanarudi nyuma, yaani leo anatoboa kesho unaona kama amekuwa underground tena anayejitafta kurudi tena sokoni.
Indonesia
SIMA retweetledi
SIMA retweetledi

#TajiriLaKihaya
Watu wanaojidai kushangazwa/kukasirishwa na LISSU kuzungumza Au kuweka maridhiano na Serikali Regardless to whether akiwa Gerezani Au Huru ni WANAFIKI na WABINAFSI MNO!
Dunia KWA Sasa imebadilika saana ni KATILI MNo … International Laws zipo kwenye karatasi tu ila Hazifatwi…
Kanuni ni ile ile ONLY THE STRONG WILL SURVIVE!
Iran,MOJTABA khamenei -Marekani /Israel-Wameua BABAKE MZAZI,MKE wake na Familia yake…wamelipua Raia wakiwemo wanafunzi 168… wamelipua miundo mbinu nk…
Ila BADO wanaenda PAKISTAN kuzungumza, Kuona jinsi gani watayamaliza maisha yaendelee…
Alafu wewe unajidai Hutaki Lissu azungumze-
Ningewaelewa Kama na nyie mliopo URAIANI,mngegoma kuzungumza na serikali Au kuifanyia kazi…
Ila wewe ni mfanyabiashara- BADO unaendelea na shughuli zako na unalipa Kodi serikali bila shida… mlioajiriwa serikalini mnaenda kazini… kila kitu kipo Normal Alafu unaendelea kufurahia mwingine yupo Gerezani!
Yaani mtu mmoja akupiganie wewe…
Kama kweli mngekuwa na hio NIA…
Watu wote mngegoma hamfanyi chochote hadi LISSU Aachiwe Huru…
Walimu msiende shuleni, Madaktari msiende Hospitalini… mlioajiriwa msiende kazini…
Wafanyabiashara Msiagize mizigo… mathalan, waagiza mafuta wagome kuagiza hadi lissu aachiwe huru nk.
UCHUMI usimame…
Wiki moja tu- LISSU angekuwa URAIANI…
Ila nyie mnaendelea na your normal duties- mmeshaHALALISHA serikali mnayoiita ni HARAM…
Alafu LISSU awapiganie😅 mnashangaza! Kama kweli unampenda LISSU hauwezi furahia akiendelea kukaaa KOROKORONI… sio Sawa kwanza Kwa waliomweka in the first place Ila DUNIA HAIJALI…
Hakuna HAKI kwenye DUNIA KATILI…
Kimsingi tayari- RAIA tumesha MSALITI TUNDU… maamuzi yoyote ambayo LISSU atayachukua… ni HALALI na HATUMDAI Kwa chochote Kile…
Indonesia
SIMA retweetledi















