Tony
18.4K posts

Tony retweetledi
Tony retweetledi
Tony retweetledi
Tony retweetledi
Tony retweetledi
Tony retweetledi
Tony retweetledi
Tony retweetledi
Tony retweetledi

Pamoja utamu wake, mapenzi yana nguvu kubwa ya kukufanya umwamini sana mtu mwingine mwenye matarajio makubwa na wewe kiasi cha kutamani kukukaribia sana achungulie kujua kilichomo ndani yako.
Shida inaanzia pale anapokukaribia akupende, mtu huyu ambaye na wewe unakuwa unamhitaji, anakuwa kama anatifua tifua pale pale yalikojificha ‘mashetani’ —makovu ya malezi mabaya—ambayo hata wazazi wako na watu wengine wasiokukaribia sana hawakuwahi kupagusa. Si wengi wetu tunaweza kuvumilia aibu hii ya kuujua upande wetu wa pili tusioupenda na pengine tunakwepa kuufahamu.
Ukipata bahati ya kumpata mpenzi anayejua kutifua tifua makovu kwa staha, akakusaidia kuubaini upande wako mwingine ambao hakuna mtu mwingine anaujua, ukameza kiburi chako, ukatulia usitoroke wakati ‘mashetani’ yanatibuliwa, mapenzi yanaweza kuwa nyenzo ya uhakika zaidi kukusaidia kujitambua vizuri zaidi na kujifunza mengi usiyoyajua kuhusu wewe.
Indonesia

@YoungAfricansSC Kocha ni takataka! Huyu kocha ni mbovu tactically... Tazama subs zake! Utadhani ni Kobis ndiye anamshauri. Very sad... Kutoka droo ni bahati tu ila tulikuwa tumezidiwa maeneo mengi sana. Tumshukru Refa vinginevyo stories zingekuwa tofauti.
Indonesia














