Eng.Shaban.
6K posts

Eng.Shaban.
@badru_abdallah
Full time Husband||Muslim||Islamic teacher||ELECTRICAL TECHNICIAN||متعلق با لله
Mwanza, Tanzania Katılım Eylül 2019
4.9K Takip Edilen2.4K Takipçiler

kama Allah amekupeni mitihani, ipokeeni kama ibada na endeleeni kuamini maneno yake. Amesema: “Fa inna ma‘al ‘usri yusra, inna ma‘al ‘usri yusra”
-hakika pamoja na dhiki kuna faraja.
Allah anasema katika Suratul Baqarah, aya ya 286:
“Laa yukallifullahu nafsan illa wus‘ahaa.”
Allah hamkalifishi mtu ila kwa kadiri ya uwezo wake.
Basi kila unachopitia kina uzito unaolingana na nguvu uliyopewa. Endelea kuwa na subra na tawakkul, kwa sababu baada ya kila dhiki, faraja iko karibu sana.
Until then, nitasimama imara juu ya yale anayosema Allah katika Kitabu chake.

Indonesia

Licha ya kwamba Mto Nile asili yake ni Tanzania ziwa Victoria lakini wamiliki wa Mto huo ni Misri.
Mto Nile ni zaidi ya mto tu kwa Misri ni roho na uhai wa taifa hilo la kaskazini mwa Afrika.
Wao wana amini bila kufanya kafara zao basi mto huo usinge kuwepo hadi leo.
Kwa zaidi ya miaka milioni 30 mtu Nile upo tofauti na mito mingi ambayo hutokea na kupotea.
Historia, utamaduni, na hata maisha ya kisasa ya Wamisri yamefungamana kwa dhati na mto huu mrefu na wenye maajabu.
Karibu kwenye simulizi ya kusisimua ya Mto Nile.

Indonesia

@Rasheed_Atm @Rahim_Meghji mwanzo wa mjadala ni wap wakuu nmefatlia sjaona
Indonesia

@Rahim_Meghji Naam ndio Elimu sahihi ama hiyo ya kuita Mashia waumini hiyo hata masufi wenzio kina mziwanda watakukataa!!!
Filipino

@Rahim_Meghji soma Elimu hiyo toka kwa wenye Elimu.
RASHIDI ADINANI@Rasheed_Atm
✨💫✨MSIMAMO WA #MASALAFI JUU YA VITA KATI YA ISRAEL NA IRANI.. Amesema Imamu Al-āwzaīy rahimahullāh : “إذا التقى الفاجر بالفاجر، فاقتتلا، فأهلك الله أحدهما، فالحمد لله، وإذا أهلكهما جميعًا، فالحمد لله كثيرًا.” ((Pindi Muovu na Muovu wanapo kutana wakapigana kisha mmoja wao
Indonesia
Eng.Shaban. retweetledi
Eng.Shaban. retweetledi

Only For Tsh. 750k💰
⚙️ 256Gb+12Gb
☎️ 0657116867
wa.me/255657116867
📍K/koo Masasi/Msimbazi St
🚛💨 Mikoani Tunatuma
@Sativa255 @McinikaWaLamar @MiriamMkanaka @chapo255 @RaphaelMheta
Eesti

@Brother_0101 hii inaitwa chinese .........nmeisahau ila jo hatar aiseh naomba jina kamil
Filipino

@RahmaMwita @ACTwazalendo @MchinjitaIR Haya Ni Mambo Yakifamilia Yamalizeni Kifamilia Hata Masaa Hayafiki Atakua Huru
Indonesia

TAARIFA📌
Makamu Mwenyekiti Bara @ACTwazalendo ndugu @MchinjitaIR amekamatwa na jeshi la polisi maeneo ya Kimara.
Bado haifahamiki kapelekwa kituo gani na kakamatwa kwa kosa gani.
Jeshi la Polisi liseme amepelekwa kituo gani.

Filipino

@clickHabari unapamban vip wakat Muamuz ni wa mtesi wako
muhesabu ni wa mtesi wako
Mtangazaji ni wa mtesi wako
ANAYEFUATA MAELEKEZO
Indonesia

@mrmushico @MarekaMalili @BuildMaterials_ @amusmartz @AnkaliDrew @bajabiri @Dream_online_Tz @franklin_tissa @MissChelsea1221 @ManenoIzaak @yose_hoza @winharder_ kila bat ni 13000?
Filipino

🌚 Charcoal grey 🌚
Gauge 30 Tsh 13,000/= mita moja
Gauge 28 Tsh 15,000/= mita moja
Wateja na hii rangi, bora akose kula lakini usimwambie hii rangi hadi kesho itakuwa hakuna yani atalipa chap.
🚚Nunua bati usafiri ni bure popote ulipo Tanzania.
@BuildMaterials_ #mabati

Indonesia
















