Abuu🇹🇿 🇨🇦
3.8K posts

Abuu🇹🇿 🇨🇦 retweetledi

@Mwinshehe07 Yan mnaongelea mengine tu,blue tick kwenye received msg amuioni 😂😂
Indonesia

Hapa Kuna matatizo kadhaa huenda Risti hii ikawa yakutengeza kwasababu mbili
1.Tatizo la Terminal Name
Kwenye receipt imeandikwa
Terminal: ASHUKURIWE ALEX
Kwa kawaida kwenye receipt za benki Terminal huwa ni
machine ID
branch name
agent code
kiosk ID
au mfumo wa numeric/alphanumeric code mfano
ATM-00451
MBEYA BRANCH
AGT-1022
POS-7781
Lakini hapa imewekwa jina la mtu binafsi moja kwa moja
2. Tatizo la Phone Number
Receipt inaonyesha
Customer: MSHABAHA MSHABAHA
Depositor: Mshabaha
Phone: 255657089696 (inasema ni ya Msuya)
Hapa consistency haikai sawa kwasababu kama
depositor ni Mshabaha na account ni ya Mshabaha kwa kawaida ungeexpect phone number pia iwe ya Mshabaha
Fortunatus Buyobe@fbuyobe
Mshabaha anatakiwa atoe ufafanuzi kwenye hii issue. 1. Ni kweli alimkopa Msuya? 2. Alimkopa kiasi gani maana hiyo milioni 4 alitanguliziwa tu. 3. Je, Mshabaha kwa nini hakunijulisha kama anamkopa mtu niliyemtambulisha kwake tena ndani ya siku chache tu tangu wajuane? 4. Alimalizana vizuri na Msuya kwenye huu mkopo? i. e aliahidi kurejesha ndani ha muda gani
Filipino

#TajiriLaKihaya
Hapa Dar City Absa marathon….
Namuona muuzaji wa Viumbe Hai vya Ziwani…
Ngoja nimuagize Bodyguard wangu Akamtongoze….
Laki tano atachomoa kweli😅??
HT
Abuu🇹🇿 🇨🇦 retweetledi

@BarakaMaviatu Kuna yule mwenye pua kubwa,somebody mwanahamisi sijui,alikua jau sana 😃
Indonesia
Abuu🇹🇿 🇨🇦 retweetledi

Gigy Money 🎤 Mchagga ni kweli una date na Tessy Chocolate na kwanini mnaficha mahusinao yenu?
Mchagga 🎤 Niwe mkweli kabisa Tessy ni rafiki angu tu , na kwanza hizo story gigy umezipata wapi
Gigy🎤 jibu swali nyooka kuna watu mjini pesa zao hazina matumizi ni kweli au sio kweli
Mchagga 🎤 kwan wewe unataka nini au unanitaka
Gigy 🎤 Jibu swali
Mchagga 🎤 😂😂😂😂😂😂
---------------------------------
Studio ilikua ya moto sana

Filipino

@BracuszCadabra Yan makolo wanawaonea huruma Yanga kutapeliwa 😃😃
Indonesia
Abuu🇹🇿 🇨🇦 retweetledi

BREAKING: Tanzania is now pushing for a 100,000+ bpd refinery at Lindi designated Oil Port as talks intensify with Exxon Mobil, Shell & Sinopec under the proposed $42 Billion energy deal.
At the same time, Tanzanian delegates are expected to engage Dangote’s team amid the ongoing Tanga Refinery project developments, with strategic energy discussions now expanding beyond LNG into regional refining, storage and downstream dominance.
By 2030, Dar es Salaam aims to position Tanzania among Sub-Saharan Africa’s largest integrated energy ecosystems alongside Angola.
English

@Sulphuric_aci17 Kosa lake nini?nyeto krosi dongo anaikwepa,pale ndipo alipomteza maboya kipa wake,goli la pili yao pale ilibidi achukue kadi kwa niaba ya timu,kipa angefanyaje pale ikiwa mfungaji kaanza kudrible kati ya uwanja?
Indonesia

























