Felius Festo
3.3K posts

Felius Festo
@FeliusFesto
Perfect melancholy. Analytical thinker, political analyst. former CHASO regional coordinator, BAVICHA chairperson in kagera region, Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa
MOSHI Katılım Ocak 2022
480 Takip Edilen2.3K Takipçiler

Ujinga ni pale baadhi ya watu wanapodhani maridhiano ni ya Serikali ambayo ni CCM na Chadema.
Maridhiano ni ya taifa na lazima jamii iliyoathiriwa ishirikishwe kikamilifu.
Kubwa kuliko yote haiwezekani yakaendeshwa na watuhumiwa; ni lazima wawajibike ili kulileta taifa pamoja.
Felius Festo@FeliusFesto
Familia zinazotafuta wapendwa wao hadi leo mmemaliza kuridhiana nao? Mama anayetafuta mtoto wake je? Baba anayetafuta mwili wa mke wake je? Watoto wanaowalilia wazazi wao je? Watu waliopoteza viungo vyao mmemaliza kuridhiana nao? Ridhianeni na hayo makundi kwanza wauaji wakubwa.
Indonesia

@JeremiahMwasanu @davitheempire @AdvMahinyila @bavicha_taifa @BrendaRupia @ChademaTZ2 @ExMayorUbungo @HecheJohn @HildaNewton21 Ndiyo tatizo lao kubwa
Filipino

@FeliusFesto @davitheempire @AdvMahinyila @bavicha_taifa @BrendaRupia @ChademaTZ2 @ExMayorUbungo @HecheJohn @HildaNewton21 Kwani maridhiano yanafanyika na CHADEMA?
Waliofariki wote ni CHADEMA?
Wayu hawataki kuishi kwenye ukweli.
Indonesia

@joharimshana @420Cousin @_zack255 @Sirajitz1 @YerickoNyerereT “Wow… what a beautiful creation. Much love ❤️”
Suuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
English

Ibrahim Myovella alifika kituo cha Polisi kuripoti na wenzake wawili kama sehemu ya mashariti ya dhamana zao, wakamuacha nje bajaji aliyewapeleka kwa ahadi ya kuwasubiria, waliingia kituoni na bajaji alisubiri kwa muda mrefu bila kuwaona wakirejea, @tanpol mumewaficha wapi?

Indonesia

Upande wa mashitaka waliamua kukatia rufaa uamuzi mdogo ambao kisheria wanatambua siyo sahihi, walifanya hivyo kama mbinu ya kupoteza muda na kuendelea kumtesa Mwenyekiti wetu @TunduALissu gerezani. Masikitiko ni kwamba mahakama imekubali kuingia kwenye mtego huo.
#FreeLissu

Indonesia

@donminja47 @CoolestDudeOnX @TitoMagoti @Pcombo2407 Kuna mashoga wangapi ambao wanajitangaza wazi na wengine ni marafiki wa viongozi wenu ni hatua zipi Serikali yenu imewahi kuchukua kukomesha hilo?
Indonesia

@FeliusFesto @CoolestDudeOnX @TitoMagoti @Pcombo2407 Vp Mnyaturu Mropokaji Hodari alivyotetewa pamoja na machoko na Bunge la Uropa ulifikiri ni wa akina nani?
Kama hawajakuweka kwenye huo mfumo mchafu sepa
Vijana wote walio kwa Mwanasarungi Nairobi tayari ksbisa wanalipwa dola 700 kwa mwezi
Indonesia

@donminja47 @CoolestDudeOnX @TitoMagoti @Pcombo2407 Hizo ni rangi za Ushoga kaka? Weka taarifa sahihi ya Lema acha upotoshaji wako

Indonesia

@FeliusFesto @CoolestDudeOnX @TitoMagoti @Pcombo2407 Naomba uweke Taarifa sahihi ili tujadili kwa maslahi mapana ya 🇹🇿 yetu sote
Please Rafiki yangu
Indonesia

@siimasoud @iboysean Mbona mambo nusu nusu?
Huna kiwiriwiri Dada?
Indonesia

@donminja47 @CoolestDudeOnX @TitoMagoti @Pcombo2407 Weka hapa kipeperushi cha mahubiri ya Tabora na hayo mahubiri yenyewe Kisha tuendelee kujadiliana
Indonesia

@FeliusFesto @CoolestDudeOnX @TitoMagoti Huyo ni Chokoliko Mbobefu
@Pcombo2407 hawa Vibaraka hawajui wakili wao ni choko
Filipino

@FeliusFesto @CoolestDudeOnX @TitoMagoti Kwani usipige kelele na kupaza sauti ili Tito aache Uchoko?
Filipino

@donminja47 @CoolestDudeOnX @TitoMagoti Haikuwa sahihi na ndiyo maana tunaipinga miaka yote hakuna siku tumeacha kupigia kelele hilo jambo
Filipino

@FeliusFesto @CoolestDudeOnX @TitoMagoti Vp wazungu waliopewa migodi yote ya madini ya thamani
Hapo ilikuwa sahihi tofauti na waarabu ?
Filipino

@joeselasini @judiciarytz Chombo cha kutenda haki kinakosa uwezo wa kulinda haki zake
Polski

@judiciarytz Zimepita wiki mbili kesi ya Mhe Lissu ilipokatiwa rufaa na serikali Court of Appeal TZ.
Msajili wa mahakama hajaipangia tarehe. Hili ni jambo linalohusu haki na maisha ya raia lenye public interest
Mahakama inawezaje kuishawishi jamii kuwa ni chombo cha kutenda haki?

Indonesia










