B

7.8K posts

B banner
B

B

@bboy_ogast

no lie when love finds you!!!

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ocak 2016
1.9K Takip Edilen1.5K Takipçiler
B
B@bboy_ogast·
@Balyx_ Waseng nn 😂
Indonesia
0
0
0
90
Balyx
Balyx@Balyx_·
Kampuni ya Betting inaniomba namba ya NIDA? 😂
Indonesia
21
17
410
25.1K
B
B@bboy_ogast·
@official_kauzu Ni rahisi hasa watu weingi wanaowafata wakamaria wa mitandaoni.. jamaa akichukua ma influencer wa mtandaoni wakawa wanatoa code ya vunjabei.. watu wataenda tu
Indonesia
0
0
0
12
A man of interest
A man of interest@official_kauzu·
Sio kwa ubaya ila sisi watanzania kututoa kwenye Bet pawa na Sporty bet itakuwa ngumu sana 😎
A man of interest tweet media
Filipino
83
34
853
46.5K
B
B@bboy_ogast·
@I_am_stee @Wizdomtz Na yakiwaga matela mawili jinsi wanapiga reverse mpka chuma unakatika kama namba saba alafu bado wanaiweka vzur 🙌🏼
Filipino
1
0
1
29
Stee
Stee@I_am_stee·
@Wizdomtz Kama namba 4 inamaanisha semi trailer, hao wako vizuri sana. Hawa jamaa wana subira, uvumilivu na moyo wa kujituma. Fikiria, 1. wanasafir masaa mengi. 2. Kuovertakiwa na kila gari 3. Kubembeleza semi mpaka ipate kasi sio mchezo. 4. Wanachukua tahadhari muda wote Nk
Indonesia
3
2
19
1.1K
Wizdõm★
Wizdõm★@Wizdomtz·
Dereva yupi ni wa kuaminika zaidi na kuweza kuwaongoza madereva wengine akipewa gari, 1. Dereva wa serikali 2. Dereva wa mabasi 3. Dereva wa magazeti 4. Dereva wa malori 5. Dereva wa IT?
Indonesia
66
32
246
26K
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Ukienda kumripoti mtu kituo cha polisi, usisahahu kusema "Alisema haogopi , hata kama kituo kizima cha polisi kitakuja" "Pia kasema polisi ni kama chumbani kwake akiingia jioni, asubuhi anatoka" 🫈🫈🫈
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Indonesia
42
41
662
41.6K
B
B@bboy_ogast·
@MsomiKhan18 Bora bajaji sababu utahitaji ku-contral watu wanne tu
Indonesia
0
0
0
3
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
Upewe Bajaji 4 ufanyie BIASHARA Upewe Bodaboda 8 ufanyie BIASHARA Biashara gani hapo Utapiga pesa saana?
Indonesia
17
11
142
7.5K
ENG : CONGRATULATION!
ENG : CONGRATULATION!@Ponge_Bromine·
@MarekaMalili Jana natoka mecco kwenda nyasaka punda anataka 4K yule mwehu alidhani naokota hela....nime print taratibu milimani chap tu. Nikanunua mua kujipongeza
Indonesia
2
0
14
824
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Boda na Bajaji walipandisha bei wamerudi default setting 🙌🏼🤣
Indonesia
45
56
1K
47.4K
joseph msusi
joseph msusi@JosephMsusi·
@chapo255 @Adventure_36 Vita ya clouds na wcb ilikua serious mond angelegeza angebaki story lkn sidhani kama mavoko ilikua ni vita yake na sidhani kama alikua anaamini wcb ingetoboa bila clouds,Eatv na TVE ko ilikua ni self defence kwa mavoko
Indonesia
3
1
3
428
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Rich Mavoko anasema wakati yuko WCB msanii pekee aliyekuwa anapiga nae story ni Harmonize, chanzo cha yeye kutolewa pale ni kitendo cha Rich Mavoko kuwasiliana na watu wa Clouds Fm. Konde alikuwa anapeleka habari za Rich kwa viongozi wa WCB kuwa Rich anawasiliana na Clouds.
Filipino
31
58
938
34.1K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Ali kiba ameimba wimbo wa Simba ambao utadumu muda mrefu sana kwasababu hajataja majina ya viongozi wala wachezaji alijua baada ya muda hawata kuwepo lakini timu itabaki. Safii sana
Indonesia
18
62
970
22K
B
B@bboy_ogast·
@Fundipicha @canivo_ Anakwambia skin tight yake ndefu ya kipekee ni bishoo sana uyu bajabir 😂😂😂 kmmk
Indonesia
1
0
1
4
Fundipicha
Fundipicha@Fundipicha·
@canivo_ Mtangazaji anataja mpaka mchezaji kuhusu kuvaa skin tight 😁
Suomi
2
0
2
12
Mdibafu
Mdibafu@canivo_·
Bloangu Gharib Mzinga tumeshakuelewa kwamba Ismail Toure na Pacome walicheza pamoja Asec mimosa aisee hii sasa too much 🙌💔
Filipino
34
22
521
25.2K
automationwizard
automationwizard@automation670·
@canivo_ Ni vile hata ma commentary wa kizungu wanasemaga iii lkn lugha ndo inafanya tusiboekee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eesti
1
0
0
29
B
B@bboy_ogast·
@mafolebaraka Wew unaona kazi ni kutumia nguvu tu?? Wakat wenzako wanatumia akili
Filipino
0
0
0
5
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Wanangu wa Chelsea nasikia hapa ndio anatoka kocha wetu ajaye, unatamani nani aongoze chama letu • Xabi Alonso • Cesc Fabregas • Felipe Luis • Andoni Iraola
Indonesia
36
9
161
5K
B
B@bboy_ogast·
@TheNdullyz @TichaMandevu Yaan mtu kaunda vyumba na umeme kibao ila anachukua hela ndogo.. afu wew uko ofisn na kompyuta yako unachukua mchongo mkubwa kuliko mwenye mali
Filipino
0
0
0
6
Zwangendaba🇬🇵
Zwangendaba🇬🇵@TheNdullyz·
@TichaMandevu Bongo kodi nyingi kuliko hata waliotengeneza gari lenyewe! Ndo maana tunanunua magari used miaka mingi huko tunayaita mapya
Indonesia
1
0
3
617
TICHA MANDEVU13
TICHA MANDEVU13@TichaMandevu·
Nilikua sielewi kumbe gari inaweza kununuliwa nje kwa 20million ila mbaka Ije mikononi mwako pamoja na Kodi inaweza kufika hadi 45m. Mamae kweli sio mchezo🙌
Indonesia
41
77
842
39.3K
B
B@bboy_ogast·
@KURYABOY_TZ @TichaMandevu Sas gari mpya ndo ushuru wake haugusiki ndomana watu tunakomaa na used
Filipino
0
0
0
18
KURYABOY
KURYABOY@KURYABOY_TZ·
@TichaMandevu Nchi yetu sio ya kuleta Vyuma chakavu..!! 😂
हिन्दी
4
0
0
2.7K
B
B@bboy_ogast·
@blazadadee1 Nenda wool wolthy yoyote ya karibu yako utakutana na bei
Indonesia
0
0
0
7
Shababi a true leader
Shababi a true leader@blazadadee1·
Wakuu kwahiyo Jeans oG huwa zinapatikana kwa bei gani na wapi??
Filipino
47
36
412
38K
B
B@bboy_ogast·
@chapo255 Mtu anaanzisha tuzo afu tayar kashachagua upande.. yaan kabla ya tuzo lakin tushajua wakina nani watashinda
हिन्दी
0
0
0
9
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Kama Azma ana nia thabiti ya kuanzisha tuzo za Hiphop basi anatakiwa aachane kubishana mitandaoni na wasanii badala yake atumie hekima zaidi kuwaunganisha wasanii hao ili tuzo zionekane kwaajili ya wote. Nani mkali na nani sio mkali sio kazi yake kwasasa asitengeneze matabaka.
Indonesia
15
15
240
7.2K
B
B@bboy_ogast·
@Maestrowafact Pua ilibanwa sana mule 😃
Indonesia
0
0
0
1
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI@Maestrowafact·
Hivi kina Masozi wa Ali kiba walienda wapi wale madogo walikua wanabana pua hakuna mfanoe😅😅
Indonesia
24
12
268
14.2K
B
B@bboy_ogast·
@The_mesha24 Ila bar Mnaenda kunywa au sio? Muda huo huo mnaoenda bar na sis tunatumia kuangalia mpira
Indonesia
1
0
0
15
THE MESHA
THE MESHA@The_mesha24·
Siku NILIPOACHA kufatilia 1. Mambo ya Simba na Yanga 2. Mambo ya celebrity na udaku 3. Game za UEFA za usiku sana ndipo nilipoanza kuona tofauti. -Focus yangu iliongezeka. -Nikawa makini na vipaumbele vyangu. Vitu vingine si vibaya…Lakini havina umuhimu. Kama haviongezi thamani kwenye maisha yako basi vinaondoa mwelekeo wako. #ElimuBure
Indonesia
63
68
471
24.4K