Cp

18K posts

Cp banner
Cp

Cp

@cpii__

Tanzania Katılım Haziran 2012
338 Takip Edilen1.1K Takipçiler
Cp retweetledi
Mwemezi Rwiza, PhD
Mwemezi Rwiza, PhD@SwahiliBible·
A SMALL LOVE STORY Libya ya Gaddafi ilikuwa imempatia mwananchi wa kawaida kila kitu, nyumba nzuri, maji safi, umeme wa uhakika, elimu top-notch, etc. Wananchi wa Libya, wakati huo, walikosa kitu kimoja tu: kumsema vibaya Gaddafi au kuyakosoa matendo yake mema. On the outside, everything looked so dazzling (WOW, Oh my God, wonderful), kumbe inside watu hawana pa kupumulia. Ukipumua tu: fyu, fyu, fyu. Adui wa Libya alipotokea, Walibya wakamwona ni rafiki. Wakasahau majumba, umeme, maji, na maroads mkeka. The rest you know: Hawajawahi ku-recover, hata leo; maskini. Anyway, nadhani, waanzilishi wa mifumo ya kidemokrasia yenye kutoa uhuru mpana wa maoni, kuna kitu walikiwaza: Moyo wa mwanadamu haukuumbwa kujiletea unyenyekevu. Moyo wa mwanadamu unapenda kusifiwa. Wakaona uwepo utaratibu unaoitwa demokrasia unaomlazimisha mwanadamu mwenye mamlaka, nguvu na fedha awe mnyenyekevu. Akubaliane, wakati mwingine, na mawazo ya wale anaotamani wasingezaliwa. Demokrasia siyo utakatifu, ni njia tu inayolazimisha unyenyekevu, hata kama ni kwa kuvunga tu. And we all deserve that: unyenyekevu kutoka kwa wale wenye nguvu kutuzidi. Na - it reciprocates, mwenye nguvu akiwa mnyenyekevu, hata kama ni kwa kuvunga tu, huvuna subordinates wengi wanaomheshimu. Lakini ni lazima kuwe na kifaa (tool) kinachomlazimisha mwenye nguvu kuwa mnyenyekevu - demokrasia. Demokrasia ina ujinga wake, mwingi tu, wakati mwingine huruhusu hata vurugu, kama hiyo vurugu ita-achieve a greater good for the society. Ni kama husband anayejua kupenda; unyenyekevu wa wife kwake huwa ni automatic. Hatumii nguvu hata. END OF THE STORY.
Indonesia
14
63
244
14K
Cp retweetledi
Mwemezi Rwiza, PhD
Mwemezi Rwiza, PhD@SwahiliBible·
Wakipunguza anasa na misafara ya kijinga, labda trililioni 55 zinaweza kupatikana. Wakiondoa vyeo visivyo na maana e.g., ondoa RC, DC, Katibu Mkuu kila Wizara, badala yake wakurugenzi ndani ya Wizara husika waform Secretariat ya Wizara maybe. Overall, maviongozi ya nchi ombaomba yanaishi kwa anasa kuliko viongozi wa nchi zinazoleta misaada.
Indonesia
22
97
597
18.6K
Cp retweetledi
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
Matukio Baada ya Uchaguzi 2025: Namna Majirani Nane Walivyouwawa Kinyerezi Dar es Salaam Mpaka sasa kunguru na nzi wamezuka eneo ambapo majirani nane wa mtaa wa Kanga-Kariakoo, Kinyerezi, jijini hapa, walipouwawa. Kabla ya mvua kunyesha Novemba 4, 2025, harufu ya kifo ilikua ndiyo alama ya eneo hilo. Mvua iliweza kusafisha baadhi ya mabaki ya viungo vya binadamu yaliyokuwa yamebaki, ikiwemo damu nzito. Tukio hili lilitokea usiku wa kuamkia Novemba 3, 2025, majira ya saa tisa. Majirani hao waliuwawa zamu kwa zamu kwa kupigwa risasi. Hii ni baada ya kuambiwa wajilaze nyuso zao zikiangalia ardhi, na kuamrishwa kusali sala ya mwisho. Majirani hao ambao nyumba zao zimefuatana katika mstari mmoja, walikuwa ni afisa polisi mstaafu, walimu wawili, dereva, wauza duka wawili, afisa wa benki na mfanyabiashara ndogondogo. “Hapa kulikua hakufai kabla ya hii mvua kunyesha, wao walikuja wakamwagia mchanga, lakini kulikua hakufai, mvua imesafisha safisha, kidogo,” moja ya majirani alitueleza hali baada ya mauaji hayo. Tukio hili lilianza baada ya  duka la jumla lililopo katika mtaa huo kusikika kuwa limevamiwa na vibaka. Polisi mstaafu aliwaongoza majirani wenzake kwenda kuimarisha ulinzi katika eneo hilo, ambapo pia aliamua kupiga simu na kuita polisi. Polisi wenye silaha walivyofika kwenye eneo hilo waliwaamrisha wote kulala chini. Licha ya kujitetea, hoja zao hazikuweza kufua dafu. Waligawanywa makundi mawili, wakitenganishwa na barabara ambayo imegawanya makazi yao, upande wa kulia na kushoto, wengine wakawekwa karibu na duka hilo la jumla, na wengine wakawekwa upande wa pili, pembeni ya nguzo ya umeme. Soma Zaidi>>>thechanzo.com/2025/11/09/mat…
The Chanzo tweet media
Indonesia
51
296
728
84.2K
Cp retweetledi
GG
GG@GIVENALITY·
Kaongea mpaka mkuu wa mkoa kamwaga chozi “Ninazungumza japo miguu inagongana japo mnaona nimesimama. Kwa sababu tunajua Tanzania ya leo ukizuongea basi unakimbilia kifo… Sasa kama mnatufanya tuogope kusema, utajuaje mimi nina kinyongo?”
Filipino
26
345
967
31.6K
Cp retweetledi
RM Legacy Group
RM Legacy Group@mrmushico·
Bati imara kutoka brand ALAF LIMITED #Covermax still roofing sheets colour. •Gauge 30 grade number one Tanzania •Rangi: Charcoal grey/ kijivu 🎨 •Upana- 87cm •Tzsh 513,000/= 16 pc's bundle Press your order+255757751991 Whatsapp 🗨️
RM Legacy Group tweet media
English
1
32
29
2K
Cp retweetledi
The Olympic Games
The Olympic Games@Olympics·
Tanzania's first EVER gold at the #WorldAthleticsChamps! 🇹🇿 Alphonce Simbu edged out Amanal Petros of Germany in a photo finish, to secure the win. What a race! #RoadToLA28
The Olympic Games tweet media
English
4
43
261
33.9K
Cp
Cp@cpii__·
Legend
English
0
0
0
35
Cp retweetledi
non aesthetic things
non aesthetic things@PicturesFoIder·
The BBC recently got a hold of a phone that was smuggled out of North Korea. The North Korean Regime auto-corrects popular Korean terms and takes a screenshot of the phone every 5 minutes.
English
196
444
4.2K
1M
Cp retweetledi
Pope Leo XIV
Pope Leo XIV@Pontifex·
Bara la Afrika linatoa ushuhuda mkubwa kwa ulimwengu mzima. Asante kwa kuishi imani yenu katika Yesu Kristo. Ni jinsi gani ilivyo muhimu kwamba kila mbatizwa ajisikie kuitwa na Mungu kuwa ishara ya matumaini katika Ulimwengu wa leo.
Filipino
827
2.6K
13.9K
1.1M
Cp retweetledi
Dr. Chris Cyrilo
Dr. Chris Cyrilo@DrCyrilo·
Ingawa kwa kuchelewa, lakini angalau Gwajima amejitoa kwenye kundi la 'waovu'. Yes, kukalia kimya uovu ni uovu. Hapa Gwajma amewatia aibu Rais @SuluhuSamia na wateule wake ambao kwa sbb wanazojua, wamekalia kimya matukio ya utekaji na mauaji.
Indonesia
25
77
283
8.2K
Cp retweetledi
Vatican News
Vatican News@VaticanNews·
Pope Leo XIV holds a special audience for ecumenical and interreligious delegations who took part in the Solemn Mass for the Inauguration of his Petrine Ministry. In his address, the Holy Father highlighted Pope Francis’ emphasis on universal fraternity. Pope Francis “promoted both the ecumenical path and inter-religious dialogue,” Pope Leo said, “above all by cultivating interpersonal relations, in such a way that, without taking anything away from ecclesial bonds, the human trait of encounter was always valued. May God help us to treasure his witness!”
Vatican News tweet mediaVatican News tweet mediaVatican News tweet mediaVatican News tweet media
English
128
600
3.8K
145.7K
Baba Assad CAG🇹🇿
Baba Assad CAG🇹🇿@JrMalcolm88·
Team ya Kwanza Africa kuwa na Bus kama la Madrid ni @SimbaSCTanzania . Simba huwa inaanza halafu wengine wanafuata nyayo. Simba inakufungulieni Dunia, mnayo mengi ya kujifunza kutoka Simba SC 🦁 Ubaya Ubwela.
Baba Assad CAG🇹🇿 tweet media
Tanzania 🇹🇿 Filipino
1
0
0
56
Cp retweetledi
Mzilikazi wa Afrika
Mzilikazi wa Afrika@IamMzilikazi·
HEBANNA: I rest my case, no further questions, your honour. Just cruising.
English
1
10
40
4.8K
JAPHET MATARRA
JAPHET MATARRA@Eng_Matarra·
Bro kama unafanya kazi na unapokea Take home kuanzia 500k hadi 1M, nipe muda wako nikupe wazo la kibiashara linaloweza kukuinua kiuchumi kwa muda mfupi. Usitazame kiasi kidogo cha mtaji nilichokutajia ukaanza kubeza, wewe nipe muda wako kwa kusoma hapa hutatoka bure.
JAPHET MATARRA tweet mediaJAPHET MATARRA tweet media
Indonesia
231
618
3.1K
352.7K