God Chuma

2.5K posts

God Chuma banner
God Chuma

God Chuma

@chuma_god

Katılım Kasım 2022
892 Takip Edilen148 Takipçiler
ACTWazalendo
ACTWazalendo@ACTwazalendo·
Salamu za rambirambi kutoka kwa KC @SemuDorothy kufuatia kifo cha Ndugu Seleman Bungara kilichotokea leo Machi 30, 2026. Mungu amjalie pumziko la milele.
ACTWazalendo tweet media
Indonesia
4
13
33
1.2K
God Chuma
God Chuma@chuma_god·
@Jambotv_ Hu sasa kwetu sisi wananchi ni msiba. Ninatoa pole kwa familia na wote waliofikwa na huu msiba. Nae marehem ninamuombea kwa mwenyenzi Mungu roho yake ipokelewe na kulazwa mahali pema peponi. AMEN
Indonesia
0
0
2
372
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Breaking News: Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Seleman Bungara (Bwege) amefariki Dunia mchana huu, akiwa kwenye Hospitali moja ya binafsi huko Kigamboni, Dar es Salaam, Jambo TV imezungumza na Abbas S.A. Bungara ambaye ni Kaka wa marehemu, ambapo amesema marehemu alifikishwa Hospitalini hapo kwaajili ya kufanyika Dialysis kama ilivyokuwa ikifanyika kawaida, na ndipo umauti ulivyomfika, Amesema kwa sasa mipango ya mazishi inaendelea, na taarifa zaidi zitatolewa hapo baadae ila msiba (kwaajili ya watu kuhani) ni Temeke nyumbani kwa Abbas Bungara, Enzi za uhai wake marehemu Bwege amewahi kutumikia vyama vya siasa vya CUF, ACT Wazalendo na hivi karibuni alitangaza kujiunga na CHADEMA, ingawa mchakato rasmi wa kukabidhiwa kadi ya chama hicho ulikuwa haujakamilika. NB: Jambo TV itakuletea taarifa zaidi kuhusiana na msiba huo.
Jambo TV tweet media
Indonesia
97
88
707
21K
God Chuma
God Chuma@chuma_god·
@swahilitimes Mbona akuna cha ajabu. Kipaumbele cha serikali chadema wasifanye siasa tu.
Indonesia
0
0
0
351
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amesema mradi wa uwanja wa mpira wa Arusha ulikadiriwa kugharimu TZS bilioni 187, lakini ulisainiwa kwa TZS bilioni 338.54, sawa na ongezeko la asilimia 81.
Indonesia
205
182
998
81.5K
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Mahakama ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma imemtia hatiani Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Babayu, Thomas Elia Madumba, kwa kosa la kuomba na kupokea hongo ya shilingi 260,000 kutoka kwa mkazi mmoja wa kijiji hicho. Hukumu hiyo ilitolewa Machi 24, 2026 na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mheshimiwa Andrew Hayuma, baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa mahakamani na upande wa mashtaka kutoka TAKUKURU. Ilielezwa mahakamani kuwa mshtakiwa alidai kiasi hicho cha fedha kama rushwa ili kumshawishi amuachie huru mzee mmoja aliyekuwa amezuiliwa kinyume cha sheria katika ofisi ya kijiji hicho mnamo Januari mwaka huu. Baada ya kutiwa hatiani, mahakama ilimhukumu mshtakiwa kulipa faini ya shilingi 500,000 au kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela.
ROYAL TELEVISION tweet media
Indonesia
1
0
12
1.4K
God Chuma
God Chuma@chuma_god·
@HecheJohn Hawa jamaa wanaweza kusema wala mh Lisu hachechemei.
Indonesia
0
0
1
153
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Mwenyekiti wetu amesema mwenyewe kwa maandishi yake na sisi tunajua… Alishambuliwa kwa risasi nyingi mwaka 2017. Tangu wakati huo alikua anakwenda kufanya checkups na matibabu mara kwa mara. Leo ni mwaka mzima yuko gerezani Ukonga kwa kesi ya uongo, hqjakutana na wataalamu wake wala hajafanya checkup inayotakiwa. Sisi viongozi wenzake haturuhusiwi kwenda kumuona, marafiki zake pia hawaruhusiwi kumuona, kinyume kabisa cha utaratibu wa sheria. Hapa sijui hawa Magereza wanasema nini!!!!
John Heche tweet media
Indonesia
58
233
879
36.1K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Jeshi la Magereza nchini Tanzania limetoa kanusho kali dhidi ya taarifa zilizochapishwa na baadhi ya magazeti leo, zikidai kuwa hali ya afya ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ni mbaya na inatia shaka. Katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo, Jumatano, Machi 25, 2026, jijini Dodoma, Msemaji wa Jeshi la Magereza, SACP Elizabeth G. Mbezi, amesisitiza kuwa taarifa hizo siyo sahihi na zimelenga kuleta taharuki isiyo na msingi katika jamii. “Kimsingi taarifa hiyo siyo sahihi ni ya kuupuzwa kwani ina lengo la kuleta taharuki katika jamii. Jeshi linapenda kuujulisha umma kuwa ndugu Tundu Lissu yuko salama na afya yake ni njema”, imeeleza taarifa hiyo SACP Mbezi ametoa wito kwa waandishi wa habari nchini kufuata misingi ya taaluma yao, ikiwemo kuhakiki taarifa kutoka kwenye vyanzo sahihi kabla ya kuzisambaza kwa umma. Amesema Jeshi hilo linatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia sheria, kanuni, na taratibu huku likithamini utu na haki za binadamu kwa wafungwa na mahabusu wote. Taarifa hii inakuja siku kadhaa baada Lissu kuieleza Mahakama ya Rufani yuko katika hatari ya afya yake kuathirika zaidi kwa kushindwa kuhudhuria kliniki ya matibabu yake kutokana na kushikiliwa mahabusu kwa muda mrefu. Aliiomba Mahakama hiyo kulisikiliza kwa dharura shauri la mapitio lililofunguliwa mahakamani hapo na Jamhuri dhidi yake kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu, kuikatalia kuwasilisha ushahidi mpya katika kesi ya uhaini inayomkabili, ambalo limesababisha usikilizwaji wa kesi hiyo kusimama kwa muda usiojulikana. Alidai kama shauri hilo lisiposikilizwa na kuamuliwa haraka basi hali ya afya yake itazidi kuathirika kwa kuzidi kukosa huduma hizo za kiafya kutokana na kuendelea kushikiliwa mahabusu, hivyo kupata madhara ambayo hayataweza kurekebishika na kukwamisha haki kutendeka. Lissu alielezea hofu yake hiyo ya kuathirika kwa kukosa huduma za kiafya wakati alipowasilisha majibu yake ya maandishi dhidi ya hoja za Jamhuri katika shauri hilo la mapitio.
Jambo TV tweet media
Indonesia
45
3
74
10.1K
God Chuma retweetledi
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Klabu ya soka ya Liverpool imethibitisha rasmi kuwa mshambuliaji wake nyota, Mohamed Salah, ataondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu. Taarifa hiyo imetolewa na Uongozi wa klabu baada ya majadiliano ya muda mrefu kuhusu hatma ya mchezaji huyo. Mohamed Salah, ambaye ameichezea Liverpool tangu mwaka 2017, amekuwa mmoja wa wachezaji muhimu zaidi katika mafanikio ya klabu hiyo kwa miaka ya hivi karibuni. Katika kipindi chake, ameisaidia Liverpool kushinda mataji makubwa ikiwemo Premier League na UEFA Champions League. Katika taarifa rasmi, klabu ilisema: “Tunamshukuru Mohamed Salah kwa mchango wake mkubwa ndani ya timu. Atabaki kuwa sehemu muhimu ya historia ya Liverpool.” Kwa upande wake, Salah alielezea shukrani zake kwa mashabiki na klabu, akisema kuwa amefurahia kila dakika aliyocheza akiwa Anfield. Kuondoka kwa Salah kunatarajiwa kuacha pengo kubwa katika kikosi cha Liverpool, huku klabu ikitarajiwa kuanza mchakato wa kutafuta mbadala wake kabla ya msimu ujao kuanza. Mashabiki na wachambuzi wa soka duniani kote wanaendelea kujadili hatma ya mchezaji huyo na ni wapi atakapoelekea baada ya kuondoka Liverpool. #KitengeSports
Maulid Kitenge tweet media
Indonesia
0
6
252
6.9K
God Chuma retweetledi
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Hauwezi kuwa loyal kwa nchi yako halafu wakati huo huo ukawa mstari wa mbele kutetea mambo ya kipumbavu hata pale yanapofanywa waziwazi kabisa. Ukifanya haya wewe ni tapeli tu. Na kiashiria kizuri cha utapeli ni pamoja na mtu kuhitaji kujieleza kuwa yeye ni mzalendo.
Filipino
9
67
297
8.1K
God Chuma retweetledi
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, ameitaka Mahakama kutoa kipaumbele na kusikiliza kwa haraka kesi inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, ili iweze kumalizika na kumpa nafasi apate matibabu muhimu ya mara kwa mara kufuatia majeraha ya shambulio la risasi alilopata mwaka 2017. Heche ametoa kauli hiyo leo Machi 24, 2026 katika viunga vya Mahakama (Judiciary Square) jijini Dodoma, wakati wa mapumziko mafupi ya shauri la maombi ya kufanywa marejeo ya mwenendo wa kesi ya mgawanyo wa mali za chama, kesi ambayo iliyofunguliwa na Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili. Amesema kitendo cha Lissu kushikiliwa kwa kipindi cha karibia mwaka mzima na hivyo kumzuia ukaguzi wa kiafya pamoja na matibabu anayohitaji ni hatua hatarishi na ambayo CHADEMA haikubaliani nayo. Amesisitiza kuwa ni wajibu wa Mahakama kuhakikisha haki inatendeka bila kucheleweshwa, hasa kwa kuzingatia hali ya kiafya ya Lissu.
Indonesia
9
32
191
4.1K
God Chuma retweetledi
millardayo
millardayo@millardayo·
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, ameiomba Mahakama iitishe na kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu ili kesi iishe na Lissu akafanyiwe matibabu ambapo amesema kama Lissu atapatwa na lolote akiwa gerezani kuna Watu watalazimika kujibu ni nini kimempata. Akiongea Jijini Dodoma leo March 24, 2026, Heche amesema “Juzi Mwenyekiti wetu (Lissu) akiwa gerezani ameandikia Mahakama wa Rufani kwa hati ya dharura kusikiliza kesi dhidi yake ya Uhaini na kuifanyia maamuzi, sote tunajua Lissu alishambuliwa kwa risasi hapa Dodoma kwahiyo kila baada ya muda amekuwa akienda kwenye matibabu na check up” “Suala la afya yake ni concern ya Chama na Watanzania leo ni siku 350 bado siku 15 Mwenyekiti wetu atakuwa ametimiza mwaka mzima gerezani kwa kesi ya uongo na ya kutunga, Watu wanataka wamtishe apige magoti, tunalizungumza kwasababu ya afya yake angekuwa mzima hata wakiendelea na kesi miaka mitatu tusingepiga magoti” “Hii naileta kwenu Watanzania, lolote litakalompata Tundu Lissu akiwa chini ya hawa Watu watakuwa na sababu ya kueleza Watanzania nini kimetokea, haitakubalika, Chama chetu hakitokubali, Duniani haitokubali, hii kesi isikilizwe haraka iishe Mwenyekiti wetu akapate matibabu, kitendo cha kuendelea kumshikilia kama madhara yatatokea kuna Watu watalazimika kujibu” #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
21
47
548
13.6K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Tanzania (PDPC) imesema ni kosa kisheria kwa mtu au taasisi kutumia kamera za usalama (CCTV) pasipo kusajiliwa kisheria na tume hiyo. PDPC imefafanua kuwa watumiaji wanapaswa kuweka tangazo au taarifa kwamba eneo husika limefungwa kamera za CCTV ili watu wajue, na pia mmiliki kuepuka kushtakiwa kwa kuingilia faragha na kudhalilisha utu wa mtu.
Swahili Times tweet media
Indonesia
239
50
613
146.3K
God Chuma
God Chuma@chuma_god·
@Jambotv_ Vyombo vya kichawa vyote vife tu. Hapo badi wasafi media
HT
0
0
0
15
God Chuma retweetledi
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara imetoa amri ya kufungwa rasmi kwa kampuni ya Sahara Media Group Limited baada ya kubainika kuwa kampuni hiyo imepatwa na mdororo mkubwa wa kifedha na haina uwezo wa kujiendesha wala kulipa madeni yake. Uamuzi huo umetolewa na Jaji Dkt. Mwajuma Kadilu kufuatia ombi la kampuni hiyo yenyewe kutaka kufilisiwa. Ripoti zilizowasilishwa mahakamani na Afisa Mkuu wa kampuni, Steven Diallo, zimeonesha picha ya kutisha ya kifedha, ikiwemo hasara ya zaidi ya shilingi bilioni 3.9 kwa mwaka 2023 pekee na mrundikano wa madeni ya kodi ambapo kampuni hiyo ina deni la kodi la takribani shilingi milioni 97.7 kwa TRA. Ushahidi wa kihasibu umebainisha kuwa asilimia 80 ya mapato yote ya kampuni yalikuwa yakielekezwa kwenye kulipa madeni ya kodi, hali iliyofanya operesheni za kila siku za vyombo vyake vya habari kushindwa kuendelea. Amesema Jaji Kadilu wakati akitoa hukumu hiyo kuwa ikiwa imethibitika kuwa mwombaji anapata hasara kubwa na hana uwezo wa kulipa madeni yake, basi hatua sahihi ni kufungwa kwa kampuni hiyo. Ili kuhakikisha mchakato wa kufungwa unakwenda kisheria, mahakama imewateua mawakili wasomi, Wakili Alex Mgongolwa na Wakili Frank Mwalongo, kuwa wasimamizi wa pamoja wa mchakato wa ufilisi kwa kipindi cha miezi mitatu. Majukumu yao ni pamoja na kuchukua udhibiti wa mali zote za kampuni, kusimamia ulipaji wa madeni kwa wadai (creditors) na kuzuia uhamishaji wowote wa mali au hisa kuanzia sasa.
Jambo TV tweet media
Indonesia
28
26
214
27K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Siku moja mwaka 2019 nikiwa MAHABUSU kwenye GEREZA LA SEGEREA, niliota NDOTO ya KUJENGA na KUMILIKI, hicho KIBANDA hapo 👇 ambacho kipo MITA CHACHE SANA kutoka UFUKWE wa BAHARI YA HINDI. Asante MUNGU kwa kuifanya NDOTO ile, kuwa KWELI leo.🙏🙏
Peter Madeleka tweet media
Filipino
151
44
1.1K
73.9K
God Chuma retweetledi
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Hata kama WAARABU WALITUTESA SANA kupitia BIASHARA YA UTUMWA, ukweli ni kwamba; ni NDUGU ZETU na hatupaswi KULIPA KISASI. Ndiyo maana, ili kuonesha UUNGWANA, tumeamua KUWAPA NGORONGORO.👇
Peter Madeleka tweet media
Filipino
57
36
334
33.5K
God Chuma retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mwisho wa UOVU umekaribia sana.
21
171
867
25.2K