automationwizard
558 posts


@MrDepalitto9 ungekua shabiki wa mpira unae fatilia mpira usinge shangaa lkn ukiwa shabiki wa mechi ya simba na yanga to msimu mzima ndo lazima uje na hoja kama izi
Indonesia

@Elsukay0 kwaiyo paka asinye wakuu... kwamba paka ana matako wadau
Filipino

@FKihamu @kasesco_tz Duuuh! Haya ni mahaba au nn! Haijawahi nin.? Huyo Star wenu yanga anasugua bench
Indonesia

@LalykillerJr @SimbaSCTanzania Itakua uku angalia mpira kwamba mpanzu ili takiwa abaki maema ndo atokee daaah itakua ukuchek game Mtaalam
Indonesia

@SimbaSCTanzania Kiufundi unashangaa inakuwaje Maema yupo uwanjani huoni kitu, unafanya sub ya Mpenzu anayekupa uhai mbele Maema bado yupo uwanjani, unafanya sub ya Loemba na Maema bado yupo uwanjani alafu unataka kutafuta mchawi hapo wakati game ameiua kifo cha mende kabisa .
Indonesia

@Yekaweto @shaffihdauda1 Itakua mechi ya juzi ndo ya kwanza kuangalia tangu uzaliwe.....nikupe task ndogo to boss kacheki gemu ya robo fainali world cup 2010 ghana na Uruguay nazan utaelewa kama n akili ndogo au wew na changomoto
Indonesia

@shaffihdauda1 Wachezaji WA kibongo akili ndogo Sana kwenye maamumzi
Yaan DK za mwisho inafanya faulu ya kukusudia kabisa
Hyo ni akili ndogo Sana ya maamumzi
Indonesia

Calm down Edmund John, najua DM
yako itakuwa bize sana leo wapo watakao kutia moyo lakini wapo pia watakaokusema as if haujawahi kufanya jema
Kukosea kupo na leo umekosea wewe, huu sio mwisho wa career yako stay strong
Ujumbe wangu kwa Wananchi, wachezaji wengi wazuri wamewahi kupotea baada ya kukosea na waliopaswa kuwapa moyo kugeuka na kuwasimanga, Edmund yupo Yanga lakini Taifa linamuhitaji mpeni moyo badala ya kumpoteza

Indonesia

@MkulimaKante ishu sio kua engneer tu au daktar to ishu n kua unafanya kazi wapi....iyo ndo ina matter boss kweli wote mnaweza mkawa ma engineer lkn wapi unameajiriwa ndo ina determine fedha mkuu. Kuna sehemu una ajiliwa ata biashara uwazi mshahara to biashara tosha....
Indonesia

Idadi ya madaktari wanaokimbilia biashara nje kabisa na kada zao naona kama inaongezeke kimtindo.
Sikuwahi kufikiria kuwa yule ubepari pc ni daktari hadi pale siku naona anaenda kufuata leseni yake sijui nikategemea ataenda kutibu.
Sasa hivi nashangaa mwamba yupo zake Dubai anafanya biashara.
Hii kumaanisha nini au ndio mambo ya hobby💔
Indonesia

@MkulimaKante Kunge kua na uo umuhimu angefanya lkn umuhimu aupo so awezi kufanya ivo
Indonesia

Swali la kizushi pamoja na kuwa bilionea kijana Afrika kupenda kushare picha zake mara kwa mara.
Kwanini huwa hapendi kumuweka mke wake hadharani maana najua hakuna mtu wa kumuiba mke wa tajiri maana pesa ipo.
Nataka nijifunze kitu ili siku nikitajirika nipite njia zake huenda kuna jambo la muhimu sana hapa🙏

Indonesia

@Conspiracist_1 Ungekua Mtaalam wa plc , sequencial, na combinational circuit designer ungeelewa umuhimu wake mkuu....
Indonesia

@automation670 @IAmHaule Kabisaa kweli mpka utimuliwe ni zile familia za chini saana kipato duni hapo ndipo mtu anatimuliwa ila familia nyingine saafi tuuuu
Indonesia

@IAmHaule Ipo ivo blood ndo mana haya mambo ya kutimuliwa home yapo kwenye izi familia zetu za hari ya kawaida ila kwa familia zinazojiweza kivipato uji kusikia uswahili uu
Indonesia

@Sulphuric_aci17 Watu walioweka mifumo ya soka walijua haya yote ndo mana kuna one final say kocha ukimpa kila shabiki nafasi mwengine ata kwambia ilipaswa diara acheze tisa...n kama draft ukiwa nje kete za kula teuzi unaziona vizur san changomoto inakuja wew ukiwa ndan
Indonesia

@Sulphuric_aci17 @Mounster___ Nasijui kama kuna goli kwenye mpira linatokea bila mistake fulani either marking au foul...au Mtaalam wew unapenda timu ziwe zina maliza sare siku zote ya bila bila
Indonesia

@Mounster___ Mimi sichukii mtu wewe, ila tunazungumza football as professional footballer hakupaswa kufanya alichofanya ameicost time na maishaengine yanaendelea
Indonesia























