Lutulutu

21.1K posts

Lutulutu

Lutulutu

@ciiityyy

man city, hip hop

Katılım Mart 2021
2.2K Takip Edilen3K Takipçiler
Buba9️⃣9️⃣
Buba9️⃣9️⃣@massuidentity·
Wengi watakua hawamjui huyu jamaa!!
Buba9️⃣9️⃣ tweet media
Indonesia
4
12
20
1.2K
Ambele Young
Ambele Young@Ambele_Young·
Nimetoka safari nimevikuta hivi vidonge kwenye begi la shemeji yenu Vina kazi gani?!
Ambele Young tweet media
74
54
215
54.1K
Lutulutu
Lutulutu@ciiityyy·
@JoyceHuru Sasa kama wahusika wa futari ni wachache wapike wamuuzie nani
हिन्दी
0
0
1
54
Joyce Evaristi
Joyce Evaristi@JoyceHuru·
Kuna mikoa ukikaa ukitafuta futari ni kama unajisumbua kama Simuyu!
Joyce Evaristi tweet media
Indonesia
6
1
49
2.3K
Lutulutu
Lutulutu@ciiityyy·
@wizz_kin7 @fintanjr_ Kuwa mzuri siyo shida kwa nini asibaguliwe doku, kylian, saka, olise, lamine, musiala wote weusi and Good on ball
Filipino
1
0
0
48
StarKid ♌
StarKid ♌@wizz_kin7·
@fintanjr_ Tofauti ni kwamba He is too good kweny ball ,ile kuwakela inawafanya wamkunjie😂🙌
Filipino
3
0
2
484
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Mimi ni ngozi nyeusi, ila huwa naenjoy huyu janja akibaguliwa.. kuna time jiulize kwanini kila siku ni wewe, ila usipoona tatizo kwako na kulitafuta kwa wengine hutakaa ubadilike✍🙌
The champ👑 tweet media
Filipino
61
22
144
8.3K
Lutulutu
Lutulutu@ciiityyy·
@MsFrancic Atakuuza ukaliwe nyama na akina jay z
Indonesia
0
0
0
66
Lutulutu
Lutulutu@ciiityyy·
@DullahTheking2 Ukiwa upinde kama akina tyler the creator, ukiwa democratics na unachukia slogan za Trump, ukiwa mzungu, ukiwa unafanya pop music, ukijifanya black people activist kama kdot, ukiwa chini ya rocnation, hizo sifa zinaongeza nafasi ya kushinda hizo tuzo. Uko na too much obsession
Filipino
0
0
1
143
Dullah_theKing🎧
Dullah_theKing🎧@DullahTheking2·
Katika Tuzo 25 alizonazo bado hajabahatika kushinda 👇🏽 👉🏽ALBUM OF THE YEAR 👉🏽SONG OF THE YEAR 👉🏽RECORD OF THE YEAR Hapo Kdot hajapata moja tuu, {Album of the Year} Hizi ni miongoni mwa vipengele vikubwa sana, na huwa vinatolewa macho zaidi 🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️
Dullah_theKing🎧 tweet media
Filipino
4
11
63
2.6K
Lutulutu
Lutulutu@ciiityyy·
@mangekimambi Jizo linaumia wasanii kukosa soko ila watanzania waliokufa lilikaa kimya
Suomi
0
0
1
578
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Watanzania achaneni na Majizzo na wapuuzi wengine. Kwa hali ya sasa sio Majizzo tu hata Kusaga wiki ijayo atawaombea msamaha wasanii. Kwa sababu hizi 1. Radio & Tv zinakufa pia sio wasanii pekee 2. Serikali batili inahitaji Watanzania mrudi kuwa busy na wasanii ili wao waendelee na unyonyaji na uuaji. 3. Wasanii ndio tegemezi la CCM katika kuhamasisha Jamii, so wananchi mkiwapuuzia na kuwapotezea wasanii na serikali batili imepoteza nguvu juu ya wananchi. 4. Wanataka nchi irudi kwenye hali ya zamani, yani wananchi mko busy na wasanii na sio seriajli.
Indonesia
245
860
4.7K
155.4K
mwijaku
mwijaku@MwijakuBurton·
TANZANIA ..! JE UNAAMINI KUA MSANII NI KIOO CHA JAMII INAYO MZUNGUUKA ? KAMA NDIO UPI UMIHIMU WA MSANII HUYO KWAKO NA KWA JAMII YAKO ..? NA JE NI VYEMA KUMUHUKUMU MTU KWA KABILA LAKE ? DINI YAKE ? AU HATA ITIKADI YAKE KISIASA ?
Filipino
463
4
159
77.1K
Zumbe Mastory
Zumbe Mastory@zumbekhan·
Quavo. ........?
Zumbe Mastory tweet mediaZumbe Mastory tweet media
Português
6
5
31
9.1K
Frnk
Frnk@MC_frnk·
Who will you prefer start at Rw for us against Liverpool?
Frnk tweet media
English
449
50
2.2K
101.7K
TheBoss.💰
TheBoss.💰@BOSSferdd·
Huyu ndie au sio yeye 🤔
TheBoss.💰 tweet media
Indonesia
31
19
73
5.7K
millardayo
millardayo@millardayo·
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametoa wito kwa Wavuvi katika Kata ya Kivukoni Jijini Dar es salaam, kuendelea kulinda amani ya Nchi na kutokubali kushawishiwa kuvuruga hali hiyo ya utulivu iliyopo Nchini. Akizungumza na Wavuvi hao leo wakati akiendelea na kampeni za kumuombea kura Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makonda amesema wavuvi wana nafasi kubwa katika kuendeleza na kudumisha amani. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Filipino
58
6
248
28.1K