Sabitlenmiş Tweet
afanderichadi
7.9K posts


@FeliusFesto @AdvMahinyila @Advocate_Jebra @bavicha_taifa @BrendaRupia @ChademaTZ2 @HildaNewton21 Kuma wewe
Indonesia

Kwamba Mwigulu anaumizwa sana Watanzania kufurahia vifo vya Viongozi haram ila hakuumizwa kabisa na mauaji ya Oktoba 29 ambapo Watanganyika zaidi ya elfu kumi waliuwawa kwa risasi..?
Halafu nakumbuka baada ya Idd Amin Mama kuuwa Watanganyika zaidi ya elfu kumi kwa risasi, Mwigulu kwenye mkutano wake na Waandishi Wahariri aliulizwa swali nan ambae alitoa order ya shoot kill na sababu ilikuwa nini?
Mwigulu akajibu kwamba, baada ya watu kuandamana mlitaka vyombo vya ulinzi na usalama wafanye nini..?
Kwa lugha nyepsi alisema Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi walistahili kuuwawa.
Ni hivi hii sio kwa Lukuvi tu hata akifa yeye tutasherekea, tutaruka na kuimba nyimbo za kumshukuru Mungu maana yeye na wenzake ni wauaji, wameua Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi, wakaiba maelfu ya miili ya ndugu zetu na kwenda kuizika kama mizoga kwenye makaburi ya Halaiki.
Kuna maelfu ya ndugu zetu wamepata ulemavu wa kudumu, kuna maelfu ya ndugu zetu mpaka leo bado wanatibiwa na kuuguza majeraha ya risasi.
Kiukweli hatutasahu ukatili waliotutende Oktoba 29.🥹
NB. Natambua kwamba binadamu wote njia yetu ni moja ndo maana binafsi siwezi kumwaga damu ya mtu, hata nikiwa na madaraka siwezi kuteka wala kupoteza binadamu yeyote maana natambua kwamba mwenye jukumu la kutoa/kuchukua uhai ni Mungu pekee.
Indonesia
afanderichadi retweetledi

VIDEO:
Makamu wa Rais mstaafu, Dkt. Philip Isdor Mpango, amewaeleza familia ya marehemu na wafiwa kwamba wasife moyo licha ya taarifa nyingi zinazozunguka mitandaoni.
Ametoa kauli hiyo katika viwanja vya bunge jijini Dodoma wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, uratibu na wenye ulemavu), na Mbunge wa Isimani William Lukuvi.
“Najua yanasemwa mengi, na bahati mbaya siku hizi mitandao hatuitumii vizuri, kwahiyo naomba msife moyo, Yesu Kristo hatawaacha kamwe.”
Indonesia

@afanderichadi @EduTalkTz sawa ila mafumbo ni mengi sana tusitoane akili mkuu kikubwa imani zetu tuziheshimu because tumezikuta
Eesti


@AmaniIssa179340 @EduTalkTz Aliulizwa na tomaso yupo wapi baba ako akajibu ukiniona mimi umemuona baba mm na baba tu umoja baba yu ndani yangu na mm ndani yake kiufup baba ni mimi
Filipino

@afanderichadi @EduTalkTz yesu huyo na vipi kuhusu baba yake ambaye alikuwa akimzungumzia zaidi yuko wapi?
Filipino

@EduTalkTz Mungu akasema hakuna wa kuilima aridhi ndipo akamuchukua Adam kutoka kwa roho akamuweka kwa mwili uu wenye tunao na sisi
Indonesia

@EduTalkTz Mungu hayupo kama sisi ni hivi mtu wa kwanza ndiye aLikuwa kama Mungu,maana mtu uyo alikuwa Roho na Mungu ni roho,ndipo Mungu akaumba mtu wa mavumbi ya aridhi simaanish aliumba wawili tofauti bali yule Roho ndiy aliweka kwenye mavumbi yaan Adam wa kale alikuwa roho
Indonesia

#TANZANIA: : CCM HAIBEBWI, INAFANIKIWA KWA UKUBWA WAKE NA IMANI YA WANANCHI - WASIRA
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) Bara, Stephen Wasira amesema Chama kinapata maendeleo kutokana na ukubwa wake, kusimamia, ahadi na imani kubwa ya wananchi kwa Chama hicho.
Wasira ameyasema hayo leo Machi 26, 2026 alipozungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la ofisi za chama hicho mkoani wa Geita ambalo ujenzi wake unatarajiwa kutumia sh bilioni 1.5
“Tulipokuwa tunakuja mtu mmoja akanipa simu yake nimsikilize mkubwa mmoja wala sitaki kumtaja jina, anadai CCM ni Chama kinabebwa na serikali, sasa ningemwalika hapa aone tumejenga hapa atwambie kasma namba ngapi imeleta pesa Geta.
“Unajua ukikosa la kusema na mdomo unao unaweza kusema chochote kwani usiposema chochote mdomo utakosa kazi utakuwa unakula tu bila kusema na mdomo una kazi ya kula na kusema" - Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira.

Filipino














