eastzoo
256 posts













Wakristo pia acheni kusema Yesu alikuwa mzungu au kushikilia picha za kizungu kama uhalisia wake Biblia haijaeleza hivyo. Yesu alikuwa Myahudi wa Mashariki ya Kati, si Mzungu. Na kuhusu mjadala wa ibada na mwenendo wake: Alisujudu alipokuwa akiomba “Akaanguka kifudifudi, akaomba…’ (Mathayo 26:39) Alizingatia usafi kabla ya ibada (mfano wa kunawa) ‘Yeye aliyeoshwa hana budi kunawa miguu…’ (Yohana 13:8–10) Hakuingia “kanisani” kama tunavyojua leo, bali alihubiri kwenye masinagogi ‘Akaingia katika sinagogi siku ya Sabato…’ (Luka 4:16) Alisisitiza ibada ya unyenyekevu na si makelele au maonesho ‘Mnapoomba, msiwe kama wanafiki…’ (Mathayo 6:5-6) Alikataza kupayuka-paya katika ibada ‘Mnapoomba msipayuke-paya kama watu wa mataifa…’ (Mathayo 6:7) Hakukuwa na mfumo wa nyimbo za ibada kama wa leo alifundisha zaidi maombi ya unyenyekevu na mafundisho ‘Basi ninyi salini hivi…’ (Mathayo 6:9) Alifundisha Mungu ni mmoja ‘Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja’ (Marko 12:29)








Wanaume wote tushajaribu kukaa hio style hata mara moja ili tujue mnachopitia so we all get it







Laiti mngejua Jews wanavyouchukia ukristo na wakristo wenyewe hata msingejishabihisha nao


















