Francis joshua
3.6K posts

Francis joshua
@atalikwach
Liverpool fans🇹🇿|| imagine being us|| simba sc|| pira biriani|| domestic & industrial electrical installation⚡️⚡️||














Papa Leo XIV ameingia ndani ya Msikiti Mkuu wa Algeria ambao pia ndiyo msikiti mkubwa zaidi barani Africa. Hii ni ziara ya kwanza ya Kiongozi wa Kanisa katoliki duniani nchini humo. Papa ameambatana na Rais wa Algeria pamoja na viongozi wakuu wa dini ya Kiislamu nchini Algeria.

#Jikumbushe Hivi wakati Wema Sepetu akiwa wa moto kama jua la kiama mara kaenda Global kuanzisha timbwili kwa #Imelda kisa kamuandika vibaya na sa hivi ndo shoga wa #Kajala yaani alipo yuko mpka akaenda kuomba na perfume nyumbani kwake….si mnakumbuka lakini 😂😂😂 siku hizi sijui kawaje wanamtoboa mpka vidole mdomoni anaenda kumkumbatia manunu analia analala zake…. Hapa #Whozu alikuwa darasa la ngapi sijui 😂😂😂 me nilikuwa la tatu Angalia alivyokipiga hapo na Mlinzi na huna cha kumfanya 😂😂😂

🚨⚔️ Dominik Szoboszlai: “I am ready to die on the pitch tomorrow. I can speak for all the players”. “We want it so bad and we will work for it. Anything can happen at Anfield.”




















