MAGABASHU KAIJAGE

3.9K posts

MAGABASHU KAIJAGE banner
MAGABASHU KAIJAGE

MAGABASHU KAIJAGE

@bagabashu

TZ

Katılım Kasım 2022
112 Takip Edilen61 Takipçiler
Adui Wa Yanga
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu amewezesha kujengwa kwa Jengo la TAMISEMI linalojengwa kwenye Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma jengo hilo litakua na Gorofa 6 na lina uwezo wa kuchukua watumishi 600. Mpaka sasa ujenzi wa Jengo hili umefikia asilimia 76. #MamaAnafanikisha #TanzaniaYaSamia
Adui Wa Yanga tweet mediaAdui Wa Yanga tweet media
Indonesia
5
7
19
2.3K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Kazi ya Samia mmeifikisha wapi? Hivi Tanzania tuna maajabu kweli Zaidi ya 885M zimetumika kuwapeleka korea na kuwapa malazi na nauli kila kitu, wakati kuna wastaafu wanaodai Pesa mamilion ! Kuna baadhi ya Wanafunzi wa vyuo vikuu wanataka tu sh 345M kuendelea na masomo ya Mwaka huu Hela ya shulen capitation grants mashuleni zimechelewa hadi sasa Ila Pesa mnaweka kwenye mambo ya kipuuzi, Shule hazina hata madawati huko kakonko na kibilizi, TASNIA YA BONGO MOVIE NI SEHEMU NYINGINE YA MAKAHABA NA WADADA POA NA ANDRI INIESTA WAO NI STIVE NYERERE,
Idris@IdrisSultan

Kukuchekea tuu, kukupa ahhhhh

Indonesia
7
14
70
18.8K
MAGABASHU KAIJAGE
MAGABASHU KAIJAGE@bagabashu·
@Jambotv_ Hakuna kitu hapo ni UZWAZWAA tu, hii nchi sijui ni nini kinatusibu, yaani wasomi waliowengi ndo mabumbumbu wakubwa.
Indonesia
0
2
11
1.1K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi ya Tanganyika Law Society (TLS) imetaja sababu ya kuliengua jina la Wakili Boniface Mwabukusi kwenye wagombea wa nafasi ya Rais wa chama hicho kuwa ni kutokana na baadhi ya wanachama kutoridhishwa na uteuzi wa jina lake kwa kukata rufaa katika kamati hiyo Katibu wa Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi wa TLS Wakili Nelson Frank ameeleza hayo leo, Jumamosi Julai 06.2024 ambapo amesema mchakato wa uchaguzi wa ngazi mbalimbali wa chama hicho unaendelea ambapo ametumia kikao chake na wanahabari kutaja orodha ya wagombea ambao wanachuana katika nafasi ya Rais ndani ya chama hicho kuelekea uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika tarehe 02 Agosti 2024, jijini Dodoma.
Indonesia
66
14
110
22.9K
MAGABASHU KAIJAGE retweetledi
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Sikiliza hadi MWISHO
Indonesia
1
8
15
2.7K
WAZFA
WAZFA@Nk37216Nkunya·
@AbroadTanzania Ukiwa huna pesa utahisi tunachezea pesa.....pole kwa maumivu
Indonesia
6
0
1
1K
MAGABASHU KAIJAGE retweetledi
TricyLove🦁
TricyLove🦁@amprincess9·
Unahitaji huduma ya graphic designing na printing? Karibu +255 62 014 2475. Hakika hutajutia kuhudumiwa nasi. 📍Kahama mjini Nimefanya kazi na petrol stations, ma-bar, ma-hotel, serikali na mashirika/makampuni mengi tu usiwe na shaka nina experience ya hali ya juu💪
TricyLove🦁 tweet media
Shinyanga, Tanzania 🇹🇿 Indonesia
2
78
170
19K
MAGABASHU KAIJAGE retweetledi
TricyLove🦁
TricyLove🦁@amprincess9·
Milango yetu ya riziki ikafunguke siku ya leo🙏
TricyLove🦁 tweet media
Indonesia
48
133
522
21.7K
MAGABASHU KAIJAGE
MAGABASHU KAIJAGE@bagabashu·
@Jambotv_ Vyema sana na mwenyezi Mungu aendelee kumpa nguvu, ila hao wanafamilia, ila acha sawa waendelee kupambana.
Filipino
0
0
1
445
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Mwanasheria wa THRDC (Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania) Wakili Paul Kisabo amethibitisha kuwa kijana Edgar Edson Mwakabela (Sativa) aliyekuwa amelazwa kwenye Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar es Salaam akipatiwa matibabu baada ya 'kutekwa' na kujeruhiwa leo, Jumamosi Julai 06.2024 ameruhusiwa kutoka Hospitalini hapo na kurejea nyumbani Taarifa zaidi zinaeleza kuwa licha ya kwamba ameruhusiwa kurejea nyumbani lakini Sativa ataendelea kuhudhuria kliniki kwenye Hospitali hiyo hadi hapo afya yake itakapotengemaa
Jambo TV tweet mediaJambo TV tweet media
Indonesia
6
18
120
10.8K
Jon Mrema
Jon Mrema@JonMrema·
Kwamba Sasa vikabu vya mpira Tanzania vimeamua kuwa vyama vya siasa ! Kwamba Sasa wanahamasisha siasa na sio mpira ! FIFA imeweka kanuni kuzuia mpira na siasa ! Ngoja tuendelee ! @Fifa @CAF_Online
Jon Mrema tweet media
Indonesia
177
98
633
37.1K
MAGABASHU KAIJAGE retweetledi
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Sheikh Muharram Mziwanda amemsihi Rais Samia Suluhu kuwa mstahimilivu kwani wananchi anaowaongoza wana sifa na tabia mbalimbali.
Indonesia
61
43
305
33.7K
MAGABASHU KAIJAGE
MAGABASHU KAIJAGE@bagabashu·
Good morning wana wa Mungu, kiufupi hapo ni Kawe na ni usiku wa jana umati umejitokeza kumkabidhi mwenyezi Mungu tabu na mateso yao wasiojua utatuzi wake ni lini. Siwezi kuwaita WAJINGA au WAPUMBAFU ila naomba niwakumbushe hayo madhira yao sio makosa ya Mungu ni mifumo tulionayo.
MAGABASHU KAIJAGE tweet media
Filipino
0
0
2
16
MAGABASHU KAIJAGE retweetledi
GreaterThinker💎
GreaterThinker💎@HopeQuotes__·
Wajinga Walio Kusanyika Tanganyika Pekaz, Kumsikiliza TAPELI anae Wauzia Mafuta... hii sio imani Bali ni Umasikini na UJINGA... #MwamposaNiTapeli
GreaterThinker💎 tweet media
Indonesia
346
137
1.4K
184.9K
MAGABASHU KAIJAGE
MAGABASHU KAIJAGE@bagabashu·
@mudryk_jr Wee fala, waambie waendelee kila mmoja ataugulia kwa wakati wake, kizazi cha ujuaji mwingi wa KIZWAZWA.
Indonesia
0
0
0
129
Mudryk Jr
Mudryk Jr@mudryk_jr·
𝗨𝗦𝗜𝗞𝗨 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗛𝗔𝗕𝗔....🔞👀 𝙉𝙅𝙄𝘼 03 𝙕𝘼 𝙆𝙐𝙇𝘼𝙈𝘽𝘼 𝙆𝙄𝙎𝙄𝙈𝙄 𝙆𝙒𝘼 𝙐𝙎𝘼𝙃𝙄𝙃𝙄 .... 😘😋😘😘 𝘖𝘱𝘦𝘯 𝘛𝘩𝘳𝘦𝘢𝘥 🧵
Mudryk Jr tweet media
Indonesia
29
21
100
22.5K
msngi.
msngi.@abusumayyah_o·
@bagabashu Kumbe naongea na pwagu...ngoja nifanye mambo mengine 🗣🙌🤝
Filipino
1
0
0
8
msngi.
msngi.@abusumayyah_o·
Kwahiyo zama za mtume walikua wanalima kwa mbolea za "elimu ya uraia"??...🚮
MAGABASHU KAIJAGE@bagabashu

@abusumayyah_o Unajidanganya uislamu hauzalishi mbegu au mbolea za kukuzia Mahindi ata ufanyeje Uislamu hauwezi kukuletea chakula au kukujengea shule,nyumbani, barabara kukusambazia maji au umeme kwa unafuu waowote.

Indonesia
1
0
0
67
MAGABASHU KAIJAGE
MAGABASHU KAIJAGE@bagabashu·
@ILYASRYANGULAM @abusumayyah_o Ni kweli kuna makosa ya kimaandishi japo niliandika lugha aliyoandika mwenyewe hili tuelewane, fuatilia ningeandika tofauti angehama mada maana pa kupenyea hapakuwepo.
Indonesia
0
0
0
4