Dkt. Resha

24.8K posts

Dkt. Resha banner
Dkt. Resha

Dkt. Resha

@dktresha

Tanzania Katılım Ocak 2020
1.2K Takip Edilen3.6K Takipçiler
Mswahili___💡
Mswahili___💡@mswahili___1·
Sativa pale bwenini akisikia mtu amegonga mlango 😁
Mswahili___💡 tweet media
Indonesia
72
113
739
32.6K
Dkt. Resha retweetledi
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Chuki, husuda, wivu na kinyongo haviwaumizi wengine—vinamuumiza zaidi mwenye kuvibeba. Usijidanganye kwamba ni sumu kwa wengine; ni kama kunywa sumu ukitegemea mwingine afe. Ukweli ni rahisi: wewe ndiye unaathirika kwanza, kabla ya yeyote.
Indonesia
29
140
618
10.8K
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Ila hiki kichwa 🙌🏾🙌🏾
NYANI MZEE tweet media
Polski
51
46
1.1K
52.2K
Dkt. Resha retweetledi
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
What if this Bible verse has been misunderstood for years? “𝐋𝐞𝐭 𝐛𝐞𝐞𝐫 𝐛𝐞 𝐟𝐨𝐫 𝐭𝐡𝐨𝐬𝐞 𝐰𝐡𝐨 𝐚𝐫𝐞 𝐩𝐞𝐫𝐢𝐬𝐡𝐢𝐧𝐠, 𝐚𝐧𝐝 𝐰𝐢𝐧𝐞 𝐟𝐨𝐫 𝐭𝐡𝐨𝐬𝐞 𝐢𝐧 𝐚𝐧𝐠𝐮𝐢𝐬𝐡… 𝐥𝐞𝐭 𝐭𝐡𝐞𝐦 𝐝𝐫𝐢𝐧𝐤 𝐚𝐧𝐝 𝐟𝐨𝐫𝐠𝐞𝐭 𝐭𝐡𝐞𝐢𝐫 𝐩𝐨𝐯𝐞𝐫𝐭𝐲 𝐚𝐧𝐝 𝐫𝐞𝐦𝐞𝐦𝐛𝐞𝐫 𝐭𝐡𝐞𝐢𝐫 𝐦𝐢𝐬𝐞𝐫𝐲 𝐧𝐨 𝐦𝐨𝐫𝐞.” — 𝐏𝐫𝐨𝐯𝐞𝐫𝐛𝐬 𝟑𝟏:𝟔–𝟕 At first reading, it almost sounds like permission to drink away pain. But pause for a moment… Is the Bible really encouraging alcohol as a solution to suffering? Or is it showing us something far deeper about human nature? Because hidden in these words is a truth most people miss: Some people don’t drink for celebration. They drink for escape. Not because life is good—but because life is heavy. They are not chasing happiness. They are trying to silence: Thoughts they can’t control Pain they don’t know how to express Situations they feel trapped in Emotions they can’t face sober And for a short moment… it works. The noise fades. The weight feels lighter. The world seems bearable. But here is where the verse gets uncomfortable. Because it doesn’t tell you what happens next. What happens when the drink wears off? What happens when escape becomes a routine? What happens when relief slowly turns into dependence? This is where the story changes—but most people never talk about it. So maybe the real question this verse is forcing us to ask is not about alcohol at all… But about pain. What do people do when life becomes too heavy to carry? And more importantly… What happens when escape stops working?
Fortunatus Buyobe tweet media
English
6
13
110
6.9K
Dkt. Resha retweetledi
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Kuwa mnyenyekevu daima, usijione bora kuliko mwingine yeyote. Maana tumetoka mavumbini, na mavumbini tutarejea. Juma Kareem.
Indonesia
114
404
2.1K
31.4K
Dkt. Resha retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crowne. Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14 m. Hiyo gari ikifika inatozwa ushuru mwingine wa 14 m, yaani fikiria ushuru unalingana na ununuzi wa gari!!! Yaani gari Machuma yote, engineering iliyopo pale kwenye gari unanunua bei sawa na ushuru wa mtu ambae amekaa ofisini tu na anakuchaji hela yote hiyo!!!! Wakati mwingine kodi zinakua bei juu kuliko manunuzi!!!! Huyu kijana awe mkulima au mfanyakazi, anafanya kazi ngumu sana kupata hiyo fedha, then inachukuliwa hivi… Alafu baada ya mda CAG anasoma ripoti kwamba uwanja ulitakiwa kujengwa kwa bilioni 187 baadae ukajengwa kwa bilioni 337.. Mara umekaa unaambiwa kuna eti Waziri anatumia gari binafsi ya bilioni 2, unajiuliza mtumishi wa umma ametoa wapi bilioni 2 kununua gari na mshahara wake unafahamika, au anamiliki nyumba tano za thamani ya bilioni tatu, nne au tano… aniliki mashamba ya mabilioni, amempa mama mkwe wake nyumba ya bilioni tano na gari la kutembelea la milioni 500. Pesa zote hizi za mlipa kodi anaeumizwa kiasi hiki na mzigo wa kodi… Hapa nimesema magari tu, Ukienda kwenye kila kitu kinachoingizwa na kutoka Nchini ni mzigo wa kodi na maumivu kwa Mwananchi.. Na mwisho wa siku badala hizi fedha zitumike kwaajili ya maendeleo yetu zinaishia kwenye mifuko ya vibaka. Hakuna barabara, hakuna maji, hakuna umeme.. Maisha magumu , mishahara duni hasa kwa walimu na manesi. Hatuwezi kukubali kuwa watumishi wa vibaka wanaopora mali za umma.
John Heche tweet media
Indonesia
238
637
2.3K
137.4K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Ukitaka kuelewa kwa kina siasa za bunge na namna watu wanavyojenga hoja kwenye majadiliano “debates” basi tazama Bunge la Uingereza. Ukiwa Waziri kwenye bunge hili lazima kichwa kiwake moto, Wabunge wanafanya tafiti kabla ya kuingia bungeni na wanakuja na hoja nzito na za msingi.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
37
38
726
22.3K
Dkt. Resha retweetledi
Dkt. Resha retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Kama bado una deti na Mwanamke anaehitaji pesa za vocha, vipodozi, kucha, kusuka au chakula, basi bado haujawa serious na maisha. Kuwa makini na maisha yako.
The mandevu tweet media
Indonesia
38
100
794
17.1K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Kesho tukiamka salama, tuanze kujadili hilo swala la Hospital Ya Muhimbili kujengwa upya.
The mandevu tweet media
Indonesia
10
11
262
4.6K
Dkt. Resha retweetledi
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
Huyu ndo "Mama wa Ufafanuzi wa Iran" Disclaimer: Ana PhD....
Hormuz™️ tweet media
Indonesia
17
9
188
6.1K
Dkt. Resha retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Rubani aliyeongoza chombo kilichouzunguka mwezi alipotua hakuwa na maneno mengi. Alisema; "WE NEED JESUS." Tunamhitaji Yesu. Mungu atuongezee imani na tumaini lisilotetereka ili tumtafute kwa bidii na kuyaishi mafundisho yake.
joseph_selasini tweet mediajoseph_selasini tweet media
Filipino
11
35
252
6.4K
Dkt. Resha retweetledi
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Serikali ya Vietnam imetangaza kuacha kutoza kodi kwenye mafuta hadi mwishoni mwa mwezi Juni. Hatua hii imechukuliwa ili kupunguza mfumuko wa bei unao athiri kundi kubwa la watu.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
32
60
746
11.9K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mnatupanga ??? Mtumieni CAG😂😂😂
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
19
49
718
31.7K
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
Ile "PhD" ni ya wananchi.
हिन्दी
6
1
22
1.3K
Dkt. Resha
Dkt. Resha@dktresha·
@bajabiri Mbn huyu hapewi udaktari? Na alifanya makubwa yaliyowashinda hata watangulizi wake kina Washington? APEWE BANA HUO SIO UUNGWANA.
Indonesia
1
0
1
601
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
Wamarekani wakitaka wafurahie maisha....wawe na amani....wawe na maendeleo...wawe na huduma za afya na elimu bora ,basi wamchague huyu Mama awe Rais wao....
Hormuz™️ tweet media
Indonesia
84
13
225
17.2K
Dkt. Resha retweetledi
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
Yule Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ana PhD yake, ila hata siku moja jamaa huoni akiitwa au kujiita Dr.Abbas . Tena PhD yake ameipata University of Kent sio Jangwani University ambako wengine wanagaiwa PhD 😁😁😁
Hormuz™️ tweet media
हिन्दी
32
31
285
11.5K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Rwanda inatumia VISIT RWANDA kujitangaza duniani kupitia hawa; 1. BAL - Africa 2. PSG - Ufaransa 3. Arsenal -Uingereza 4. SoFi Stadium - USA 5. Hollywood Park - USA 6. Atletico Madrid - Spain 7. Los Angeles Rams - USA 8. Bayern Munich -Ujerumani 9. Los Angeles Clippers - USA
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
43
105
1.5K
59.2K
Dkt. Resha retweetledi
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
Hii ni kwa SENEGAL wakuu..... Nchi nyingine wasubiri UFAFANUZI.
Hormuz™️ tweet media
Indonesia
6
6
74
3.1K