Benjamin

18K posts

Benjamin banner
Benjamin

Benjamin

@buganzi_

Digital Developer | Computer Engineer

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Haziran 2011
2.1K Takip Edilen2.1K Takipçiler
Benjamin
Benjamin@buganzi_·
Meet Tobby 🐾❤️
Benjamin tweet mediaBenjamin tweet mediaBenjamin tweet mediaBenjamin tweet media
English
0
0
1
37
Benjamin
Benjamin@buganzi_·
@Positivenga1 So kizalendo kabisa kile kilio maarufu ndo solution yetu regardless ya itikadi, nilitaka tu arrive hapa maana the original post imezunguka sana. I know sio niche unapenda izungumzia ila inamgusa kila mmoja kwenye chochote anachojihusisha nacho 👏👏
Filipino
0
0
2
23
Haulay
Haulay@Positivenga1·
1. Mfumo wetu wa kupata viongozi kama mawaziri ambao ni wabeba maono wa taasisi kuu za nchi usitegemee tu kwa watu ambao wanachaguliwa kwa voting. Kama mimi nina maono lakini sina capital ya campaign ya kushinda Ubunge na propaganda za uchaguzi basi nakaa benchi na maono yangu! Hii sio sawa. Nigeria naisi mawaziri sio lazima wapigiwe kura, ni mfano leo umchague Magila awe waziri wa Tech bila yeye kuwa mbunge. 2.Kama nilivyosema mwanzo; unaweza kuwa na maono lakini kama unareport kwa mtu asie na maono bado we have a problem.
Indonesia
1
0
1
83
Haulay
Haulay@Positivenga1·
Uko sahihi boss! Ndo mana mi naamini shida ni maono. Hata ukiona kiongozi anapokea milioni 10 rushwa ili apitishe mradi utakaocost wananchi wake bilions of money shida inakua ni maono. Huyu mtu hata aende marekani miezi 6 ni kawaida akarudi kama alivyoondoka. Kuwaza na kuimplement miundombinu kama mitaro hauhitaji kwenda Nje, hauhitaji kuwa injinia mzuri, unahitaji maono. Bila maono exposure ni utalii.
Benjamin@buganzi_

@Positivenga1 @anthony_nyello I support this 100% ila from the original post shida yangu ni kuwa tuna matatizo mengi basic ambayo sidhani kama yanahitaji exposure kuwa solved nahisi ni kuwa tuna watu wasio sahihi. Mfano Kujua kwamba tunahitaji mitaro kuzuia maji yasijae barabarani hili nalo tumeshindwa.

Indonesia
4
2
15
1.1K
Benjamin
Benjamin@buganzi_·
@Positivenga1 @anthony_nyello I support this 100% ila from the original post shida yangu ni kuwa tuna matatizo mengi basic ambayo sidhani kama yanahitaji exposure kuwa solved nahisi ni kuwa tuna watu wasio sahihi. Mfano Kujua kwamba tunahitaji mitaro kuzuia maji yasijae barabarani hili nalo tumeshindwa.
Indonesia
1
2
6
1.3K
Haulay
Haulay@Positivenga1·
Tulikua na hii mada na rafiki yangu @anthony_nyello last week. Hapa kuna ishu ya exposure na maono. Unaweza kwenda Marekani hata mara 10 na ukaweza kuona tofauti ya Tanzania na Marekani (ukawa mtazamaji) lakini hauna maono; you cant think of why it is this way better here than where i come from, kitu gani kinatuzuia sisi kuwa hapa, And how do we move from where we are to getting closer na walipo wenzetu. I’m sure we have watu wanaenda huko na wanarudi hapa bila kujiuliza maswali yoyote yanayochochea wao kuchukua hatua. Wanakua watalii! (Mmarekani anayekuja kutalii Tanzania focus yake ni utalii. Sisi wengi wakienda kwenye conference focus yao kubwa pia ni conference tu). Our leaders wengi hawana maono, na wachache wenye maono wanareport kwa wasio na maono! Hapa ndo kasheshe.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari

Hii dhana kwamba viongozi wa serikali wanasafiri sana na kupata exposure ya kutosha wala siyo rahisi kama watu wanavyodhani na hata wakisafiri ni kwa kujibana sana na kuwa na predestinated itinerary😬 Pia, kama jamii, hatuna utamaduni mpana wa kusafiri na kujifunza kutoka nje. Lakini hata hivyo, hoja yangu ya msingi haikuwa “kusafiri” pekee. Kusafiri hakumpi mtu exposure. Exposure inakuja pale ambapo kuna intentional learning. Unaweza kusafiri mara nyingi na usibadilike chochote. Na unaweza kusafiri mara chache lakini ukarudi na mabadiliko makubwa ya fikra na utekelezaji. Ndiyo maana katika kujenga taifa, exposure haiwezi kuachwa kwenye bahati, lazima ipangwe kwa makusudi. Utawala wa Nyerere (mnisamehe ninamzungumzia sana) ulielewa hili kwa kiwango fulani. Kulikuwa na jitihada za makusudi za kupeleka Watanzania kusoma katika vyuo bora duniani kwa lengo la kurudi kujenga nchi. Hii si nadharia, ni historia hai maana hata kwenye familia yetu kuna mtu alisomeshwa Harvard. Wapo watu wengi walipelekwa nje kwa dhamira hiyo. Hicho ndicho kinachoitwa closing the exposure gap through design. Ukichunguza nchi nyingi za Asia, hasa China, utaona consistency ya mkakati huu. Kwa zaidi ya nusu karne, wamekuwa wakipeleka vipaji bora kusoma nje, kujifunza mifumo bora, na kurudi nyumbani kutekeleza na wanapewa uwanja wa kutekeleza, pamoja na rasilimali. Hii siyo ajali, ni mfumo wa makusudi mno! Sasa, hata kama hatuwezi kufanya kwa scale hiyo, angalau tunahitaji kuwa na intentionality. Basi tupeleke watu kujifunza kwa muda mfupi, tujenge mifumo thabit ya knowledge transfer na tuhakikishe wanaorudi wana nafasi ya kutekeleza wanachojifunza Bila hilo, exposure inabaki kuwa individual benefit, si national asset. Tukirudi kwenye uhalisia wa Tanzania leo, swali linabaki, kwa nini bado hatuna miji iliyopangiliwa vizuri, safi, na yenye ustaarabu wa hali ya juu? Jibu la swali hili haliwezi kuwa rasilimali pekee. Ni ukosefu wa utamaduni wa learning and benchmarking. Na utamaduni hauji kwa bahati mbaya. Unajengwa kwa makusudi. Kupitia kuona mifumo mingine, kujifunza, na kuamua kuitekeleza kwa mazingira yako. Bila kufanya hivyo, tutazidi kuboresha ndani ya kile tulichokizoea, badala ya kufikia kile kinachowezekana.

Indonesia
3
6
29
3.1K
Benjamin
Benjamin@buganzi_·
Afu kuna watu walitaka tuaminisha hii nchi kuna Udini 😂
Filipino
0
0
0
111
Benjamin
Benjamin@buganzi_·
Two months sober now. Here’s everything that’s changed: . . . Yeah… exactly.
English
1
0
1
223
Benjamin
Benjamin@buganzi_·
During the morning call today, my Mom threatened kunichapa 😂😂
Benjamin tweet media
English
0
0
0
96
Benjamin retweetledi
Haulay
Haulay@Positivenga1·
Tulianzisha @SwahiliesPay Geto, Sinza, Dar Es Salaam lakini leo huduma zetu kama @KuzaBusiness zinatumiwa na wafanyabiashara zaidi ya 10,000 huku tukiungwa mkono na wawekezaji kama @baobabnetwork @ennovateventure na mashirika kama @undptz . Bado Hatujafika tunapotaka kufika lakini safari yetu imetufundisha kwamba ukubwa ni swala la muda tu. Wakati tunazungumza na wafanyabiashara mbalimbali wanaotumia na wasiotumia @KuzaBusiness tuligundua hata wao hawakuanza kwa ukibwa lakini wamepiga hatua. Ndiyo maana tumezindua rasmi safari ya Ukubwa ni swala la muda. Tutarekodi hadithi za wafanyabiashara 100 Dar es Salaam na mwisho tutatoa ripoti maalumu ya kile tulichojifunza kuhusu ukuaji wa biashara ndogo. Ungana nasi @KuzaBusiness kwenye safari hii.
Indonesia
2
5
32
7.9K
Benjamin
Benjamin@buganzi_·
6 Points Clear 🙌🏻
English
0
0
0
111
Benjamin
Benjamin@buganzi_·
I like the way @NMBTanzania has marketed their wearables saying nothing about NFC
English
0
0
2
156
Benjamin
Benjamin@buganzi_·
So @VodacomTanzania mmeshindwa kuwa na internet ya kueleweka tokea November mmmmh
Indonesia
0
0
1
143
Benjamin
Benjamin@buganzi_·
Baba Levo ana siasa za mwaka 80s unfortunately anaweza kuonekana anafanya mambo ya maana 😂
Indonesia
0
0
0
81
Benjamin retweetledi
Haulay
Haulay@Positivenga1·
At @SwahiliesPay 2025 was a year of validation and preparation for scale. Now Validated, Backed, Ready To Scale! 🎉🎉🎉
Haulay tweet media
English
2
7
33
1.3K