Sabitlenmiş Tweet
Mahmoud Said
17.7K posts


@TheChanzo Public beaches and gardens sio za kuwapa wawekezaji sema wenetu kina @Thommunkondya hawashibi miaka ya 2000 walitaka kuuza shule ya Oysterbay kwa Buzwagi kama sikosei wananchi tukaja juu usikute wanailia timing ile shule pia 😂
Indonesia

Hofu yatanda kwa wafanyabiashara wa Coco Beach: Wadai kupewa mwezi mmoja kuondoka kumpisha mwekezaji
Wakizungumza na The Chanzo leo, wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo kwenye fukwe za Coco wamesema baadhi ya viongozi na watendaji wa Halmashauri ya Kinondoni waliwaita na kuwapa taarifa ya kutakiwa kuondoka ndani ya siku 30 kupisha uwekezaji.
Katika malalamiko ya wafanyabiashara hao, wameeleza pia kusikitishwa na kauli za watendaji hao kwa mfanyabiashara wa kike, kauli zenye viashiria ya kutaka rushwa ya ngono.
Kufuatia malalamiko haya ya wafanyabiashara wadogo, The Chanzo inaendelea na jitihada za kuwapata halmashauri ya Manispaa ya kinondoni kutoa ufafanuzi juu ya madai ya wafanyabiashara hawa.
Indonesia

@EsirEid Tajiriiiiii fleet yako ya magari, ina tyres zenye ubora kipindi hichi cha mvua??.
Karibu STRATECH LTD tukupe uhakika kuanzia tyre za gari ndogo mpka kubwa.
Pinned post in full contacts karibu.
Filipino

#TajiriLaKihaya
Kabla ya Salat jumuah…. Nimekua na kikao na Rafiki Yangu,
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius John Ndejembi- Ofisin Kwake…
a Very Smart Person,Big Brain🤝.
Kuhusu swala la Mafuta - Amesema Wamejipanga vizuri,Raia tusiwe na wasiwasi kabisaa🙌🏽

Indonesia

@JackRthythm Director: Mussa Banzi
Starring:Mussa Banzi
Editor: Mussa Banzi
Music: Mussa Banzi
Italiano

Kuna pisi nilikua nayo sikua na lolote kipindi hicho, mimi ndiye nilimchana nyuzi. Alikua ndo kamaliza 4.
Kuna siku alinambia "mama anakuita nyumbani" nikaenda mama ake akanambia binti yangu alitolewa mahari kitambo hivyo kama unataka mabinti zangu labda jaribu kuongea...

Jogoo la Shamba Mjini@JMariotz
Wanaume tusiokua na maisha ya kueleweka tunapitia magumu mengi sana. 🙌🏿
Indonesia

@colmeeli @BarakaMaviatu @Thommunkondya Yeye mwenywe aliyetangulia anaamini kwenye siasa hakuna upendo kwa mujibu wa tweep mmoja aliyezungumza nae..
Indonesia

@BarakaMaviatu @Thommunkondya Nani anayekupenda kwanza kwa miaka 30 yote hiyo?? huu ni uongo halafu kuna namna ni ujinga
Filipino

@anon_codex Hawa madem hakikisheni mnawaoa , msije tuachia shida mtaani sisi
Indonesia

@hy_wemmy @FumboJunior I think this goes both ways if we're honest about it. No parent wants their son to marry a poor woman.
English

Pumzika kwa amani, Mheshimiwa William Vangimembe Lukuvi — Mbunge wa Isimani na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu).
Mheshimiwa Lukuvi alihudumu kwa uadilifu na kujitolea kwa muda wa takriban miaka 30 tangu mwaka 1995, akiwa miongoni mwa wabunge waliodumu kwa muda mrefu zaidi katika historia ya Bunge la Tanzania. Rekodi yake inazidiwa na Marehemu Chrisant Majiyatanga Mzindakaya pekee, aliyelitumikia taifa kupitia Bunge kwa kipindi cha miaka 43.

Indonesia

@dumelambegu_OG @swahilitimes @Thommunkondya Kutangaza sawa ila what Inknow kibongobongo hakuna kusajili bure 😂
Indonesia

Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Tanzania (PDPC) imesema ni kosa kisheria kwa mtu au taasisi kutumia kamera za usalama (CCTV) pasipo kusajiliwa kisheria na tume hiyo.
PDPC imefafanua kuwa watumiaji wanapaswa kuweka tangazo au taarifa kwamba eneo husika limefungwa kamera za CCTV ili watu wajue, na pia mmiliki kuepuka kushtakiwa kwa kuingilia faragha na kudhalilisha utu wa mtu.

Indonesia

@Rahim_Meghji @MaxTz255_ Tatizo hayuko wizarani.
Akili kubwa hii.
Filipino

Wacha Nitoe Ushauri Wa Moja Kwa Moja Kwa Wizara Ya Ufugaji na Ile Wizara Ya Vijana ,
Ni kweli Tuna Import maziwa Mengi sana lakini sababu Kubwa Ni Kwamba Tuna Idadi Kubwa Ya Ng'ombe Takribani Ng'ombe Million 31 ambao Asilimia 99% ni Ng'ombe wa kienyeji (Ambao wanatoa Maziwa Kidogo sana )
Serikali Ingesaidia Kitu kimoja kwenye Hizi Budget ya Mabilioni Yaliyotengwa Kwaajili ya Vijana yangepelekwa Kufungua Miradi Mikubwa Kulisha na kununua Mifugo kwa Kutenga Maeneo yaliyopo Mikoa Ifuatayo ambayo Mimi nimeona Kwa Tafiti zangu
Tabora , Shinyanga , Simiyu, Rukwa , Katavi, Morogoro, Lindi na Mtwara Haya Maeneo Nimezunguka Mengi yana Maji Ya Kutosha Lakini Ardhi yake Kubwa sio Hifadhi za Taifa ,
Fanyeni Kitu Kimoja Nendeni Mkanunue Ndama Million 6 Majike na Million 3 madume specie ya Jersey cattle na Brown Swiss cattle, Hawa wanazalisha zaidi ya Lita 17 za maziwa na Ni wavumilivu wa Hali Ya Hewa na Joto kwa Nchi kama yetu ,
Mtauliza Mtagawa Vipi? , ipo ivi mnaweza Kutumia Njia ipi kwanza nendeni Kwenye Hii Mikoa Niliyoitaja Apo Kagaweni Maeneo kwa Vijana Walio Tayari alafu Kila Eneo Wapewe Ma Afsa Mifugo kutoka Sua Pale kila Kijana Apewe Ng'ombe wawili wa Kike na Mmoja Wa Dume, Then Ndama 5 wa Mwanzo Ni mali ya Serikali Maziwa Ni Mali Ya Mfugaji ndani ya Miaka 4 ,
Baada Ya Miaka 4 tutakuwa na Ng'ombe zaidi ya Million 15+ ambao Tutawagawa Tena Kwa system hii , Hii, ajira zitakuwa Nyingi sana , Kutakuwa na Viwanda vya kusindika Maziwa , Viwanda Vya Kuchakata Vyakula , Viwanda Vya Mbolea inayotokana na Mifugo ,Achana na Hawa Chotara watakaozaliwa sasa,,
@ViwandaBiashara
@UvuviNa
@ikulumawasliano

Filipino

@Makaveli_255 Kuna viwanja vya ndege kadhaa Shy town, Msalato nk.
Sasa tusio na vitiki tunaishia hapo
Filipino

























