Elisha Chonya retweetledi

Maumivu na uchungu ambao anapitia mama ake James Temba ni Mungu pekee ndo anaejua.
Halafu unamskia Jaji Chande anasema kama ni watu kutekwa na kupotezwa mbona hata Ulaya wanatekwa.
Serikali haram haijali kabisa kuhusu uhai wa Watanzania ndo maana yanatokea mauaji ya kikatili kama haya.
Pumzika kwa Aman James Temba.🙏😭😭
Indonesia




















