Sabitlenmiş Tweet
Edwin Odemba
1.5K posts

Edwin Odemba
@chiefodemba
MTANGAZAJI WA TAIFA. Host MEDANI ZA SIASA, Udsm Alumnus, LUO ICON, CEO. CHIEF ODEMBA ENTERPRISES LTD.
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Eylül 2017
281 Takip Edilen45.5K Takipçiler

@Sativa255 Kaka ilikuwa sehemu ya mahojiano yangu na bashiru, sasa imeshapita, but mahojiano hayo yote yako youtube.
Filipino

Kaka Post hiyo video Tafadhali sana. Ni siku ya Tano leo.

Edwin Odemba@chiefodemba
@Sativa255 @gabyconscious Nilipandisha clip, nimegundua ilikuwa na errow inapanda tena mkuu, tuko pamoja sana .
Filipino

@chiefodemba @Sativa255 @gabyconscious Una hekima mno kaka Odemba, tupandishie hiyo clip sisi ndio tumekuweka hapo ulipo na kukufanya ujulikane. Ni sisi ndio tunaokusikiliza na kukuongelea mitaani nasio hao watawala. Tupandishie hiyo clip haraka kaka tuna matumizi nayo.
Filipino

@chiefodemba unaongoza kwa VAR zako ukapewa hype leo umehoji watawala unafuta Tweet si uwe unawapigia simu basi kama hutaki jamii ione mahojiano yako.
Vyombo vya habari nyie ni wakulaumiwa sana mnapeleka Taifa kubaya
Indonesia

@Sativa255 @gabyconscious Nilipandisha clip, nimegundua ilikuwa na errow inapanda tena mkuu, tuko pamoja sana .
Filipino

@gabyconscious @chiefodemba Kafuta tweet gani tena Mwandishi wetu pendwa?
Indonesia

@gabyconscious Ndio kaka nimeifuta, ilikuwa na errow naipandisha tena, pole sana kaka.
Filipino

Naungana na watanzania wote wenye upendo wa dhati na nchi yao, kutoa pole kwa familia, ndugu, na marafiki wa wote waliopoteza maisha au kujeruhiwa katika maandamano yaliyofanyika siku ya uchaguzi October 29.
Ni huzuni kubwa kuona damu ya Watanzania ikimwagika katika kipindi ambacho tunapaswa kutumia sauti na busara kujenga demokrasia yetu. Maisha ya kila mtanzania ni yenye thamani, na kila tone la damu lililomwagika litukumbushe kuwa haki, amani, umoja na mazungumzo ya kijamii ni msingi wa taifa letu.
Kwa heshima tunaomba mamlaka husika kuchukua hatua za haki na za kibinadamu kuhakikisha ukweli unajulikana, wahusika wanawajibishwa na haki inatendeka bila upendeleo.
Kwa familia zilizoathirika, tuko nanyi katika maombi, huruma na matumaini. Mungu awafariji, na taifa letu lijifunze kuthamini uhai na utu zaidi ya tofauti zetu za kisiasa.
Taifa lenye amani ni taifa linalokubali ukweli, hata pale ukweli huo unauma. MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE.

Indonesia
Edwin Odemba retweetledi

Its tense for brother Odemba. Pole sana askari @chiefodemba
Ayubu Madenge@ayubu_madenge
Chief Odemba mtangazaji toka Tanzania yupo Bondo Kenya kwenye mazishi ya Raila Odinga na ameketi pembeni ya Babu Owino ambaye ni Mbunge mashuhuri nchini Kenya. Itakumbukwa kuwa mwezi Juni mwaka huu Raila Odinga alikuja Tanzania kuhudhuria harusi ya Mtangazaji huyo.
English

“Mimi Siamini katika Ukomo wa Uongozi kwenye nafasi yoyote ile, hata iwe kwenye nafasi ya Urais” BENSON KIGAILA #tbt
Indonesia







